pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
- Thread starter
- #61
Oyaa wakuu baadae basi mida ya mishe hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mpumbavu haswaa wala si kidogo.Ukiandika vitu vya hovyo utajibiwa hovyo tu mkuu.
Unalipwa salary inayokatwa kodi(paye), salary yako inaingizwa bank, ukitaka kuchomoa sehemu ya mshahara wako hapo crdb unakatwa service charge za bank then unapigwa TOZO, ukienda kutuma pesa kwa mama yako na ile sehemu ya mshahara unakatwa makato na TOZO, ukiweka wese kwenye mkebe wako kwa sehemu ya mshahara wako unakatwa kodi na TOZO.
UTAKUWA MZIMA KWELI KUSAPOTI HUO UPUMBAVU?
We sema unaenda kushika bomba gombz to kariakoo hutaweza kutype hadi ufike. 🤣🤣🤣Oyaa wakuu baadae basi mida ya mishe hii
Hau!Tulipofikia ni uchumi wa dunia kuyumba.Tukianza kulaumiana hatufiki.Ni wakati wa kifunga mikaja.Kama huna mkaja funga hata mkwiju au mkanda.Mkuu kwani wew upo abroad?
Nikupe hongera kwa kufurahia haya yanayofanyika, mimi maza na Madelu sioni kitu wanafanya kwa uchumi wa nchi
Maza hana authority, hanaaa!!
Haina query!Mimi ndiyo natimba stendi ya Magufuli kubeba ndwika/mizigo mizito nipate ugali wa wana.Oyaa wakuu baadae basi mida ya mishe hii
Sawa tu, ila nawe usitumie simu unapoendesha hilo jikwama lako,We sema unaenda kushika bomba gombz to kariakoo hutaweza kutype hadi ufike. 🤣🤣🤣
Hapa kwenye mafuta na mahindi umeandika ujinga. Yangepanda zaidi ya hivi na wananchi mngenunua kwa kushangilia na yule ambaye angelalamikia mafuta angeambiwa ajaze mkojo wake kwenye gari lake aendeshe. Wapi JPM alikuwa responsible kwa majanga?Ingekuwa ni kipindi cha JPM sasa hii hakuna sehemu mahindi yangeuzwa elfu 20 kwa ndoo (kilo ya unga Tsh 1800/-, bei ya mafuta isinge paa hivi ilivyo sasa pamoja na vita ya Urusi, ile pesa iliyotumika kwenye loyotua ingefanya jambo la kuonekana tena la maana tu na watalii wangekuja kwa wingi ule ule
Mimi nilibahatisha siti mkuu, naweza type hadi nifike tegeta nyuki😀😀Sawa tu, ila nawe usitumie simu unapoendesha hilo jikwama lako,
Utasababisha ajali
Dah!Kila nikikumbuka watani zangu wa Katerero(Wa'aya) walivyodhulumiwa haki/hela yao ya tetemeko nakosa furaha.Yooooh...bhooojhoo!Hapa kwenye mafuta na mahindi umeandika ujinga. Yangepanda zaidi ya hivi na wananchi mngenunua kwa kushangilia na yule ambaye angelalamikia mafuta angeambiwa ajaze mkojo wake kwenye gari lake aendeshe. Wapi JPM alikuwa responsible kwa majanga?
Mbona unarudi nyumbani saa hizi?Mimi nilibahatisha siti mkuu, naweza type hadi nifike tegeta nyuki😀😀
Nafanya sokoni pale nyuki, karibu upate bidhaa za kula.Mbona unarudi nyumbani saa hizi?
Oooh, ok shukran,Nafanya sokoni pale nyuki, karibu upate bidhaa za kula.
We kenge usijibu Kwa hisia huyo mother hakuna kitu hapo.Ni washenzi tuu hao na chuki binafsi..
Unaweza kudhani huko kwa Mwendazake kulikuwa Neema kumbe walikuwa wanachezewa kama watoto na kufukarishwa tuu nothing else..
