Mnaonaje Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035?

Mnaonaje Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035?

Nachokoza mada.

Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.


Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?

Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.
Acha mambo ya ajabu wewe! Akae madarakani sababu wewe unakula per Diem za Uchawa?!
 
Wewe bado haujaelewa. Katiba inasema ikatokea raisi aliyepo, akapatwa na umauti, then makamo wake akikaimu nafasi hiyo kulingana na maelekezo ya katiba katika kipindi kinachopungua miaka mitatu hadi mwisho wa awamu husika then huyu mkaimu ataweza kuingia katika chaguzi kugombea mara mbili zaidi, na ikatokea akamekaimu miaka zaidi ya mitatu kama samia kwa sasa then ataruhusiwa kikatiba kugombea mara moja tu na si zaidi.

Wapi haujaelewa bwana mdogo?!
Katiba za Zambia na Afrika Kusini ndizo zina tafsiri nzuri zinasema "CARETAKER PRESIDENT" nafikiri na sisi tungefuata tafsiri hii, ili Makamu akichukuwa Urais asiitwe rais bali aitwe CARETAKER PRESIDENT ili 2025 agombee kama FRESH PRESIDENT ili astahili two terms.
 
Mkuu unajuwa tatizo liko kwenye tafsiri, hasa ya neno "uchaguzi" kifungu hiki cha 4 cha ibara ya 40 ebu kisome sambamba na kifungu cha 1 ibara ya 41, kuhusu:-
1. Uwasilishaji wa majina ya wagombea,
2. Inachopaswa kufanya Tume ya Uchaguzi,
Hapa ndipo hata wapinzani wanapata shida. Sasa basi Mhe. SSH alitambuliwa lini na Tume ipi ya Uchaguzi? Jina lake litawasilishwa kwa mara ya kwanza kwa NEC 2025 (rekodi za NEC hazitasoma kwamba SSH aliwahikugombea 2021). Tunaweza tukakwama mbeleni mkuu...
Naona umechagua kutokuelewa tu na kinachokupa ugumu wa kuelewa ni dhamira yako na unachotaka kitokee. Ila katiba imeshaweka hapo maelezo wazi.

Samia alikuwa makamo na sahii ni Kaimu Raisi hadi hadi 2025 atakapoingia tena kugombea na akifanikiwa kupita atakuwa raisi kamili ila kulingana na masharti ya katiba anatakiwa kugombea mara moja tu yaani hiyo 2025 hatoruhusiwa zaidi kutokana na maelekezo yaliyopo katika vifungu husika.

Wewe unachofanya ni kulazimisha mawazo yako kwa kutafutiza vifungu visivyo husika na kuvitumia mahala ambapo sio pake.


Kwanza hapo unachokisema unakosea, Samia na magufuri hawakupitishwa na tume ?!
 
Alichaguliwa 2020 kwa mujibu wa katiba. Unapokuwa unamchagua Rais kwenye uchaguzi mkuu kwa mujibu wa katiba unakuwa unawachagua kwa pamoja wafuatao (siyo unawateua):
1. Unakuwa unamchagua Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
2. Umakuwa unamchagua makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
3. Unakuwa unamchagua Rais wa Jamhuri ya Tanzania atakayeshika nafasi endapo ndani ya miaka mitano Rais aliyepo madarakani atakosa uwezo wa kuwa Rais kwa sababu yohote ile au akifariki.
Kwa hiyo kwa mujibu wa katiba SSH tulishamchagua kwa kura hapo october 2020.
Achilia mbali ukweli huo, katiba inaainisha wazi kuwa endapo makamu atachukua nafasi ya urais kwa zaidi ya miaka 3, basi atsweza kugombea kwa mara moja nyingine na si zaid.i
Kweli wewe Mbingunikwetu,
Umenishawishi kwa 75%.
Tafsiri yako ina mashiko.
 
Katiba za Zambia na Afrika Kusini ndizo zina tafsiri nzuri zinasema "CARETAKER PRESIDENT" nafikiri na sisi tungefuata tafsiri hii, ili Makamu akichukuwa Urais asiitwe rais bali aitwe CARETAKER PRESIDENT ili 2025 agombee kama FRESH PRESIDENT ili astahili two terms.
Kwani nani kasema Samia ni raisi kamili, ni nyie CCM na mapambio yenu kucha kutwa kumsifu mkimwita raisi mara mama mara bibi.

Huyu ni Mheshimiwa Kaimu Rais wa awamu ya tano. Ila nyie kwasababu za uchama na sifa mnamwita rais wa awamu ya sita, kwa uchaguzi gani?!
 
