JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
View attachment IMG_20210911_114533.jpg
Watu wengi wanaendesha gari za kijapani. Hivyo hiyo sticker huwa inakuwa na maandishi ya kijapani. Lakini kwa gari za wazungu, hiyo sticker inakuwa kwa kiingereza.
Umewekewa tahadhari kwamba kifo au majeraha makubwa yanaweza kutokea.
1. Watoto wa miaka 12 au chini ya hapo wanaweza kuuawa na airbag. Hivyo siyo salama kabisa kuwaweka siti za mbele.
2. Siti za nyuma ndio sehemu salama kwa watoto.
3. Usitumie siti ya mtoto ambayo inaangalia nyuma kwenye siti za mbele. Hizi child seat sijaziona sana huku Tz.
4. Kaa mbali kadri inavyowezekana kutoka kwenye airbag.
5. Penda kutumia Seat belts.
Na kwa kuongezea.
1. Usipende kuweka miguu kwenye dashboard. Kuna siku utageuka kilema in just a second. Airbag ina nguvu sana, ni kama bomu.
2. Usipende kuweka kitu chochote in between wewe na airbag,
Siku njema
Watu wengi wanaendesha gari za kijapani. Hivyo hiyo sticker huwa inakuwa na maandishi ya kijapani. Lakini kwa gari za wazungu, hiyo sticker inakuwa kwa kiingereza.
Umewekewa tahadhari kwamba kifo au majeraha makubwa yanaweza kutokea.
1. Watoto wa miaka 12 au chini ya hapo wanaweza kuuawa na airbag. Hivyo siyo salama kabisa kuwaweka siti za mbele.
2. Siti za nyuma ndio sehemu salama kwa watoto.
3. Usitumie siti ya mtoto ambayo inaangalia nyuma kwenye siti za mbele. Hizi child seat sijaziona sana huku Tz.
4. Kaa mbali kadri inavyowezekana kutoka kwenye airbag.
5. Penda kutumia Seat belts.
Na kwa kuongezea.
1. Usipende kuweka miguu kwenye dashboard. Kuna siku utageuka kilema in just a second. Airbag ina nguvu sana, ni kama bomu.
2. Usipende kuweka kitu chochote in between wewe na airbag,
Siku njema