Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuKafanye diagnosis ya airbag kama hakuna fault yotote ya airbag then airbag yako haina shida. Ila kama kuna fault yote then airbag moja au zaidi zinaweza zisofanye kazi kulingana na tatizo.
Aisee hii kitu inabidi nikachekiView attachment 1935023
Mfano mzuri ni hii Nissan Dualis. Tulipima tukapata code hizo. Simply hiyo gari ilipata ajali japo wauzaji walikuwa wanaficha.
Na hapo ilipo ikipata tena ajali hakuna airbag itadeploy.
KaribuAisee hii kitu inabidi nikacheki
Mzungu sio mjinga sana kuleta hii kitu kama ingelikuwa na madhara mengi kuliko faida naamini isingekuwepo
Wiki chache zilizopita jamaa yangu alili-vaa lori likiwa limepaki, right kama hiyo airbag isinge-furumuka tungenena mengine!.
Mzungu anafikiri sana sisi tuendelee kula ugali tu
View attachment 1936280View attachment 1936281
DAMzungu sio mjinga sana kuleta hii kitu kama ingelikuwa na madhara mengi kuliko faida naamini isingekuwepo
Wiki chache zilizopita jamaa yangu alili-vaa lori likiwa limepaki, right kama hiyo airbag isinge-furumuka tungenena mengine!.
Mzungu anafikiri sana sisi tuendelee kula ugali tu
View attachment 1936280View attachment 1936281
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimependa hicho umesema kinakatika.... [emoji23][emoji23][emoji23]Mbona mwenye uzi kanijibu vizuri tu mkuu bila kejeli kama wewe?, tunatofautiana uelewa unaweza kuwa unajua kitu fulani na mwingine hajui so busara ni kumuelekeza mtu kwani inakugharimu nini ama unakatika pumbu ukinijibu? Haya similiki gari na siendeshi so did i deserves to ask that question?.. watu wengine bana[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimependa hicho umesema kinakatika.... [emoji23][emoji23][emoji23]
Nisipofunga mkanda najiona naeleaMkanda muhimu, cha kwanza huwa nikiingia tu kwenye gari mkanda hata kama nazunguka hapo hapo siendeshi gari bila mkanda
😂😂 hatari hii🏃♀️[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimependa hicho umesema kinakatika.... [emoji23][emoji23][emoji23]
JituMirabaMinne Big up sana mkuu
Mada zako huwa nzuri sana
Kweli nilivurugwa jamani😂😂🙌Aiseee hapa naona Dada yetu alivurungwa🤣🤣🤣🤣
Kweli nilivurugwa jamani😂😂🙌
Ahsante mkuu! Mstaarabu mwenyewe hadi raha👍Poleee aiseeee😁
Sawa mkuuAhsante mkuu! Mstaarabu mwenyewe hadi raha👍
Ni hatua nzuri....Serikali imekusudia kupeleka bungeni mwaada wa mabadiliko ya Sheria ya usalama barabaran ikiwemo kumpakia mtoto chini ya miaka 12 mbele...