Kweli wewe Mbingunikwetu,
Umenishawishi kwa 75%.
Tafsiri yako ina mashiko.
Amekuelekeza vema kabisa. Usipomuelewa vema utakuwa na shida.... Alichokisema ndicho kipo kwenye katiba. Wewe unapindisha maelekezo sijaelewa kwann!
 
Mkuu, Tz siyo Comoros inayoongoza duniani kwa mapinduzi 20 (baridi na moto) tangu just 1975. Ombea taifa mkuu.
We must pray for this nation. And we must pray against all tyrannical minds and elements. Our duty is not to stage revolutions but to raise our voices and curse all evil minds that aim at tramping and disobeying constitution. If our prayers will lead to their demise, so let it be
 
“If a door is shut, attempts should be made to open it; if it is ajar, it should be pushed until it is wide open. In neither case should the door be blown up at the expense of those inside.”

Julius Kambarage Nyerere, from his Stability and Change in Africa speech given to the University of Toronto, Canada, 2 October 1969. -



Complex Majority (not Simple Majority) of Tanzanians will push the door until H.E. SSH secures for 15 yrs tenure.
Hata ungrandika kigiriki bado ni trash.
Hata kwenyr mapenzi mwanzo hua mtamu utasema wa milele na majina yoote ila yanapo geuka ndio kipimo cha udhabiti wa MTU.

Rais ndo kwanza miezi sits anayoyanena kinyume na anayotenda au kutendeka wewe unaimba nyimbo ka Toto dogo.

Waafrika tukubali zama zimebadilika hatuwezi ongozwa kwakutegemea MTU anayebadilika au kujua mwisho wa pumzi yake.

Tunahitaji taasisi imara itakayowajibisha ideas na ideology za kiongozi katika maendeleo ya kweli na si porojo. Ila kwakua wajinga wengi nchini mnajisemea na Mimi zamu yangu itafika Nile ndo mana mnamsifia kila ajae kwamba ni bora zaidi ya aliyetangulia. Huu ni unafiki.
 
Alichaguliwa 2020 kwa mujibu wa katiba. Unapokuwa unamchagua Rais kwenye uchaguzi mkuu kwa mujibu wa katiba unakuwa unawachagua kwa pamoja wafuatao (siyo unawateua):
1. Unakuwa unamchagua Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
2. Umakuwa unamchagua makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
3. Unakuwa unamchagua Rais wa Jamhuri ya Tanzania atakayeshika nafasi endapo ndani ya miaka mitano Rais aliyepo madarakani atakosa uwezo wa kuwa Rais kwa sababu yohote ile au akifariki.
Kwa hiyo kwa mujibu wa katiba SSH tulishamchagua kwa kura hapo october 2020.
Achilia mbali ukweli huo, katiba inaainisha wazi kuwa endapo makamu atachukua nafasi ya urais kwa zaidi ya miaka 3, basi atsweza kugombea kwa mara moja nyingine na si zaid.i
Kweli wewe Mbingunikwetu,
Umenishawishi kwa 75%.
Tafsiri yako ina mashiko.
Naona umechagua kutokuelewa tu na kinachokupa ugumu wa kuelewa ni dhamira yako na unachotaka kitokee. Ila katiba imeshaweka hapo maelezo wazi.

Samia alikuwa makamo na sahii ni Kaimu Raisi hadi hadi 2025 atakapoingia tena kugombea na akifanikiwa kupita atakuwa raisi kamili ila kulingana na masharti ya katiba anatakiwa kugombea mara moja tu yaani hiyo 2025 hatoruhusiwa zaidi kutokana na maelekezo yaliyopo katika vifungu husika.

Wewe unachofanya ni kulazimisha mawazo yako kwa kutafutiza vifungu visivyo husika na kuvitumia mahala ambapo sio pake.


Kwanza hapo unachokisema unakosea, Samia na magufuri hawakupitishwa na tume ?!
Mkuu, hauko sahihi kusema eti SSH ni Kaimu Rais, kwa Katiba ipi? Kwenye hati ya kiapo chake hatukusikia akiapa kwamba "Nitakuwa Kaimu Rais wa JMT, badala yake aliapa kuwa Rais kamili wa JMT Autonomus President of URT" nimeweka rekodi vizuri tu hapo.
 
Kwani nani kasema Samia ni raisi kamili, ni nyie CCM na mapambio yenu kucha kutwa kumsifu mkimwita raisi mara mama mara bibi.

