Mnaonaje Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035?

Mnaonaje Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035?

Kama angekuwa ametumikia miaka pungufu ya mitatu, then sawa ila kwa bahati mbaya magufuri amefariki na kumuachia zaidi ya miaka minne so kikatiba haruhusiwi kugombea zaidi ya mara mbili. Yaani hapa akiingia uchaguzi wa 2025 ndio mwisho wake kugombea hata kama CCM watapendekeza aendelee katiba inakataa kabisa.
Mkuu, shida ni tafsiri ya Katiba, labda tunahitaji marekebisho madogo ya Katiba kwenye Ibara hizi ili kujipanga na uzoefu tulioupata wa kuondokewa na kiongozi akiwa madarakani.

Sura ya Pili, Sehemu ya Kwanza, Ibara za 38, 39 na 40.

Ibara ya 40 (1) na (2)

Kifungu (1)
"Bila kuathiri masharti ya mengineyo yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote ambaye ni Rais anaweza kuchaguliwa tena kushika kiti hicho" Siyo kuteuliwa na Katiba.

Kifungu (2)
"Hakuna mtu atakayechaguliwa zaidi ya mara mbili kushika kiti cha Rais"

Mhe. Rais Samia hajachaguliwa, atachaguliwa kwa mara ya kwanza 2025 na hivyo kwa mara ya pili kama atagombea na kushinda 2030 na hivyo kuhitimisha awamu zake 2035.

Bado tunaye sana tu!
 
Dawa yenu ni katiba mpya - maana CCM sasa hivi mnapangiana miaka awamu kwa awamu as if Tanzania mnaimiliki nyie.. usishangae mwingine akasema mama akitoka January anakamata 2035 - 2045.
Kama ana vigezo na sifa anakamata tu, ni haki yake kama ilivyo kwa mwingine, mbona dynasty inafanyakazi duniani?
 
Nachokoza mada.

Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.


Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?

Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.
Kama amepata hicho cheo kwa mujibu wa katiba..... Sasa kwa nini katiba hiyo hiyo ipinfishwe.
 
Hata yule mlimuombea hivi hivi
Shida MUNGU nae anapanga yake.
Dakika yako 1 ya mbele haujui itakuwaje vipi hyo miaka.?.
 
Kama amepata hicho cheo kwa mujibu wa katiba..... Sasa kwa nini katiba hiyo hiyo ipinfishwe.
Sura ya Pili, Sehemu ya Kwanza, Ibara za 38, 39 na 40.

Ibara ya 40 (1) na (2)

Kifungu (1)
"Bila kuathiri masharti ya mengineyo yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote ambaye ni Rais anaweza kuchaguliwa tena kushika kiti hicho" Siyo kuteuliwa na Katiba.

Kifungu (2)
"Hakuna mtu atakayechaguliwa zaidi ya mara mbili kushika kiti cha Rais"

Mhe. Rais Samia hajachaguliwa, atachaguliwa kwa mara ya kwanza 2025 na hivyo kwa mara ya pili kama atagombea na kushinda 2030 na hivyo kuhitimisha awamu zake 2035.

Bado tunaye sana tu!
 
Mkuu, shida ni tafsiri ya Katiba, labda tunahitaji marekebisho madogo ya Katiba kwenye Ibara hizi ili kujipanga na uzoefu tulioupata wa kuondokewa na kiongozi akiwa madarakani.

Sura ya Pili, Sehemu ya Kwanza, Ibara za 38, 39 na 40.

Ibara ya 40 (1) na (2)

Kifungu (1)
"Bila kuathiri masharti ya mengineyo yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote ambaye ni Rais anaweza kuchaguliwa tena kushika kiti hicho" Siyo kuteuliwa na Katiba.

Kifungu (2)
"Hakuna mtu atakayechaguliwa zaidi ya mara mbili kushika kiti cha Rais"

Mhe. Rais Samia hajachaguliwa, atachaguliwa kwa mara ya kwanza 2025 na hivyo kwa mara ya pili kama atagombea na kushinda 2030 na hivyo kuhitimisha awamu zake 2035.

Bado tunaye sana tu!
Sio kipande hicho.

Soma hapa......
Screenshot_20211018_085947.jpg
 
Sura ya Pili, Sehemu ya Kwanza, Ibara za 38, 39 na 40.

Ibara ya 40 (1) na (2)

Kifungu (1)
"Bila kuathiri masharti ya mengineyo yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote ambaye ni Rais anaweza kuchaguliwa tena kushika kiti hicho" Siyo kuteuliwa na Katiba.

