Mnaomchukia Rais Samia mna hoja au ni chuki tu?

Mnaomchukia Rais Samia mna hoja au ni chuki tu?

Wakati wa Jiwe
  • Mchele kilo 900
  • Mafuta ya kula 3500/lita
  • Diesel 2800/lita

Wakati wa mpiga mwingi
  • Mchele 2300/kilo
  • Mafuta ya kula 7000/lita
  • Diesel 3400/lita

Linganisha afu jipe jibu
Ingekuwa vizuri ungeanza wakati wa kikwete ukalinganisha na wa jiwe ukaja Samia ungepata uwiyano mzuri
 
Hivi mnakuwaga na maslahi gani?maana unakuta mtu unashupaa kama kimba la makande oooh mama sijui nini Mama alikunyonyesha lini?Ukweli ni kwamba maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu sàsa kinachokufurahisha boya wewe sijui unapata raha gani watanzania wakipata shida Chawa mkubwa wewe
Huyo jamaa ni mwehu, mjinga mmoja wa kupuuzwa
 
We unazingua kmmmk
Mkuu hilo ni roboti lipo programmed na python kusifia kila jambo, hilo ni chatbot linatumia AI technology.
Usipoteze nguvu zako, mi mwenyewe mwanzoni nilijua ni mtu kumbe ni bot lipo programmed kuimba na kusifia usiku mchana upuuzi.

Usipoteze muda.
 
Na mafuta yanavyokwenda juu ni proportional na gharama za maisha.
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Muna point kweli au ndio munafuata mkumbo tu, kwa sababu naona wengi wanasema eti maisha ni magumu ndio maana wanalaumu. Kwani lini yaliwahi kuwa mazuri?

Tuanzie hapo kwanza.
Ningekuwa mmoja wao ningekujibu hivi:
Ni chuki tu; kwa nini yeye ni Rais halafu mimi siyo?
 
Toa ufala hapa,niliuliza unafanya miamala ya kiasi gani kwenye salary inayozodi ongezeko la salary? Nipe Jibu wewe kimba..

Rais kuendelea kuwakenulia watu kama nyie ndio emnaongea Sana ujinga,hapo tuu ndipo nilikuwa namkubali Mwendazake anakupa jibu dry na ukizingua unatekwa unachezea kichapo unakauka mazima,saizi si ana wachekea mnaongea upumbavu..

Tzn inazalisha mafuta? Kwa nini msihamie kwenye maisha rahisi.
U DC nafasi zimejaa
 
Hapa kwenye mafuta na mahindi umeandika ujinga. Yangepanda zaidi ya hivi na wananchi mngenunua kwa kushangilia na yule ambaye angelalamikia mafuta angeambiwa ajaze mkojo wake kwenye gari lake aendeshe. Wapi JPM alikuwa responsible kwa majanga?
Kaka unaakili kweli wewe au ndio wale majobless unaishi kwa shemeji ako ukiamka asubuhi kitandani unaenda tena kulala sebuleni kwenye sofa utazame tamthilia za Azam tv, kwamba Corona halikuwa janga? Kwa hii EA umejaribu kuangalia nchi zingine bei ya mafuta ipoje? Au unalopokwa tu? Kama kwetu ipo juu ni kwanini? Unazijua sababu zinazofanya mafuta yawe juu?

Kwenye mahindi haki ya Mungu kamt*mbe mama ako la sivyo ufute kauli JPM asingeruhusu yatoke nje yangekuwepo ya kutosha na bei zingebaki vile vile

Ukweli ni kwamba maisha yamekuwa magumu mali tatu ilivyokuwa kwa JPM nyie mnaoishi kwa ndugu zenu mnaona kawaida shemeji yako anaemt*mba dada ako ww ukiwa umelala sebuleni hawezi kukuambia hana hela na ww utaendelea kuishi kwa shemeji siku zote coz huambiwi
 
Mpaka sasa kwa wale wanaompijga mama hakuna aliyekuja na sababu bora kwamba ni wakati gani maisha yalikuwa mazuriiii tu,
Na ukweli ni inkwamba hakuna kitu kama hicho,
So please mwacheni mama apige kazi
Mbeleni hukooo mutafurahi tu
Na hili ni hakika
 
Ni washenzi tuu hao na chuki binafsi..

Unaweza kudhani huko kwa Mwendazake kulikuwa Neema kumbe walikuwa wanachezewa kama watoto na kufukarishwa tuu nothing else..

Mwendazake anawalisha maneno na kuharibia maisha huku wao Wakitanua.

Shida Rais anatumia lugha ya Mama upole,saizi alitakiwa awachane live kama Mseven kwamba Yeye hakuanzisha vita na Wala Tanzania haina visima vya mafuta.

Unakumbuka Bungeni Makamba alisema ambae anaweza leta mafuta Kwa bei ndogo aende Ofisini apewe kibali hadi leo hii kimya Kwa wale wenye midomo.

Mama awatolee uvivu kwa kuwachana live,wanataka atoe Kodi kwenye mafuta Ili avurige bajeti na miradi ikwame wapate pa kusemea.

Samia Kazi hivyo hivyo,usije toa Kodi kwenye mafuta Road fund ya Pesa za TanRoada na Tarura wanategemea hapo Rea wanategmea hapo,Reli wanategemea hapo,hakuna kutoa hata mia.

Nchi karibu zote mafuta yako juu na wanakomaa.

We nymbff unatafiti au una bwabwaja kwa kua hicho kitecno kina bando la jero?
 
Ukiandika vitu vya hovyo utajibiwa hovyo tu mkuu.

Unalipwa salary inayokatwa kodi(paye), salary yako inaingizwa bank, ukitaka kuchomoa sehemu ya mshahara wako hapo crdb unakatwa service charge za bank then unapigwa TOZO, ukienda kutuma pesa kwa mama yako na ile sehemu ya mshahara unakatwa makato na TOZO, ukiweka wese kwenye mkebe wako kwa sehemu ya mshahara wako unakatwa kodi na TOZO.

UTAKUWA MZIMA KWELI KUSAPOTI HUO UPUMBAVU?
Watanzania wengi wamedumaa akili mkuu unafikiri wanachanganua hivi vitu kazi kusifu visivyosifika

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hilo ni roboti lipo programmed na python kusifia kila jambo, hilo ni chatbot linatumia AI technology.
Usipoteze nguvu zako, mi mwenyewe mwanzoni nilijua ni mtu kumbe ni bot lipo programmed kuimba na kusifia usiku mchana upuuzi.

Usipoteze muda.
Kumbe ni chawa Bot
 
Back
Top Bottom