pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
- Thread starter
- #41
Kwamba ilitokana na majanga ya asiliTukio la kagera linahusiana vipi na kupanda kwa bei ya bidhaa..?
(Natural disaster)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba ilitokana na majanga ya asiliTukio la kagera linahusiana vipi na kupanda kwa bei ya bidhaa..?
Kwa comment hii, jipige kifuani na jiita mjinga.Inawezekana hizo inchi zenye bei nafuu ya mafuta either kodi ya mafuta ni ndogo sana au haipo kabisa,
Sie hatuwezi kuiondoa au kuipunguza coz mambo mengi yanategemea hiyo fweza,
So rais awaye yeyote hili lingebaki kama lilivyo, basi inategemea
Tu zile reaction za wahusika
Naweza kuta nabishana na mtoto wa mwaka 2002, rudi kulala subiri house girl wa shemeji yako akupikie chaiWakati wa mkapa
Mchele 250/=
Mafuta ya kula 459/= lita
Diseli 400/= lita
Tunakwenda mbele mazee haturudi nyuma
Inategemea umepokeaje jibu.Halafu kumuita mtu mpumbavu hakumfanyi kuwa mpumbavu kama unavyodhani.Utakuwa mwalimu wa tuisheni ya umalaya.😂😂😂😂Wewe ni mpumbavu
Huyo jamaa ni takataka,Kwa comment hii, jipige kifuani na jiita mjinga.
Madhara ya kutumia mihadarati katika umri mdogoInategemea umepokeaje jibu.Halafu kumuita mtu mpumbavu hakumfanyi kuwa mpumbavu kama unavyodhani.Utakuwa mwalimu wa tuisheni ya umalaya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaoshindwa kujibu hoja hukimbikia kutusi, endelea kukaririKwa comment hii, jipige kifuani na jiita mjinga.
Hivi saa hizi hapa natafuna mirungi nashushia balimi.Kaa hivyohivyo kama kipolo cha ugali wa muhogo.😂😂😂😂Madhara ya kutumia mihadarati katika umri mdogo
Unaongea tofauti ya miaka 15+, yani wewe huna argument kabisa. Tofauti ya mwaka mmoja vitu vimepabda bei, gharama za maisha zimeongezeka mara dufu then unataka kulinganisha ya 2021na 2022 kweli?Wakati wa mkapa
Mchele 250/=
Mafuta ya kula 459/= lita
Diseli 400/= lita
Tunakwenda mbele mazee haturudi nyuma
Kuhama nchi unasubiri nini?Beba virago vyako ujikate kislesi mambelembele kwenye maisha laini.Unaongea tofauti ya miaka 15+, yani wewe huna argument kabisa. Tofauti ya mwaka mmoja vitu vimepabda bei, gharama za maisha zimeongezeka mara dufu then unataka kulinganisha ya 2021na 2022 kweli?
Maza yupo yupo tu wala hana ushawishi, goma linaenda autopilot.
Kukosa hoja huku, yaani umekosa hoja umeamua kuja na cheap answers, rudi ukalale usubiri shemeji akuamshe unywe uji.Kuhama nchi unasubiri nini?Beba virago vyako ujikate kislesi mambelembele kwenye maisha laini.
Na mshahara atoe unaoendana na gharama anazotoza usiongee kama hayawani. Kila kitu bei juu halafu na mitozo kila kona unaona liko sawa sababu unagewa buku 7 za mapambio Lumumba?Ni washenzi tuu hao na chuki binafsi..
Unaweza kudhani huko kwa Mwendazake kulikuwa Neema kumbe walikuwa wanachezewa kama watoto na kufukarishwa tuu nothing else..
Mwendazake anawalisha maneno na kuharibia maisha huku wao Wakitanua.
Shida Rais anatumia lugha ya Mama upole,saizi alitakiwa awachane live kama Mseven kwamba Yeye hakuanzisha vita na Wala Tanzania haina visima vya mafuta.
