Mnaomtetea Magufuli mitandaoni wengi wenu hamumjui vizuri, mnamfahamu juu juu tu

Mnaomtetea Magufuli mitandaoni wengi wenu hamumjui vizuri, mnamfahamu juu juu tu

Mimi binafsi simchukii ila sijawahi mkubali Kwa maamuzi yake.eg Vietnamese yenye uchumi wa Dola Bilioni 450 ndio inajenga reli za Sgr kuanzia 2027.

Tanzania yenye uchumi wa Dola bil.80 inahangaika na SGR zisizo na msingi.

Hapo sijagusia kupora watu hela,hakuna Ajira,maisha magumu na upuuzi mwingine kama huo.
Tatizo wote hakuna hata mmoja anayekubali kwamba anamchukia, ila cha ajabu mkiona mtu kamsifia Magufuli kwa lolote hata kidogo tu basi
lazima utie doa kwa kupinga hizo sifa au kueleza mabaya Magufuli kwa maana hamtaki kuona Magufuli anaelezwa tofauti na ispokuwa aelezewe mabaya yake tu na kuna wengine wanafikia kusema hadi Magufuli hana jema hata moja.

Sasa kama hiyo sio chuki bali ni kukosoa basi sijui chuki inafanabaje kwa kweli.
 
Mimi binafsi simchukii ila sijawahi mkubali Kwa maamuzi yake.eg Vietnamese yenye uchumi wa Dola Bilioni 450 ndio inajenga reli za Sgr kuanzia 2027.

Tanzania yenye uchumi wa Dola bil.80 inahangaika na SGR zisizo na msingi.

Hapo sijagusia kupora watu hela,hakuna Ajira,maisha magumu na upuuzi mwingine kama huo.
Tanganyika tunaimba wimbo wa mitano Tena😂
 

Attachments

  • IMG-20250103-WA0026.jpg
    IMG-20250103-WA0026.jpg
    94.6 KB · Views: 1
Watanzania wengi wanampenda Magufuli kupindukia. Sababu kuu nadhani ni ushamba na roho mbaya. Wengi ukiwauliza kwanini unampenda Magufuli atakuambia jamaa ni mchapa kazi. Kama kufanya maendeleo Rais Samia kafanya makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 3 kuliko Magufuli wa miaka 6. Ila ile comedy na roho mbaya ya kutumbua wenzake hadharani ndio sababu kuu ya Watanzania kumpenda Magufuli.

Mtanzania hufurahi sana matatizo ya mwenzake. Mtanzania anafurahi taarifa za msiba, ajali , jirani kukosa kazi, kufukuzwa kazi n.k

Mtanzania akiona jirani yake kalala njaa moyo wake unaburufldika.

Magufuli nimemjua kitambo kabla hajawa Rais . Ni mtu mwenye roho mbaya sana.
Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.

Katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho maiti nyingi zimeokotwa zikiwa zimeharibika na nyingi kutokutambulika, katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho Watanzania wengi walipotea kuliko utawala wa Rais yeyote. Watanzania wasahaulifu sana. Ukiwawekea tukio moja wanasahau ya nyuma yote.
Magufuli alikuwa katili. Ndio vile tu hatuwezi kusema kila kitu kuhofia uhai wetu lakini yule Mzee kutoa roho za wenzake huo mchezo kauanza kabla hajawa Rais.

Mumtafute dereva wake wa zamani akiwa waziri wa ujenzi kabla hajawa Rais mumuhoji politely huenda atafunguka. Yeye anaujua vizuU
 
Wewe Mtoa Post ni KILAZA MKUBWA, Chapisho Lefu limejaa Ujinga Ujinga Tu, Mwisho wa Siku Unaitimisha Chapisho Lako ilo la kishoga Kwa kumchafua Magufuri, Eti Akikutuma Dukani, Ukibaki na Chenji yake Anakudahi, Mimi sikujua kama humu Jamii forum Kuna Vilaza kama Wewe, Nenda FB Kwa Watoto Wenzio KILAZA MKUBWA weeee
 
Mtu akajiita “Jiwe” bado mnaona ana akili?

Ila kupitia haya yalioibuliwa na Kabendera nimejua chawa wengi wa jiwe ambao wengine walikuwa wanajificha ficha kama bangi

raraa reree bro tumejua rangi yako, umejitahidi sanna kukificha lakini tumekunasa
Nimecheki kwanza kama Raraa Reree ka-like hii comment yako 😄
 
Kuna mahandaki kama vietnam, barabara ya banana - kitunda ipo nyuma tu ya airport lakini fedheha kuipita. halafu inakuja kima moja yenye njaa inaandika ujinga kuwa Samia kaleta maendeleo, maendeleo gani?
Hali ilikuwa vipi kipindi cha Magufuli?
 
Sehemu kubwa ya watu wenye roho za chuki na husuda ndiyo walio/ wanaofurahia ukatili wa yule mzee.
Alipotangaza kuwa matajiri wataishi kama shetani wafuasi wake walifanya sherehe, maana wanaamini kuwa umasikini wao umesababishwa na utajiri wa matajiri.
 
Utasikia ni jembe mara Watumishi walikuwa wanatusikiliza 😆😆

Vimaneno vya watu maskini na wapumbavu.

Wao furaha Yao ni kuona wenye nacho wanakuwa maskini kama wao.

Huyo wanaemtetea alikuwa na Magenge ya kupora Mali za watu na hakuna kitu aliwafanya.

Mfano mzuri yule Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mtanda alikuwa anaendesha genge la uporaji mifumo akiwa DC na watu wanajua lakini hawakuwa na pa kusemea maana taarifa zilidhibitiwa na hofu ilitanda.
Pamoja na yule aliyekuwa Mkurugenzi wa mashtaka.
Tatizo la watanzania wakisikia kiongozi furani kadhalilishwa hadharani wanaamini huo ndiyo uchapakazi.
Upuuzi mtupu.
 
Mumtafute dereva wake wa zamani akiwa waziri wa ujenzi kabla hajawa Rais mumuhoji politely huenda atafunguka. Yeye anaujua vizuri ukatili wa Magufuli.
Soma mauaji mengine ya Magufuli hapa chini.

UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA BIHARAMULO

👉Mnamo Mwaka 1985 Mwalimu wa Kemia shule ya sekondari Sengerema John Pombe Magufuli aligombea ubunge wa jimbo la Biharamulo akichuana na Mkulima Phares Kabuye. Kabuye alishinda na kutangazwa Mbunge, na Mwalimu Magufuli akarudi Sengerema kufundisha.

👉Mwaka 1990 Mwalimu Magufuli alichuana tena na Mkulima Kabuye kwa mara ya pili. Kabuye alimshinda tena Magufuli na kutetea kiti chake.

👉Mwaka 1995 wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, jimbo la Biharamulo liligawanywa na kupatikana majimbo mawili (Biharamulo Magharibi na Mashariki). Kabuye aligombea Magharibi akashinda. Magufuli nae akagombea Mashariki na kushinda kwa mara ya kwanza baada ya mpinzani wake wa muda mrefu kwenda magharibi.
Baadae jimbo la Biharamulo Mashariki lilibadilishwa na kuitwa Chato..
Miaka kadhaa baadaye Phares Kabuye alifariki kwa ajali Morogoro.
RIP Phares kabuye

"Bila kuigawa Biharamulo mara mbili nazani sasa hivi John pombe magufuli angekuwa mwalimu mstaafu"

Anayemtetea Magufuli ni mshenzi tu.
 
Back
Top Bottom