Mnaoomba kazi TAMISEMI mkijaaliwa na mola mkapata, zingatia haya...

Mnaoomba kazi TAMISEMI mkijaaliwa na mola mkapata, zingatia haya...

Mama Edina

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
850
Reaction score
2,019
Kufanyakazi kwa bidii zote.

Usimssikikize mtumishi mwenzio fuata sheria za kazi.

Jambo usilolijua la kiutumishi kabla ya kuchukua hatua uliza. Usiwaulize watumishi wapya uliza wale senior.

Fomu za mikataba uwe makini na vipengele, kwa mfano place of domicile.

Jizoeze kuamka saa 11 kasoro alfajiri. Hakikisha kabla ya saa moja na nusu uwe umeingia ofsini. Na panga Mpango wansiku hiyo wewe mwenyewe kutokana na ile ya kitengo.

Hakikisha una diary note majukumu ya kiutekelezaji. Usifanyie mazoea na usiache akili ikusaidie kukumbuka kisaidie kichwa kukumbuka kwa kunote kila hatua.

Mavazi, zingatia sana. Mavazi ni kielelezo cha mwanamke uonekane na heshima na upate mume. Kama ni kijana upate mke. Zaidi ni kwa wadada hii ni nafasi pekee.

Mikopo, kopa kwa sababu maalum. Vijana wa kiume nunua kiwanja mapema. Usihofu na sehemu uliyopangwa kazi, nunua na jenga kibanda chako kitakusaidia baadae. Ukihama bado kitakuingizia kipato. Usikope mshahara wote. Kwa mfano..una 730000/- hakikisha unabaki na 500,000 nyingine kopa. 930,000/- hakikisha una laki 7 take home. Usikope kope kwa tamaa. Kamaunataka gari anza nalo, kama unataka kujenga anza na kiwanja.

Kama ndio una bachelor muda wa kusoma zaid Kwa wenye malengo ya kupanda zaidi ya degree moja. Usisubiri uzeeni. Usikae sana ndio ukasome tena. Sheria inakuruhusu kwenda kusoma baada ya miaka 3 kazini. Hapa naomba niweke sawa. Kuna faida ya kuomdoka mapema kwenye Masomo zaid na hasara ipo vile ville. Nifafanur hapa. Ukienda kusoma mfululizo kuna kitu inaitwa experience na kw Kweli mjue experience inapatikana wkt huo.

Ukiondoka utakosa ukienda utapata level ya juu bila experience. Hapa hata ishu za kupanda cheo haitakuhusu.

Nakonfess kwamba unaenda kusoma mapema hutapata hata ile fursa ya cheo cha madaraka haraka.



Mwisho. Dua kwa Mungu....swali sana. Msiende kwa waganga ni hatari kwa nyota zenu Mshana Jr anajua hili jambo
 
Kufanyakazi kwa bidii zote.

Usimssikikize mtumishi mwenzio fuata sheria za kazi.

Jambo usilolijua la kiutumishi kabla ya kuchukua hatua uliza. Usiwaulize watumishi wapya uliza wale senior.

Fomu za mikataba uwe makini na vipengele, kwa mfano place of domicile.

Jizoeze kuamka saa 11 kasoro alfajiri. Hakikisha kabla ya saa moja na nusu uwe umeingia ofsini. Na panga Mpango wansiku hiyo wewe mwenyewe kutokana na ile ya kitengo.

Hakikisha una diary note majukumu ya kiutekelezaji. Usifanyie mazoea na usiache akili ikusaidie kukumbuka kisaidie kichwa kukumbuka kwa kunote kila hatua.

Mavazi, zingatia sana. Mavazi ni kielelezo cha mwanamke uonekane na heshima na upate mume. Kama ni kijana upate mke. Zaidi ni kwa wadada hii ni nafasi pekee.

Mwisho. Dua kwa Mungu....swali sana. Msiende kwa waganga ni hatari kwa nyota zenu Mshana Jr anajua hili jambo
Hapo home of domicile haiwezekan kubadilisha km ulikosea?
 
Hapo home of domicile haiwezekan kubadilisha km ulikosea?
Haiwezekani kumbuka ulijaza mkataba. Mkataba ni sheria. Sisi wanawake tuliolewa tunaruhusiwa si wa baba. NB haitakiwi kukosea hapo.

