Mnaopakia watoto seat za mbele za gari, tafadhali airbag zinaua

Mnaopakia watoto seat za mbele za gari, tafadhali airbag zinaua

Mzungu sio mjinga sana kuleta hii kitu kama ingelikuwa na madhara mengi kuliko faida naamini isingekuwepo

Wiki chache zilizopita jamaa yangu alili-vaa lori likiwa limepaki, right kama hiyo airbag isinge-furumuka tungenena mengine!.

Mzungu anafikiri sana sisi tuendelee kula ugali tu

IMG_20210827_115549.jpg
IMG_20210827_114441.jpg
 
Mzungu sio mjinga sana kuleta hii kitu kama ingelikuwa na madhara mengi kuliko faida naamini isingekuwepo

Wiki chache zilizopita jamaa yangu alili-vaa lori likiwa limepaki, right kama hiyo airbag isinge-furumuka tungenena mengine!.

Mzungu anafikiri sana sisi tuendelee kula ugali tu

View attachment 1936280View attachment 1936281

Anyway labda sijaielewa point yako.
 
Mbona mwenye uzi kanijibu vizuri tu mkuu bila kejeli kama wewe?, tunatofautiana uelewa unaweza kuwa unajua kitu fulani na mwingine hajui so busara ni kumuelekeza mtu kwani inakugharimu nini ama unakatika pumbu ukinijibu? Haya similiki gari na siendeshi so did i deserves to ask that question?.. watu wengine bana[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimependa hicho umesema kinakatika.... [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serikali imekusudia kupeleka bungeni mwaada wa mabadiliko ya Sheria ya usalama barabaran ikiwemo kumpakia mtoto chini ya miaka 12 mbele...
 
Back
Top Bottom