Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ili?Kazikwe nae Chato
...Hakuna anayemchukia, ila Mama ana Uwezo mdogo. Ndio maana Kuteua na Kutengua imebaki kuwa ndio Kazi yake kubwa aonekane anafanya kitu!Hakuna anaye mchukia rais Samia ila ukweli lazima uwe wazi kabisa pasi kuacha shaka kwamba raisi Samia ana uwezo mdogo mbona hili hata Prof Assad kasha wahi sema
"60% ya viongozi waliopo serikalini Wana uwezo mdogo"Prof Mussa
Mihuni tu na mijinga hiyo.Isikupotezee wakati.Moja kwa moja kwenye mada.
Muna point kweli au ndio munafuata mkumbo tu, kwa sababu naona wengi wanasema eti maisha ni magumu ndio maana wanalaumu. Kwani lini yaliwahi kuwa mazuri?
Tuanzie hapo kwanza.
Eti eeh,Mihuni tu na mijinga hiyo.Isikupotezee wakati.
SSH yupo ok,oraita kabisa,bien,hana matata!Eti eeh,
Ok ngoja niendelee kupiga mishe
Niachane nao
No one's perfect,SSH yupo ok,oraita kabisa,bien,hana matata!
Umekufa kwa njaa?Hausafiri?Wakati wa Jiwe
- Mchele kilo 900
- Mafuta ya kula 3500/lita
- Diesel 2800/lita
Wakati wa mpiga mwingi
- Mchele 2300/kilo
- Mafuta ya kula 7000/lita
- Diesel 3400/lita
Linganisha afu jipe jibu
Tunajitosheleza kwa mahitaji ya ndani..?Kalime wewe ndio ujue gharama zikoje sio unashinda mtandaoni ukipangia watu masoko
Ulalamishi anaishi nao "bin-Adam"!No one's perfect,
🤣 ndio nikauliza ni wakati gani? Yalikuwa mazuri tuuu hayo maisha?
Bado hajatokea wa kunijibu
Wakati wa mkapaWakati wa Jiwe
- Mchele kilo 900
- Mafuta ya kula 3500/lita
- Diesel 2800/lita
Wakati wa mpiga mwingi
- Mchele 2300/kilo
- Mafuta ya kula 7000/lita
- Diesel 3400/lita
Linganisha afu jipe jibu
Naona anajiwekea shield kwa makamanda maana anajua mtaani hakuna kila kitu amefanya kinaelewekaMwambie apunguze sana kufanya Vikao na Majenerali na Mabrigedia wa Jeshi kwani Kuongoza Tanzania hii yenye Watu wengi Wasomi na Werevu ni zaidi ya Kuonana nao kila mara.
au nchi ipo Vitani kwa sasa? Awe mvumilivu tu kwa Spana zetu kwani zinamsaidia kuyajua yale asiyoyajua na hata Kujirekebisha pia kuliko Wewe ( Nyie ) Wanafiki na Chawa ( Sycophants ) ambao mnajifanya Kumpenda na kuona anapatia huku Mioyoni mwenu mkiwa mnamcheka na Kumnanga.
Yap👍Ulalamishi anaishi nao "bin-Adam"!
Kikwete, mkapaKuna Rais ashawahi pendwa Kwan[emoji38]
Hakuna Rais aliyependwa wakati akiongoza,ila hupendwa Rais mstaafu baada ya aliyeko madarakani kuongozaKikwete, mkapa
Tukio la kagera linahusiana vipi na kupanda kwa bei ya bidhaa..?Kama sio udini, ukabila, ukanda au jinsia vinginevyo hakuna sababu yenye mashiko hata moja,
Hakuna rais angezuia mafuta yasipande bei,au azuie njaa hakuna,
Kama unakumbuka tukio la kagera tu wale waliochangiwa baada ya kimbunga walijibiwa nini?
Walipodai haki yao
Miaka 6 iliyopita maisha yalikua nafuu mno, penye ukweli tusemeHakuna atayependwa na wote wala atayechukiwa na wote,
Mwacheni mama apige kazi matunda mutayaona tu musiwe na haraka,
Vyuma vilikaza hapa miaka sita kimyaaaaa,
Leo miezi sita tu keleleeeeee
Wewe ni mpumbavuUmekufa kwa njaa?Hausafiri?