Kifungu (2)
"Hakuna mtu atakayechaguliwa zaidi ya mara mbili kushika kiti cha Rais"

Mhe. Rais Samia hajachaguliwa, atachaguliwa kwa mara ya kwanza 2025 na hivyo kwa mara ya pili kama atagombea na kushinda 2030 na hivyo kuhitimisha awamu zake 2035.

Bado tunaye sana tu!
Wewe bado haujaelewa. Katiba inasema ikatokea raisi aliyepo, akapatwa na umauti, then makamo wake akikaimu nafasi hiyo kulingana na maelekezo ya katiba katika kipindi kinachopungua miaka mitatu hadi mwisho wa awamu husika then huyu mkaimu ataweza kuingia katika chaguzi kugombea mara mbili zaidi, na ikatokea akamekaimu miaka zaidi ya mitatu kama samia kwa sasa then ataruhusiwa kikatiba kugombea mara moja tu na si zaidi.

Wapi haujaelewa bwana mdogo?!
 
Sura ya Pili, Sehemu ya Kwanza, Ibara za 38, 39 na 40.

Ibara ya 40 (1) na (2)

Kifungu (1)
"Bila kuathiri masharti ya mengineyo yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote ambaye ni Rais anaweza kuchaguliwa tena kushika kiti hicho" Siyo kuteuliwa na Katiba.

Kifungu (2)
"Hakuna mtu atakayechaguliwa zaidi ya mara mbili kushika kiti cha Rais"

Mhe. Rais Samia hajachaguliwa, atachaguliwa kwa mara ya kwanza 2025 na hivyo kwa mara ya pili kama atagombea na kushinda 2030 na hivyo kuhitimisha awamu zake 2035.

Bado tunaye sana tu!
Alichaguliwa 2020 kwa mujibu wa katiba. Unapokuwa unamchagua Rais kwenye uchaguzi mkuu kwa mujibu wa katiba unakuwa unawachagua kwa pamoja wafuatao (siyo unawateua):
1. Unakuwa unamchagua Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
2. Umakuwa unamchagua makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
3. Unakuwa unamchagua Rais wa Jamhuri ya Tanzania atakayeshika nafasi endapo ndani ya miaka mitano Rais aliyepo madarakani atakosa uwezo wa kuwa Rais kwa sababu yohote ile au akifariki.
Kwa hiyo kwa mujibu wa katiba SSH tulishamchagua kwa kura hapo october 2020.
Achilia mbali ukweli huo, katiba inaainisha wazi kuwa endapo makamu atachukua nafasi ya urais kwa zaidi ya miaka 3, basi atsweza kugombea kwa mara moja nyingine na si zaid.i
 
Nachokoza mada.

Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.


Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?

Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.
Naunga mkono hoja tena mimi nataka apewe hata miaka 40.
 
Tanganyika ipo imelivaa kitu la muungano.

Kuhusu invasion of Zanzibar
Msikilize Lukuvi anaongea nini kanisani



Hamza alitakiwa amwanzie huyu kwanza anaechukia waislamu na wazanzibari kwa ujumla, i wish mheshimiwa rais aione hii clip. Na kama ameiona atakuwa anakosea sana kumwacha aendelee kuwa waziri. Ni mdini na mbaguzi sana
 
Nachokoza mada.

Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.


Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?

Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.

855C6EDA-F179-4709-902A-BEF922C70E9A.jpeg
 
Kuna mtu walimpamba hivyo hata miaka 6 hakufika, acha kumchulia mama wa kipemba [emoji849]
 
Sio kipande hicho.

Soma hapa...... View attachment 1978195
Mkuu unajuwa tatizo liko kwenye tafsiri, hasa ya neno "uchaguzi" kifungu hiki cha 4 cha ibara ya 40 ebu kisome sambamba na kifungu cha 1 ibara ya 41, kuhusu:-
1. Uwasilishaji wa majina ya wagombea,
2. Inachopaswa kufanya Tume ya Uchaguzi,
Hapa ndipo hata wapinzani wanapata shida. Sasa basi Mhe. SSH alitambuliwa lini na Tume ipi ya Uchaguzi? Jina lake litawasilishwa kwa mara ya kwanza kwa NEC 2025 (rekodi za NEC hazitasoma kwamba SSH aliwahikugombea 2021). Tunaweza tukakwama mbeleni mkuu...
 
Nachokoza mada.

Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.


Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?

Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.
Aendelee mpaka 2040
 
Back
Top Bottom