Mnaoomba kazi TAMISEMI mkijaaliwa na mola mkapata, zingatia haya...

Mnaoomba kazi TAMISEMI mkijaaliwa na mola mkapata, zingatia haya...

Mavazi, zingatia sana. Mavazi ni kielelezo cha mwanamke uonekane na heshima na upate mume. Kama ni kijana upate mke. Zaidi ni kwa wadada hii ni nafasi pekee
Nakazia ✍️✍️

Mdada akipenda kuvaa kihuni atatumika sana lakini kuolewa ni hakuna kabisaa... Mwishowe atafikiri kalogwa kumbe sivyo!
1682142862163.png
 
Tunashukuru Mama Edina,,,,Msalimie Edina ningefurahi sana kama ningebahatika uwe Mama mkwe wangu lakini ndio hivyo wakina Edina wengine wameshatuwahi na tunashukuru tunasukuma nao maisha mudogomudogo!!!
Sii unaongeza mke ya pili
 
Nyie shauri yenu mnataka kuoa ngongozo alafu bado anatombwer ndio utaumia zaidi.
Bora uoe mzuri ata akitombaer unaona poa tuu sii mzuri🤣🤣🤣🤣🤣
Soma vizuri bhana.
Nimeongelea MAVAZI tu, siyo uzuri
 
Ulionaga wapi mwanamke mbaya akavaa mavazi ya kunyegesha wewe bwana🤣🤣🤣🤣
We wadanganye tu uwatumie wee, wakija kushtuka washakuwa obsolete, we unatafuta wife material chap😁
 
We wadanganye tu uwatumie wee, wakija kushtuka washakuwa obsolete, we unatafuta wife material chap😁
Sasa nawadanganyi vipi wakati ndio ukweli wenyewe huo. Mwanamke sexy ndio utaona anavaa sijui mini skirt, leggings, biker shorts u name it.
Wife material na husband material ilikuwa miaka ya 1950s sio sasa mnaingia kwenye ndoa huku tayari sifa za kuwa mme na mke hamuna. Tusidangnanyane hapa. 99% ya wanawake na wanaume hawa sifa kuu ya kuingia kwenye ndoa. We are just making a mockery of the marriage institution.
 
Ngoja waje kuchukua miongozo, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Back
Top Bottom