Huyu ni Mheshimiwa Kaimu Rais wa awamu ya tano. Ila nyie kwasababu za uchama na sifa mnamwita rais wa awamu ya sita, kwa uchaguzi gani?!
Mkuu tupe reference mahala popote duniani ambapo Kaimu Rais ana mamlaka ya kuunda serikali.
 
Amekuelekeza vema kabisa. Usipomuelewa vema utakuwa na shida.... Alichokisema ndicho kipo kwenye katiba. Wewe unapindisha maelekezo sijaelewa kwann!
Ndiyo maana nilisisitiza kuwa tupate tafsiri nzuri, sasa yeye kaja na tafsiri nzuri na nimekiri waziwazi bila kutafuna maneno kuwa nimemuelewa vzr, ila nina shaka kama anaweza kukubaliana na tafsiri yako ya SSH kuapa kama Kaimu Rais ambayo haiko kwenye katiba. Katiba inasema Kaimu Rais atakuwepo pale ambapo Rais yu hai, tena yuko nje ya nchi kwa zaidi ya saa 24. Akiwapo ndani ya nchi lakini nje ya makao makuu ya nchi bado nafasi yake haitakaimiwa. JPM kukaa Chato ilikuwa ni sahihi kikatiba japo upande wa pili wa siasa ulipotosha sana.
 
Kwani nani kasema Samia ni raisi kamili, ni nyie CCM na mapambio yenu kucha kutwa kumsifu mkimwita raisi mara mama mara bibi.

Huyu ni Mheshimiwa Kaimu Rais wa awamu ya tano. Ila nyie kwasababu za uchama na sifa mnamwita rais wa awamu ya sita, kwa uchaguzi gani?!
Umejichanganya tena kwa kuuliza eti "kwa uchaguzi upi" wakati huohuo umekubali tafsiri ya mbingunikwetu kuwa "SSH aliishachaguliwa pamoja na JPM kama Running Mate" hivyo ni rais aliyechaguliwa kwa uchaguzi halali.
 
We must pray for this nation. And we must pray against all tyrannical minds and elements. Our duty is not to stage revolutions but to raise our voices and curse all evil minds that aim at tramping and disobeying constitution. If our prayers will lead to their demise, so let it be
Mercy! Mercy! Mercy upon them for God is God of #Mercy.
 
Nachokoza mada.

Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.


Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?

Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.
kujikomba ndo wabongo tunajua zaidi
 
Hata ungrandika kigiriki bado ni trash.
Hata kwenyr mapenzi mwanzo hua mtamu utasema wa milele na majina yoote ila yanapo geuka ndio kipimo cha udhabiti wa MTU.

Rais ndo kwanza miezi sits anayoyanena kinyume na anayotenda au kutendeka wewe unaimba nyimbo ka Toto dogo.

Waafrika tukubali zama zimebadilika hatuwezi ongozwa kwakutegemea MTU anayebadilika au kujua mwisho wa pumzi yake.

Tunahitaji taasisi imara itakayowajibisha ideas na ideology za kiongozi katika maendeleo ya kweli na si porojo. Ila kwakua wajinga wengi nchini mnajisemea na Mimi zamu yangu itafika Nile ndo mana mnamsifia kila ajae kwamba ni bora zaidi ya aliyetangulia. Huu ni unafiki.
Xi Jinping, Vladimir Putin na Paul Kagame hawajui mwisho wa pumzi zao? Mbona mataifa yao yako vizuri sana kimaendeleo? Wameondokana na gharama na vuta nikuvute za demokrasia ya chaguzi.
 
Xi Jinping, Vladimir Putin na Paul Kagame hawajui mwisho wa pumzi zao? Mbona mataifa yao yako vizuri sana kimaendeleo? Wameondokana na gharama na vuta nikuvute za demokrasia ya chaguzi.
Kagame hafanyi uchaguzi???
Korea utalinganisha na ufisi wa ccm?

Huyu anaye teua usiku anatumbua alfajiri??
Hata chanjo hajui inachanjwa Mara ngap?
Usimlinganishe na vichwa vinavyohangaika na namna dunia inavyoenda
 
kujikomba ndo wabongo tunajua zaidi
“You don’t have to be a Communist to see that China has a lot to teach us in development. The fact that they have a different political system than ours has nothing to do with it.”

Julius Kambarage Nyerere, as quoted in Donald Robinson’s The 100Most Important People in the World Today, New York 1970. -


 
Back
Top Bottom