Unakumbuka Bungeni Makamba alisema ambae anaweza leta mafuta Kwa bei ndogo aende Ofisini apewe kibali hadi leo hii kimya Kwa wale wenye midomo.
Mama awatolee uvivu kwa kuwachana live,wanataka atoe Kodi kwenye mafuta Ili avurige bajeti na miradi ikwame wapate pa kusemea.
Samia Kazi hivyo hivyo,usije toa Kodi kwenye mafuta Road fund ya Pesa za TanRoada na Tarura wanategemea hapo Rea wanategmea hapo,Reli wanategemea hapo,hakuna kutoa hata mia.
Nchi karibu zote mafuta yako juu na wanakomaa.
yaani unajenga nyumba duni alaf unadai haki kwan zserikali ndio ilivunja hizo nyumba?Kama sio udini, ukabila, ukanda au jinsia vinginevyo hakuna sababu yenye mashiko hata moja,
Hakuna rais angezuia mafuta yasipande bei,au azuie njaa hakuna,
Kama unakumbuka tukio la kagera tu wale waliochangiwa baada ya kimbunga walijibiwa nini?
Walipodai haki yao
Usikasirike mkuu.Toa suluhu.Tufanyaje kama nchi?Halafu kuniambia nilale ili shemeji aniamshe ninywe uji sipendi.Uji wa ulezi?Kwani mimi mgonjwa?Kukosa hoja huku, yaani umekosa hoja umeamua kuja na cheap answers, rudi ukalale usubiri shemeji akuamshe unywe uji.
Wengine wana nongwa mkuu nenda nao taratibuUsikasirike mkuu.Toa suluhu.Tufanyaje kama nchi?Halafu kuniambia nilale ili shemeji aniamshe ninywe uji sipendi.Uji wa ulezi?Kwani mimi mgonjwa?
Hana shida.Tupo naye pamoja.Wengine wana nongwa mkuu nenda nao taratibu
Ukiandika vitu vya hovyo utajibiwa hovyo tu mkuu.Usikasirike mkuu.Toa suluhu.Tufanyaje kama nchi?Halafu kuniambia nilale ili shemeji aniamshe ninywe uji sipendi.Uji wa ulezi?Kwani mimi mgonjwa?
Sipati picha unavyofura kwa hasira unapobonyeza ATM!Tuendelee kuhimiza nyongeza yenu ya mishahara inayoenenda na hali ya maisha.Tupunguze matumizi yasiyo ya lazima.Tumia gari lako unapokuwa na safari ya mbali,haraka na ulazima.Epuka michepuko na matumizi ya hovyohovyo ya mapesa(tupesa unatolipwa).Ukiandika vitu vya hovyo utajibiwa hovyo tu mkuu.
Unalipwa salary inayokatwa kodi(paye), salary yako inaingizwa bank, ukitaka kuchomoa sehemu ya mshahara wako hapo crdb unakatwa service charge za bank then unapigwa TOZO, ukienda kutuma pesa kwa mama yako na ile sehemu ya mshahara unakatwa makato na TOZO, ukiweka wese kwenye mkebe wako kwa sehemu ya mshahara wako unakatwa kodi na TOZO.
UTAKUWA MZIMA KWELI KUSAPOTI HUO UPUMBAVU?
Mkuu kwani wew upo abroad?Sipati picha unavyofura kwa hasira unapobonyeza ATM!Tuendelee kuhimiza nyongeza yenu ya mishahara inayoenenda na hali ya maisha.Tupunguze matumizi yasiyo ya lazima.Tumia gari lako unapokuwa na safari ya mbali,haraka na ulazima.Epuka michepuko na matumizi ya hovyohovyo ya mapesa(tupesa unatolipwa).
Tuendelee kulalamika kikampeni nyuma ya keyboard🤣🤣😂Toa njia mbadala muheshimiwa.Tufanyaje?