Mnaomchukia Rais Samia mna hoja au ni chuki tu?

Mnaomchukia Rais Samia mna hoja au ni chuki tu?

Inawezekana hizo inchi zenye bei nafuu ya mafuta either kodi ya mafuta ni ndogo sana au haipo kabisa,
Sie hatuwezi kuiondoa au kuipunguza coz mambo mengi yanategemea hiyo fweza,
So rais awaye yeyote hili lingebaki kama lilivyo, basi inategemea
Tu zile reaction za wahusika
Kwa comment hii, jipige kifuani na jiita mjinga.
 
Wakati wa mkapa

Mchele 250/=
Mafuta ya kula 459/= lita
Diseli 400/= lita
Tunakwenda mbele mazee haturudi nyuma
Unaongea tofauti ya miaka 15+, yani wewe huna argument kabisa. Tofauti ya mwaka mmoja vitu vimepabda bei, gharama za maisha zimeongezeka mara dufu then unataka kulinganisha ya 2021na 2022 kweli?

Maza yupo yupo tu wala hana ushawishi, goma linaenda autopilot.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Unaongea tofauti ya miaka 15+, yani wewe huna argument kabisa. Tofauti ya mwaka mmoja vitu vimepabda bei, gharama za maisha zimeongezeka mara dufu then unataka kulinganisha ya 2021na 2022 kweli?

Maza yupo yupo tu wala hana ushawishi, goma linaenda autopilot.
Kuhama nchi unasubiri nini?Beba virago vyako ujikate kislesi mambelembele kwenye maisha laini.
 
Ni washenzi tuu hao na chuki binafsi..

Unaweza kudhani huko kwa Mwendazake kulikuwa Neema kumbe walikuwa wanachezewa kama watoto na kufukarishwa tuu nothing else..

Mwendazake anawalisha maneno na kuharibia maisha huku wao Wakitanua.

Shida Rais anatumia lugha ya Mama upole,saizi alitakiwa awachane live kama Mseven kwamba Yeye hakuanzisha vita na Wala Tanzania haina visima vya mafuta.

Unakumbuka Bungeni Makamba alisema ambae anaweza leta mafuta Kwa bei ndogo aende Ofisini apewe kibali hadi leo hii kimya Kwa wale wenye midomo.

Mama awatolee uvivu kwa kuwachana live,wanataka atoe Kodi kwenye mafuta Ili avurige bajeti na miradi ikwame wapate pa kusemea.

Samia Kazi hivyo hivyo,usije toa Kodi kwenye mafuta Road fund ya Pesa za TanRoada na Tarura wanategemea hapo Rea wanategmea hapo,Reli wanategemea hapo,hakuna kutoa hata mia.

Nchi karibu zote mafuta yako juu na wanakomaa.
Na mshahara atoe unaoendana na gharama anazotoza usiongee kama hayawani. Kila kitu bei juu halafu na mitozo kila kona unaona liko sawa sababu unagewa buku 7 za mapambio Lumumba?

Mtu analipwa laki 7 maisha yamefika million 1. Unataka asilalamike kwa nini!?
 
Kama sio udini, ukabila, ukanda au jinsia vinginevyo hakuna sababu yenye mashiko hata moja,
Hakuna rais angezuia mafuta yasipande bei,au azuie njaa hakuna,
Kama unakumbuka tukio la kagera tu wale waliochangiwa baada ya kimbunga walijibiwa nini?
Walipodai haki yao
yaani unajenga nyumba duni alaf unadai haki kwan zserikali ndio ilivunja hizo nyumba?
 
Kukosa hoja huku, yaani umekosa hoja umeamua kuja na cheap answers, rudi ukalale usubiri shemeji akuamshe unywe uji.
Usikasirike mkuu.Toa suluhu.Tufanyaje kama nchi?Halafu kuniambia nilale ili shemeji aniamshe ninywe uji sipendi.Uji wa ulezi?Kwani mimi mgonjwa?
 
Usikasirike mkuu.Toa suluhu.Tufanyaje kama nchi?Halafu kuniambia nilale ili shemeji aniamshe ninywe uji sipendi.Uji wa ulezi?Kwani mimi mgonjwa?
Ukiandika vitu vya hovyo utajibiwa hovyo tu mkuu.

Unalipwa salary inayokatwa kodi(paye), salary yako inaingizwa bank, ukitaka kuchomoa sehemu ya mshahara wako hapo crdb unakatwa service charge za bank then unapigwa TOZO, ukienda kutuma pesa kwa mama yako na ile sehemu ya mshahara unakatwa makato na TOZO, ukiweka wese kwenye mkebe wako kwa sehemu ya mshahara wako unakatwa kodi na TOZO.

UTAKUWA MZIMA KWELI KUSAPOTI HUO UPUMBAVU?
 
Ukiandika vitu vya hovyo utajibiwa hovyo tu mkuu.

Unalipwa salary inayokatwa kodi(paye), salary yako inaingizwa bank, ukitaka kuchomoa sehemu ya mshahara wako hapo crdb unakatwa service charge za bank then unapigwa TOZO, ukienda kutuma pesa kwa mama yako na ile sehemu ya mshahara unakatwa makato na TOZO, ukiweka wese kwenye mkebe wako kwa sehemu ya mshahara wako unakatwa kodi na TOZO.

UTAKUWA MZIMA KWELI KUSAPOTI HUO UPUMBAVU?
Sipati picha unavyofura kwa hasira unapobonyeza ATM!Tuendelee kuhimiza nyongeza yenu ya mishahara inayoenenda na hali ya maisha.Tupunguze matumizi yasiyo ya lazima.Tumia gari lako unapokuwa na safari ya mbali,haraka na ulazima.Epuka michepuko na matumizi ya hovyohovyo ya mapesa(tupesa unatolipwa).
 
Sipati picha unavyofura kwa hasira unapobonyeza ATM!Tuendelee kuhimiza nyongeza yenu ya mishahara inayoenenda na hali ya maisha.Tupunguze matumizi yasiyo ya lazima.Tumia gari lako unapokuwa na safari ya mbali,haraka na ulazima.Epuka michepuko na matumizi ya hovyohovyo ya mapesa(tupesa unatolipwa).
Mkuu kwani wew upo abroad?
Nikupe hongera kwa kufurahia haya yanayofanyika, mimi maza na Madelu sioni kitu wanafanya kwa uchumi wa nchi

Maza hana authority, hanaaa!!
 
Back
Top Bottom