Mnaomuelewa Zuchu mtueleweshe

Ila tuache utani WCB kama pamoja na kumpika zuchu na tena kumpa collabo na mondi ndio mmetoa project mbovu hivi naanza kuamini sasa hampo serious aisee, nyie hatujawazoea kulipualipua kazi
mawazo yako yanaheshimiwa,asante sana kwa kufungua thread
 
Kuwa hater sio kazi ndogo 😂😂😂😂😂
Ukiwa na ubongo mdogo wa kupambanua mambo kila challenge utayo i-face utaiona kama ni hate

Kwa akili hizi hata majaji ambao wanawakosoa wasanii ambao hawa perfom vizuri pale bss utawaita haters
 
Haupo peke yako hata mimi simuelewi,
Yupo overrated sana,
Yaani tangu Harmonize aondoke Wasafi nuru ya Mond imepotea sana, na siku akiondoka Rayvanny basi Mond atapata ugonjwa wa kichaa.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
We usipomkubali msanii furani haimaanishi atafeli, unaweza kutompenda na bado akafanya vzr.kwa mfano mm konde boy simkubali Ila jamaa hajafail anazidi kufanya vi2 vzr tu
Huyu kidampa kafail mapema kabisaa, huo ndio ukweli.
 
Kama Nandy umeanza kumjua kipindi kafika Clouds wewe Muziki hauufuatilii.
 
Kaka chai umekunywa lakini maana sio kwa essay hii, hahahahaha

TANGU JESHII ATOKE WASAFI NURU YA MONDI INAZIDI KUFIFIA YAAN KAFUBAA HANA RAHA KABISA, KAJAZA WAIMBA TAARABU BASI KICHWA KINAZIDI KUMUUMA.

cocastic niongeze sauti au inatosha babe, lol [emoji1]
 
Dea una nini wee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Napenda sana team wasafi wanavyopanic yaan wanatamani hata wavue boxer wavae vichwani hahaha nikiwa bored hua naenda kuwachokoza youtube channels zao weeee halafu wanaitana basi wanatiririka hapooo me nacheka tu, wakitulia nawapa lingine wanaanza upyaaa, very fun. [emoji23]
 
Uchafu ule
 
Culture Me,wewe ni ME au KE?,....Ni kweli LGBT member?Nina maswali ,nikuulize?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…