Wengine hapa wanataka kubadili kwa tamaa, anaona mwenzie wa kanda ya ziwa anapata 700000 na yeye anapata tamaa kama nauli yako stahiki ni 2000 ni hiyohiyo. Na nisawa na yule anayepata 700000. Hizi nauli zote ni sawa. Maana wewe hnapata 2000 umefika na huyo anapata lakin7 ndio inayomfikisha. Kumbuka kama hajaenda likizo kwao ana deni wewe huna deni la kwenda kwa ndg kuomba mizimu yenu. Wewe umefika yeye bado hatakama atakaa 10 years deni la kwenda liko palepale. Wale classmates waliomaliza Cuba wananielewa
 
Sawa na asante kwa ushauri ila nami nina cha kuongeza ni kuwa epuka majungu, umbea, uchawa na unafiki, na pia epuka makundi, kwenye ofisi nyingi ni kawaida kukuta kuna mfumo usio rasmi wa fulani na kikundi chake hawaelewani na kina fulani, kwa mgeni watakusoma wakiona utawafaa wanakuingiza kwenye genge lao, hii ni ya kuepuka sana hamna kitu kibaya kama kuchagua upande na kununua ugomvi ambao hujui ulianzia wapi, ni bora uonekane kigeugeu kuliko kujiingiza kwenye hiyo mifumo
 
Hivi Kuna mwanamke Mwenye upeo mkubwa hivi?
Mkuu nipo mbona. Labda nielezee historia kwa ufupi. Nilikuwa mwalimu, nilipangwa kijijini. Niliona watu wakisubiri wahame ndio waanze maisha, kumbe maisha ni popote.

Nikajistiri mavazi na pesa yangu niliizingatia vipaumbele. Nikihakikisha nina malengo, kazi ya Ualimu niliipenda mno, kwa kuwa katika kipindi cha malengo yangu hakikuendana na kazi nikaunganisha katika lengo la kusoma nikaona acha nibadili kada. Enzi zile hakukuwa na ulazima wakusomea ualimu ndio upate release letter coz yyt ile. Nikachangua kozi ambayo ningebadili sitaitaja. Baadae nikaomba recategorization pamoja n akuwa mshahara wangu ulikuwa mkubwa posho hakuna nikaondoka Hivyo hivyo kwenye kada pendwa.

Huku napata maslahi muhimu zote. Namshukuru Mungu
 
Tunashukuru Mama Edina,,,,Msalimie Edina ningefurahi sana kama ningebahatika uwe Mama mkwe wangu lakini ndio hivyo wakina Edina wengine wameshatuwahi na tunashukuru tunasukuma nao maisha mudogomudogo!!!
 
Mkuu nipo mbona. Labda nielezee historia kwa ufupi. Nilikuwa mwalimu, nilipangwa kijijini. Niliona watu wakisubiri wahame ndio waanze maisha, kumbe maisha ni popote.

Nikajistiri mavazi na pesa yangu niliizingatia vipaumbele. Nikihakikisha nina malengo, kazi ya Ualimu niliipenda mno, kwa kuwa katika kipindi cha malengo yangu hakikuendana na kazi nikaunganisha katika lengo la kusoma nikaona acha nibadili kada. Enzi zile hakukuwa na ulazima wakusomea ualimu ndio upate release letter coz yyt ile. Nikachangua kozi ambayo ningebadili sitaitaja. Baadae nikaomba recategorization pamoja n akuwa mshahara wangu ulikuwa mkubwa posho hakuna nikaondoka Hivyo hivyo kwenye kada pendwa.

Huku napata maslahi muhimu zote. Namshukuru Mungu
Hongera Sana mkuu.
 
Kufanyakazi kwa bidii zote.

Usimssikikize mtumishi mwenzio fuata sheria za kazi.

Jambo usilolijua la kiutumishi kabla ya kuchukua hatua uliza. Usiwaulize watumishi wapya uliza wale senior.

Fomu za mikataba uwe makini na vipengele, kwa mfano place of domicile.

Jizoeze kuamka saa 11 kasoro alfajiri. Hakikisha kabla ya saa moja na nusu uwe umeingia ofsini. Na panga Mpango wansiku hiyo wewe mwenyewe kutokana na ile ya kitengo.

Hakikisha una diary note majukumu ya kiutekelezaji. Usifanyie mazoea na usiache akili ikusaidie kukumbuka kisaidie kichwa kukumbuka kwa kunote kila hatua.

Mavazi, zingatia sana. Mavazi ni kielelezo cha mwanamke uonekane na heshima na upate mume. Kama ni kijana upate mke. Zaidi ni kwa wadada hii ni nafasi pekee.

Mikopo, kopa kwa sababu maalum. Vijana wa kiume nunua kiwanja mapema. Usihofu na sehemu uliyopangwa kazi, nunua na jenga kibanda chako kitakusaidia baadae. Ukihama bado kitakuingizia kipato. Usikope mshahara wote. Kwa mfano..una 730000/- hakikisha unabaki na 500,000 nyingine kopa. 930,000/- hakikisha una laki 7 take home. Usikope kope kwa tamaa. Kamaunataka gari anza nalo, kama unataka kujenga anza na kiwanja.

