Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Mtihani Mkubwa kabisa Kwa Sasa unanikabili ni pale unapoenda kukata nywele. Wale wadada baada ya huduma kuanzia anapokuja kufunga kitaulo akuulize utafanya vitu Gani anataka akushike mabega alafu ghafla anakuita mpenzi...

Hapo ndio hua inabidi nimuulize, ukifanya scrub na hiyo dawa ya mmba unayolazimisha utapata kiasi gani? Akishataja namwambia Sasa hiyo pesa ntakupatia ila chukua maji ya moto, weka dettal Kisha nisafishe kichwa Kwa kitambaa, ntaenda kuoga nyumbani.

Wenye hizi Barber shop inabidi wajiongeze, sio Kila mtu anapenda kwenda hizo sehem anataka huduma ya ziada Tena Kwa stranger.

Huduma ya kuoshwa kichwa Kwa kitambaa ikiwezekana ifanyike hapo hapo unaponyolewa Tena na kinyozi wa kiume bila kuingizana huko chumbani na kushkanashkana masikio.
 
Teregram labda uwe na channel za hayo mambo ! Lkn teregram yenye ni app kama social app zingine kama whatsup na insta
Mimi naitumia na ndio nafahamu hivyo. Sasa huyo mdau hapo kanipa kitu ambacho Nimeona kigeni.

Anyway, tunazudiana uwezo kutumia haya makituu...
 
hakuna eti ongeza pesa ndo upewe shoo nzuri, ongeza pesa upewe huduma nyingi. na unaweza pewa huduma nyingi na zote zikawa mbovu,


pisi zilizonipa shoo nzuri zote wala hazikua zinahitaji pesa nyingi ni nyie wawili muendane tu damu zenu, mdada akuelewe na kuna wadada baadhi wanazipenda tu kazi zao
 
Wanaume tunahitaji maombi ya ziada. Namshukuru Mungu kwenye hili la Malaya nimevipiga vita na mwendo nimeumaliza. Hawa watu awe mzuri vipi, ntamnunulia chakula na akihitaji nauli ntamsaidia lakini sio kugusana nao.

Kuna siku nipo mahali akaja mmoja wa kisomali, kusema ukweli alikua mzuri nywele ndefu kazibana vizuri. Analalamika njaa, nikamwambia agiza chakula, akapiga baadae akaomba ajiliwaze na kabia, nikamwambia agiza tu. Kichwani akajua hapa tayari marketing skills zimejibu. Akachezacheza na simu akaniambia anakuja Mara Moja.

Niliendelea kupata chakula na kinywaji kama dakika 40 akarudi nywele alivyozibana zimefunguliwa hazijawekwa sawa kama awali. Nikajua tayari kazi imeanza.

Ada ya muda nikamuaga naondoka, akahamaki kwanini namuacha? Nikamwambia nawahi familia. Nikajiuliza hata kama ingekua ni mhitaji na mteja, Yani nna ushahidi wote kwamba ametoka kupeana huko namie nikapatiwe?

Tulikutana Tena siku ingine akanilaumu namtelekeza, tukapiga stori mbili tatu, tukala, nikakumuuliza straight unafanya kazi gani? Kusema ukweli aliniambia bila kuficha anajiuza na kusingizia mambo mengi kwamba hapendi ila shida tu na elimu hana kaishia form two. Nikampatia nauli tukaachana.

Leo kanitumia Salam za mwaka mpya.
Safi mkuu. Huna mbambamba na mtu. Unafanya poa sana kutobagua kusosholaizi na ke kisa malaya.

Wanaume tuige mfano wako. Mtu akiwa na shida mpe haijalishi malaya au la.
 
Mimi mume wangu ni kipaumbele changu kwanza kumuombea na familia kwa ujumla...Mungu awasaidie sana

Amen, usichoke. Na Kwa kuongeza tu, panapokua na maelewano ndani ya nyumba, Kuna mahali ukitaka kufanya uharibifu nafsi inakusuta. Lakini ikiwa Kuna makelele na utulivu hafifu, haujiulizi Mara mbili.

Kuna Ile unawaza hivi namfanyia hivi mtoto wa watu japo hanioni, amenikosea kitu gani? Unajikuta unaahirisha mchakato na baadae unaona kabisa ulifanya maamuzi sahihi.

Narudia Tena, mtuombee mambo Kwa ground sio marahisi kama tunavyoandika hapa JF, ni zaidi ya vita ya Kandahar
 
Amen, usichoke. Na Kwa kuongeza tu, panapokua na maelewano ndani ya nyumba, Kuna mahali ukitaka kufanya uharibifu nafsi inakusuta. Lakini ikiwa Kuna makelele na utulivu hafifu, haujiulizi Mara mbili.

Kuna Ile unawaza hivi namfangia hivi mtoto wa watu japo hanioni, amenikosea kitu Gani? Unajikuta unaahirisha mchakato na baadae unaona kabisa ulifanya maamuzi sahihi.

Narudia Tena, mtuombee mambo Kwa ground sio marahisi kama tunavyoandika hapa JF, ni zaidi ya vita ya Kandahar
Very true...na wenye masiko na wasikie
 
Malaya wa 10k unapiga tu ili kuondoa ugwadu

Ukianza kununua kuacha ni ngumu sana hata kama una mademu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajua nini mzee wa kupambania Wanaume wengi washawahi kununua humu wamejaa wanafiki [emoji16]. Mimi boss wangu safarini kikazi alishawahi ninunulia Malaya na yeye akanunua wakwake na ukimuona yupo serious kweli kweli ana mke mzuri na watoto wawili


Halafu utajuaje huyo demu unaye date nae hauzi maana wengine wanauza indirectly hapo mmepangwa wengi tu mnahudumia
 
Hawa watu sometimes sio kwamba wanapenda ni hali ya maisha...Kaka ukitaka kujua kuna wengine wanalia moyoni just kaa nao chini wafanye rafiki waulize watakwambia mengi sana na hapo ndo utaamini watu wanapitia maisha magumu.....
Kuna wakati mtu anakosa cha kushika na hajui afanye nini.
So bila kuwahukumu wafanye rafiki waulze wanataka nini,Na kwanini wako pale kama ni chakula wasaidie mnunulie hata kigunia cha mchele (kama una pesa) au mpe pesa kama ni kodi mlipie kodi naamini watabadilika...saa zingine muite piga naye stori muulize kwanini anafanya hivyo watakuambia..na kama ni shida tatua shida yake (Bila kuichakata mbususu) atakuheshimu kama ndugu yake.....
Ni kweli Mkuu,sema sisi wanaume tunazingua sana,huyo aliniambia kuna mwana waliingia lodge,demu anaamka asubuhi hana simu jamaa hayupo
 
Back
Top Bottom