Na wala sithubutu ku place order, bado hali sio shwariDuuh!! Hakuna aliejibu
Sawa mkuuna wala sithubutu ku place order, bado hali sio shwari
Sidhani. Nimenununua vitu mwishoni mwe February aliexpress mpaka hii leo sijavionaaKipindi cha corona China kila kitu kilisimama na hali ilikua tete sana na biashara nyingi zilikwama.
...
Sent using Jamii Forums mobile app
na wala sithubutu ku place order, bado hali sio shwari
Sidhani. Nimenununua vitu mwishoni mwe February aliexpress mpaka hii leo sijavionaa
Kama ni kikuu tambua umetoa sadaka mkuu kikuu sio waaminifuNimeplace order kikuu nasubiria mzigo
Kipindi cha corona China kila kitu kilisimama na hali ilikua tete sana na biashara nyingi zilikwama.
Na kwa upande wa aliexpress na alibaba na aliexpress pia biashara zilikwama kabisa kukawa bidhaa hazifiki na jumla biashara zilisimama.
Sasa hivi China corona ilishakwisha na biashara zimerudi nambieni wakuu wale wanaonunua kule, je tayari wameanza kutuma bidhaa?
Wangapi wameagiza mizigo na ikafika vizuri kwa kipindi hiki?
Sent using Jamii Forums mobile app
na wala sithubutu ku place order, bado hali sio shwari
Sidhani. Nimenununua vitu mwishoni mwe February aliexpress mpaka hii leo sijavionaa
Kwani silent ocean si sikuhizi wanaweza kukununulia kitu na kukusafirishia au Ni propaganda tu?Muda huu ni wa kutuliza ball kwanza. Subiri upepo wa covid-19 upite
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila unakuwa umepoteza muda sana. Yaani miezi mitatu minne unakuja kugundua ulichoagiza huwezi kukipata. Vipo ambavyo supplier alishindwa ku deliver aka cancel order baada ya miezi miwili. Kuna vingine nilipotaka ku complain, suggestion niliyopea ni kuwa mpole tu maana covid 19 imeathiri supply chain
Mhhh...mtu wangu wa karibu alianza kununua Kikuu Disrmba,hajawahi tapeliwa....labda wanatapeli mizigo ya mamilioni ,Ni kweli Feb na Aprili usafirishaji ulikuwa unachukua miezi 2,wiki Jana kuchukua kamxigo kake baada ya wiki 2!Kama ni kikuu tambua umetoa sadaka mkuu kikuu sio waaminifu