Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Una roho mbaya๐....nakumbuka nimewahi sema usinisahau...!paper si Nov? Wamewahi...au ndo zile graduu za dini...ndo ungeenda na dictionary kbs๐๐...lala kidg..๐๐uamke muda wa msosiNipo shuleni kwa dogo hapa, kuna event wenyewe wanaita graduation mass..ni ibada. Full ung'eng'e yaani sielewi..nimeamua kusogeza muda na jf
Leo ni misa ya shukrani, graduation yenyewe ni kesho..hivi uliniambia?? ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ Sijakumbuka..bangi hizi. Ungekuja? Paper November.Una roho mbaya๐....nakumbuka nimewahi sema usinisahau...!paper si Nov? Wamewahi...au ndo zile graduu za dini...ndo ungeenda na dictionary kbs๐๐...lala kidg..๐๐uamke muda wa msosi
Nilijua i like girls nilipobalehe, mambo ya crush na nini, lakini hasa kujua kama lesbian nilipokua miaka 19, my first woman tought me kila kitu.
Nipo shuleni kwa dogo hapa, kuna event wenyewe wanaita graduation mass..ni ibada. Full ung'eng'e yaani sielewi..nimeamua kusogeza muda na jf
Nilikuambia kbs...Tena zaidi ya Mara 2!..na last tym nilikua kakola nikakuambia nataman kuja huko.lakini itabidi iwe graduu ya mwanao...๐๐bangi za siku hizi nadhan Zina madhara makubwa zaidi .hivi utajiskiaje siku mwanao anajua mom anasmoke weed๐!..Leo ni misa ya shukrani, graduation yenyewe ni kesho..hivi uliniambia?? ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ Sijakumbuka..bangi hizi. Ungekuja? Paper November.
Nisamehe best
Akijua najua hataona issu Sana..atanielewa, Ni maisha yangu ati sio yake ๐คฃ๐คฃ๐คฃ. Sivuti tena kuanzia Leo. Niitakupigia baadae uongee nae ataje mwenyewe.Nilikuambia kbs...Tena zaidi ya Mara 2!..na last tym nilikua kakola nikakuambia nataman kuja huko.lakini itabidi iwe graduu ya mwanao...๐๐bangi za siku hizi nadhan Zina madhara makubwa zaidi .hivi utajiskiaje siku mwanao anajua mom anasmoke weed๐!..
Basi mpe hongera mtoto...mwambie aniambie anataka zawadi gani..(ataje mwenyewe) sio wewe๐
Acha bwana...hazina faida WalaAkijua najua hataona issu Sana..atanielewa, Ni maisha yangu ati sio yake ๐คฃ๐คฃ๐คฃ. Sivuti tena kuanzia Leo. Niitakupigia baadae uongee nae ataje mwenyewe.
NimeachaaaaaaaAcha bwana...hazina faida Wala
Anza mdogo mdogo inawezekana..haya mpendwa..ukiona sipatikani usimind..Niko safarini!.halotel ndo inapotea mazima...!
Najinyonga mimi๐๐๐! Mwenzako karibia ๐ anawehuka hukuNimeachaaaaaaa
kwani zamani kule ulikuwa mtu hupendi nyimbo zote za msanii ila kuna moja mtu unaipenda sanaaaaaa..kama mm bnafsi KITOLONDO ya mondi khaaa ntazikwa nayo ileBinafsi sijaona uzuri ama ubaya wa Zuchu
Ipo nyimbo yake moja naipenda
jamani hata zamani mtoto wa mwalimu akipata hesabati 70 basi ataimbwa darasa zima utadhani yeye wa kwanza lakini kuna mjuba amepata 80 na haaimbwi kama wanavomuimba mtoto wa mwalimu mkuu..ishu ni unasimamiwa na nani jamani???She is so overrated.
A hype job.
na ndo hivo vitu wengne hawana kwani huyo ibrah wa harmo yukowapi katoa nyimbo moja alafu kaenda wapi???harmo anasaini kila siku lakini zuchu yuko sawa jamaniSio kwamba ni mzuri sema kuna vitu anavyo anashawishi sana๐
๐๐๐๐ Jamani dah namuonea huruma, Mimi siku ikianza kuniletea madhara naacha fasta.Najinyonga mimi๐๐๐! Mwenzako karibia ๐ anawehuka huku
Hapo mie sina la kusema ila [emoji419][emoji419][emoji419][emoji419], hasa hapo kwa VanessaJaman Mimi ndo simuelewi kabisaaa.alafu ana maneno ya kitaarabu anayapachika huko arghh...Mimi siku zote heshima Nampa Vanessa na Ruby jamani...
๐๐Hallucination babe ..hee kumbe hujaamua kuiacha bado๐! Haijambo yule wifi ako๐๐๐๐ Jamani dah namuonea huruma, Mimi siku ikianza kuniletea madhara naacha fasta.
Yeah mawenge hayakosekani sometimes ๐๐. Wifi hajambo sana๐๐Hallucination babe ..hee kumbe hujaamua kuiacha bado๐! Haijambo yule wifi ako
Naskia simba mla watu alimshamfidofidoMkuu Kuna wanaomuelewa kimuziki tupo tunaomuelewa kwa kumtaka kimahaba,kimapenzi,kumlamla,kumfidodido..๐
Toto yuko vizuri na anafaa kwa matumizi..๐