toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Kipindi cha corona China kila kitu kilisimama na hali ilikua tete sana na biashara nyingi zilikwama.
Na kwa upande wa aliexpress na alibaba na aliexpress pia biashara zilikwama kabisa kukawa bidhaa hazifiki na jumla biashara zilisimama.
Sasa hivi China corona ilishakwisha na biashara zimerudi nambieni wakuu wale wanaonunua kule, je tayari wameanza kutuma bidhaa?
Wangapi wameagiza mizigo na ikafika vizuri kwa kipindi hiki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwa upande wa aliexpress na alibaba na aliexpress pia biashara zilikwama kabisa kukawa bidhaa hazifiki na jumla biashara zilisimama.
Sasa hivi China corona ilishakwisha na biashara zimerudi nambieni wakuu wale wanaonunua kule, je tayari wameanza kutuma bidhaa?
Wangapi wameagiza mizigo na ikafika vizuri kwa kipindi hiki?
Sent using Jamii Forums mobile app