Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unasema nipigie mstari jibu kwamba uelewa wako ni mkubwa kuwa Ikulu iko juu ya katiba kwamba haiwezi kukaguliwa na CAG basi kumbe Rais ambaye ndiye Mkuu wa taasisi ya Ikulu aongoze milele kwa kutumia uelewa wako kwamba yuko juu ya katiba.
Nachokoza mada.
Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.
Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?
Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.
Akamuulize kuzimu?Muulize yule aliyetaka kufanya hivyo kwa kwa kuteua wabunge wote na madiwani wote wawe CCM. Je tunae hatunae?
Historia huwa ina archive evidence, ziweke hapa tufaidike nazo.Ushahidi wa kitu gani Na Si siri kila mtu aliyekuwa Na umri wa at least miaka 7 mwaka 1964 anajua
Si uende KIUTA kwenye archive Za magazeti utaona au waulize wazee wako wa CCM watakuambia. Pia hio ni historia bado iko vichwani mwa watu , kaulize mtu yeyote mwenye umri wa at least 64 yrs atakuambia kwa huku kwetu ZanzibarHistoria huwa ina archive evidence, ziweke hapa tufaidike nazo.
KIUTA haifanyi archiving, inachapa nyaraka za serikali tu. Archiving inafanywa na idara ya kuhifadhi nyaraka za serikali. Kwa magazeti yanachapwa na viwanda binafsi vya uchapaji na archiving zake zinafanywa na Shirika la Maktaba ya Taifa. KIUTA pekee ndiyo inachapa gazeti la serikali (government gazette).Si uende KIUTA kwenye archive Za magazeti utaona au waulize wazee wako wa CCM watakuambia. Pia hio ni historia bado iko vichwani mwa watu , kaulize mtu yeyote mwenye umri wa at least 64 yrs atakuambia kwa huku kwetu Zanzibar
Hivi Znz na Tangayika ipi inafaidi muungano?Akamuulize kuzimu?
Huu ni ufinyi na ukosefu wa oksijeni kwenye ubongoNachokoza mada.
Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.
Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?
Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.
Acha upumbavuKatiba inasema awamu zisizozidi mbili kwa uchaguzi, yeye awamu zake mbili za uchaguzi ni 2025-2035, si ni ukweli huu mkuu imhotep?
Ndio, Mabeyo anajua kinachoendelea kuliko Samia.Kwamba alieapa ni mabeyo?
UngujaHivi Znz na Tangayika ipi inafaidi muungano?