Kama ndio una bachelor muda wa kusoma zaid Kwa wenye malengo ya kupanda zaidi ya degree moja. Usisubiri uzeeni. Usikae sana ndio ukasome tena. Sheria inakuruhusu kwenda kusoma baada ya miaka 3 kazini. Hapa naomba niweke sawa. Kuna faida ya kuomdoka mapema kwenye Masomo zaid na hasara ipo vile ville. Nifafanur hapa. Ukienda kusoma mfululizo kuna kitu inaitwa experience na kw Kweli mjue experience inapatikana wkt huo.

Ukiondoka utakosa ukienda utapata level ya juu bila experience. Hapa hata ishu za kupanda cheo haitakuhusu.

Nakonfess kwamba unaenda kusoma mapema hutapata hata ile fursa ya cheo cha madaraka haraka.



Mwisho. Dua kwa Mungu....swali sana. Msiende kwa waganga ni hatari kwa nyota zenu Mshana Jr anajua hili jambo
Kwa madini haya ikiwa hiyo pp ni wewe halisi basi nisiwe Mnafki kusema hakika Baba Paroko kaokota embe dodo (wife materials) kwenye mananasi [emoji28]
 
Kufanyakazi kwa bidii zote.

Usimssikikize mtumishi mwenzio fuata sheria za kazi.

Jambo usilolijua la kiutumishi kabla ya kuchukua hatua uliza. Usiwaulize watumishi wapya uliza wale senior.

Fomu za mikataba uwe makini na vipengele, kwa mfano place of domicile.

Jizoeze kuamka saa 11 kasoro alfajiri. Hakikisha kabla ya saa moja na nusu uwe umeingia ofsini. Na panga Mpango wansiku hiyo wewe mwenyewe kutokana na ile ya kitengo.

Hakikisha una diary note majukumu ya kiutekelezaji. Usifanyie mazoea na usiache akili ikusaidie kukumbuka kisaidie kichwa kukumbuka kwa kunote kila hatua.

Mavazi, zingatia sana. Mavazi ni kielelezo cha mwanamke uonekane na heshima na upate mume. Kama ni kijana upate mke. Zaidi ni kwa wadada hii ni nafasi pekee.

Mikopo, kopa kwa sababu maalum. Vijana wa kiume nunua kiwanja mapema. Usihofu na sehemu uliyopangwa kazi, nunua na jenga kibanda chako kitakusaidia baadae. Ukihama bado kitakuingizia kipato. Usikope mshahara wote. Kwa mfano..una 730000/- hakikisha unabaki na 500,000 nyingine kopa. 930,000/- hakikisha una laki 7 take home. Usikope kope kwa tamaa. Kamaunataka gari anza nalo, kama unataka kujenga anza na kiwanja.

Kama ndio una bachelor muda wa kusoma zaid Kwa wenye malengo ya kupanda zaidi ya degree moja. Usisubiri uzeeni. Usikae sana ndio ukasome tena. Sheria inakuruhusu kwenda kusoma baada ya miaka 3 kazini. Hapa naomba niweke sawa. Kuna faida ya kuomdoka mapema kwenye Masomo zaid na hasara ipo vile ville. Nifafanur hapa. Ukienda kusoma mfululizo kuna kitu inaitwa experience na kw Kweli mjue experience inapatikana wkt huo.

Ukiondoka utakosa ukienda utapata level ya juu bila experience. Hapa hata ishu za kupanda cheo haitakuhusu.

Nakonfess kwamba unaenda kusoma mapema hutapata hata ile fursa ya cheo cha madaraka haraka.



Mwisho. Dua kwa Mungu....swali sana. Msiende kwa waganga ni hatari kwa nyota zenu Mshana Jr anajua hili jambo
Chochote utakachofanya kupitia ushirikina lazima kitakudai marudio..kwakuwa unapofanya ushirikina unajenga madhabahu ambayo itabidi uihudumie
 
Madini Sana bila shaka wewe ukosi 40s yrs sio Rahisi Generation z aandike Nondo hizi.
 
Nichukue nafasi hii kuwakaribisha Pius High School. Ni shule ya kutwa na Bweni yenye mazingira Bora sana. Tunapokea wanafunzi wa KIDATO Cha Tano Kwa muhula wa masomo 2023/2024 katika tahasusi zifuatazo PCB, PCM, CBG, EGM, HKL, HGL, HGK, PGM na HGE. Uteuzi unategemeana na matokeo ya KIDATO Cha nne 2022. Muombaji anatakiwa kuwa na angalau D mbili katika tahasusi anayotaka kusoma na matokeo ya jumla ya daraja la tatu. Tunapokea pia wanafunzi wa kuhamia Kwa KIDATO Cha kwanza, tatu na sita Kwa mwaka 2023. Ada zetu ni nafuu na hulipwa Kwa awamu. Kwa maelekezo zaidi, tafadhali wasiliana nami 0613162459. Shule ipo kata ya Toangoma-mbagala, Dar es salaam. Karibuni.
Ada kubwa hivyo. Million 59 ni kubwa mno kwa mwaka.
 
Back
Top Bottom