Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 842
- 982
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ada auMilioni 59??? Nipigie bosi ada zetu ni nafuu mno.
Mkuu naweza kukuliza kitu PMChochote utakachofanya kupitia ushirikina lazima kitakudai marudio..kwakuwa unapofanya ushirikina unajenga madhabahu ambayo itabidi uihudumie
Nyie jobless wa HR mna naneno mno[emoji16]Kuajiriwa?? Vijana msipende mambo ya kuajiriwa na kama unaenda kuajiriwa nenda huko katafute mtaji tu kisha ujiajiri. Yakupasa uwe mtu wa kuwaza mambo makubwa siyo tu kujenga kanyumba na kununua kagari. Anyway nisiongee sana
Nb, mnaopenda kuajiriwa mleta uzi ametoa ushauri mzuri, ila kumbukeni hata matajiri wa dunia hakuna hata mmoja aliyeajiriwa. Mwezi mmoja unasubiri vilaki 8???
Unaenda kuvunja Nazi na vyungu njia panda ? Hapa umeongea km mganga vile, sorry sijasema kwa ubayaHakikisha kabla ya saa moja na nusu uwe umeingia ofsini.
Na ukifa na ulichokianzisha kimekufaujiajiri
Mganga anazifanyia nini Nyota zetu ?Dua kwa Mungu....swali sana. Msiende kwa waganga ni hatari kwa nyota zenu
Hilo hata wewe unajua na wewe mpende akupendae, Eid El Fitri kwako mkuuU
nanipendaaa eee?
Aya ngoja nikupendeHilo hata wewe unajua na wewe mpende akupendae, Eid El Fitri kwako mkuu
Kwanini?Nimeshangaa mambo haya kuandikwa na mwanamke
Welcome to my world,Aya ngoja nikupende
😂😂Kuajiriwa?? Vijana msipende mambo ya kuajiriwa na kama unaenda kuajiriwa nenda huko katafute mtaji tu kisha ujiajiri. Yakupasa uwe mtu wa kuwaza mambo makubwa siyo tu kujenga kanyumba na kununua kagari. Anyway nisiongee sana
Nb, mnaopenda kuajiriwa mleta uzi ametoa ushauri mzuri, ila kumbukeni hata matajiri wa dunia hakuna hata mmoja aliyeajiriwa. Mwezi mmoja unasubiri vilaki 8???
[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naongezea, kijana acha mawazo ya kula tunda kimasihara, na wewe binti acha kutengeneza mazingira ya kuliwa tunda kimasihara.