Mnaomuelewa Zuchu mtueleweshe

Mnaomuelewa Zuchu mtueleweshe

Sio lazima wewe uielewe.Ukiona huelewi ujue wewe sio fun wake.

Pili jizungumzie wewe,usiseme hatumuelewi.Sema humuelewi wewe binafsi,wacha kufanya generalization ya vitu/watu.

Wewe umekuwa msemaji wa watu wote?Simbilisi mmoja!
We simbilisi unadhan nimekurupuka kuandika huu uzi? Hebu fuatilia huu uzi utaelewa
 
Kwa sababu ameshatengenezewa mazingira ya kupendwa/Kumuelewa, Brand aliyopo ni kubwa na ina attention. Angekua Chini ya uongozi mwengine asingekua na attention, watu wangepotezea baada ya kuujua ukweli.
Na me nakuuliza kwanini Ruby kapotezewa na watanzania?
 
Ngoma yake ya Nisamehe ni kali.

Ila kwa promo tu na sifa, imekuwa too much sasa
Mkaruka Sio tu Nisamehe ana ngoma nyingi Kali Kuna kupendwa Raha, Cheche,litawachoma,Wana, Ashua n.k kafuatilie Sana hizi nyimbo huyo sio kwamba anabebwa pia na yeye anabebeka
 
Watanzania wengi ni kama wewe hivyo, fuata upepo tu kwa kadri ya hype bin promo... kama walivyompotezea yule mwingine!
Kashaulo Vitu vizuri ndio vinapendwa mbona Alikiba alifanyiwa promo kubwa na clouds kuanzia Asubuhi mpaka usiku kwenye ngoma yake ya "Mvumo wa radi" lakini ngoma ikabuma?
 
Mkuu ulitaka awe na talent gani zaidi ya hapo hasa kwa uchanga wake? Kama kuimba anaimba vizuri tu na anaeleweka anachokiimba..na hata kuandika mashairi anaandika mwenyewe wala haandikiwi na mtu... Ila anyway kila mtu na ladha zake ktk music na ndo maana kuna genries tofuati tofuati huwenda miondoko yake haikupendezi ila sie watu wa pwani/visiwani tunamuelewa saana

Kwanza musiomuelewa mupo wachache mno, so ukisema yupo overrated unakosea...hata Burna Boy alimkubali Zuchu japo ni mnaijeria.
talentboy Hadi patoranking ameonesha kukubali kipaji chake alafu mtu huna ujuzi wowote kwenye mziki unaanza kuhoji kipaji Cha mtu
 
Kuna dogo aliwahi kuja na uzi hapa eti Zuchu ni mkali Jaydee asubiri[emoji3] wewe endelea tu kumfuatilia labda utamuelewa.
Pengine hukumuelewa katika angle aliyo maanisha

Inaweza kuwa ye ni mkali labda pengine ana ng'ata sana wenzake
 
Ukishaona msanii anaongelewa basi ujue ana kitu special.

Wewe uliemwongelea na aliyefungua uzi kusoma wote mna interest ya kufahamu kuhusu Zuchu.

Hiyo ni kubwa sana kwa msanii.
Ishu sio u-Special tu, ishu ni u-special katika factor gani

Mwaka 2018 Kuna msanii gani aliyeongelewa sana kuliko amberruty?

Unaweza kunipa sababu iliyomfanya watu wengi wamuongelee?

Hiyo sababu iko katika negative au positive?

Hili ni jukwaa la celebreties tena nje limewekewa na heading kabisa kua "mijadala kuhusu vimbwanga vya hao ma-celebreties"
 
  • Thanks
Reactions: T11
Huyu ndio zuchu, anamkimbiza hadi Alikiba kwenye digital platforms.
We dhani streams zote hizi million 4 ni za machizi.View attachment 1571921

Nyie kama hamumuelewi ni kivyenu ila anawafuasi zaidi ya milioni moja kwenye akaunti yake ya instagram katika kipindi kifupi tangu atambulishwe kwenye game.
Alaah kumbe ndo huyu!

Halafu Kuwa na wafuasi milioni moja haiondoi maana ya mleta mada kua dada anaimba nyimbo mbovu

Hakuna kitu kibaya kama kua mashabiki wa kufata trend.
 
Watu kama nyie bado mnahitajika sana ili wengine wazidi kufanikiwa,ila ubaya ni kwamba huwa mnaishia kushika uchawi na kuwaroga wale walioshindikana
Sidhani kama hata wewe uko sahihi kwa maana kwamba unafungwa na comment yako kwa personal attacks unajikuta nawewe unaingia kwenye hilo kundi la hao "wanaoshika uchawi na kuwaroga wengine"
 
Kashaulo Vitu vizuri ndio vinapendwa mbona Alikiba alifanyiwa promo kubwa na clouds kuanzia Asubuhi mpaka usiku kwenye ngoma yake ya "Mvumo wa radi" lakini ngoma ikabuma?
Alikiba na clouds ni ma-losers wale saizi wanakomaa na kondeboy baada ya kuona wanaembeba mgongoni ananye.a na kuwakoj.olea
 
Mkuu ulitaka awe na talent gani zaidi ya hapo hasa kwa uchanga wake? Kama kuimba anaimba vizuri tu na anaeleweka anachokiimba..na hata kuandika mashairi anaandika mwenyewe wala haandikiwi na mtu... Ila anyway kila mtu na ladha zake ktk music na ndo maana kuna genries tofuati tofuati huwenda miondoko yake haikupendezi ila sie watu wa pwani/visiwani tunamuelewa saana

Kwanza musiomuelewa mupo wachache mno, so ukisema yupo overrated unakosea...hata Burna Boy alimkubali Zuchu japo ni mnaijeria.
Mi sijawahi sikiliza nyimbo zake na sijui anaimbaje, nimemjua sahizi humu baada ya mdau kuweka picha yake.

Lakini huyu dada sio siri lets be honest ametrend ghafla sana hususani humu mitandaoni, mwanzo nilijua atakua yuko katika system za kisiasa

Kuhusu hilo swala la kwamba wasiompenda wapo wachache nataka kujua hiyo tafiti umeitolea wapi? Na ni sensa iliyofanyikia wapi?
 
Alikiba na clouds ni ma-losers wale saizi wanakomaa na kondeboy baada ya kuona wanaembeba mgongoni ananye.a na kuwakoj.olea
Ma-losers kwenye kuimba au kimaisha?
 
Huyu ndio zuchu, anamkimbiza hadi Alikiba kwenye digital platforms.
We dhani streams zote hizi million 4 ni za machizi.View attachment 1571921

Nyie kama hamumuelewi ni kivyenu ila anawafuasi zaidi ya milioni moja kwenye akaunti yake ya instagram katika kipindi kifupi tangu atambulishwe kwenye game.
Anabebwa na jina la Wasafi
 
Alaah kumbe ndo huyu!

Halafu Kuwa na wafuasi milioni moja haiondoi maana ya mleta mada kua dada anaimba nyimbo mbovu

Hakuna kitu kibaya kama kua mashabiki wa kufata trend.
Namimi ndo siwezagi kuwa trend followers ni mpaka nijiridhishe kitu kinaubora unaostahili... ndo maana kwa zuchu bado najaribu kuunga dots zinagoma
 
Back
Top Bottom