Mwendazake anawalisha maneno na kuharibia maisha huku wao Wakitanua.
Shida Rais anatumia lugha ya Mama upole,saizi alitakiwa awachane live kama Mseven kwamba Yeye hakuanzisha vita na Wala Tanzania haina visima vya mafuta.
Unakumbuka Bungeni Makamba alisema ambae anaweza leta mafuta Kwa bei ndogo aende Ofisini apewe kibali hadi leo hii kimya Kwa wale wenye midomo.
Mama awatolee uvivu kwa kuwachana live,wanataka atoe Kodi kwenye mafuta Ili avurige bajeti na miradi ikwame wapate pa kusemea.
Samia Kazi hivyo hivyo,usije toa Kodi kwenye mafuta Road fund ya Pesa za TanRoada na Tarura wanategemea hapo Rea wanategmea hapo,Reli wanategemea hapo,hakuna kutoa hata mia.
Nchi karibu zote mafuta yako juu na wanakomaa.
Hayo unayozungumza ya 'ingekuwa....' ni ya kusadikikaIngekuwa ni kipindi cha JPM sasa hii hakuna sehemu mahindi yangeuzwa elfu 20 kwa ndoo (kilo ya unga Tsh 1800/-, bei ya mafuta isinge paa hivi ilivyo sasa pamoja na vita ya Urusi, ile pesa iliyotumika kwenye loyotua ingefanya jambo la kuonekana tena la maana tu na watalii wangekuja kwa wingi ule ule
Machinga wangeendelea kupiga pesa kama kawaida, tofauti na sasa kumiliki biashara ni mpaka uwe na pesa ndefu pango tu linagharimu sio chini ya laki 5
Hivi mnakuwaga na maslahi gani?maana unakuta mtu unashupaa kama kimba la makande oooh mama sijui nini Mama alikunyonyesha lini?Ukweli ni kwamba maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu sàsa kinachokufurahisha boya wewe sijui unapata raha gani watanzania wakipata shida Chawa mkubwa weweNi washenzi tuu hao na chuki binafsi..
Unaweza kudhani huko kwa Mwendazake kulikuwa Neema kumbe walikuwa wanachezewa kama watoto na kufukarishwa tuu nothing else..
Mwendazake anawalisha maneno na kuharibia maisha huku wao Wakitanua.
Shida Rais anatumia lugha ya Mama upole,saizi alitakiwa awachane live kama Mseven kwamba Yeye hakuanzisha vita na Wala Tanzania haina visima vya mafuta.
Unakumbuka Bungeni Makamba alisema ambae anaweza leta mafuta Kwa bei ndogo aende Ofisini apewe kibali hadi leo hii kimya Kwa wale wenye midomo.
Mama awatolee uvivu kwa kuwachana live,wanataka atoe Kodi kwenye mafuta Ili avurige bajeti na miradi ikwame wapate pa kusemea.
Samia Kazi hivyo hivyo,usije toa Kodi kwenye mafuta Road fund ya Pesa za TanRoada na Tarura wanategemea hapo Rea wanategmea hapo,Reli wanategemea hapo,hakuna kutoa hata mia.
Nchi karibu zote mafuta yako juu na wanakomaa.
Kama hatujitoshelezi mapori yapo mengi na nguvu kazi ipo ya kutosha, iweje tusijitosheleze?Tunajitosheleza kwa mahitaji ya ndani..?
Upunguze machunguili?
Hamia ambako maisha ni rahisi,nani aje akufanyie Kazi? In Magu's voiceHivi mnakuwaga na maslahi gani?maana unakuta mtu unashupaa kama kimba la makande oooh mama sijui nini Mama alikunyonyesha lini?Ukweli ni kwamba maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu sàsa kinachokufurahisha boya wewe sijui unapata raha gani watanzania wakipata shida Chawa mkubwa wewe