Mallerina
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 1,236
- 2,060
Just around 🙂unapatikana nchi gani mrembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Just around 🙂unapatikana nchi gani mrembo
Tatuta mtu sahihi hizi heka heka hutazionaDah! mambo ya ndoa bhana.
Ukiwa nje unaona wanandoa wenye furaha
Ukiwa kwenye ndoa unaona masingle wenye furaha
haha sema ujue nini napenda wanawake wenye nywele kama kwenye avatar ykoSipote
Sipotezagi muda Mimi
pakumpatia sasa ndio mtihani au wako JupiterTatuta mtu sahihi hizi heka heka hutaziona
Mimi ndo beauty with brain sasa ......haha sema ujue nini napenda wanawake wenye nywele kama kwenye avatar yko
Wapo kabisapakumpatia sasa ndio mtihani au wako Jupiter
haha kabisa [emoji7]Mimi ndo beauty with brain sasa ......
Hoping you going to spend where you love
Isiwe maokoto ni changamotohaha kabisa [emoji7]
Changamoto sasa ni.....
ki-okra utawezana [emoji1787]Isiwe maokoto ni changamoto
Kuna binti kaja kwenye kikundi leo analia, jana mume karudi nyumbani amelewa binti kafungua simu amekuta meseji za kimapenzi za wanawake, picha za utupu kutoka kwa wanawake watatu na wawili kati yao ni wafanyakazi wenzake na mumewe. Asubuhi hii ameondoka nyumbani akaenda kanisani na hajaongea na mumewe bado.
Nina swali la msingi kwa wapekua simu: Hivi, mkiwa mnapekua hizo simu za wapenzi au wenza wenu, huwa mnafikiria na next step itakua nini? kama unahisi mume au mke anachepuka, je ukimkamata ni kweli anachepuka utafanyaje? au mnapekuaga tu ili umshike na kosa ila hujafikiria kitakachofuata.
Haya mshaurini huyu mwanamke mwezetu afanyaje maana haelewi cha kufanya. Ndoa ina miaka 8, wana watoto wawili, yeye ni mama wa nyumbani na kama familia wanajiweza kiasi kiuchumi.
Msisahau, kupekua simu ni kosa la jinai:
View attachment 3254745
View: https://youtu.be/y8jYZw60zPw?si=WOl6F_9z4FbSdgdN
ningekua nafahamu namna ya kuingia PM, ningeingia kwakoJust around 🙂
Kabisa, kila mtu abaki na simu yake tu.Huyo amejichimbia kaburi lake mwenyewe
Halafu ubaya wa mahusiano hasa ya ndoa hayashauriki kirahisi
Simu ingependeza kila mtu abaki na yake
Nakukubali sana my president, yani hujamchelewesha kabisa 🤣 🤣 🤣Hoping you going to spend where you love😹😍
Hujui kuingianingekua nafahamu namna ya kuingia PM, ningeingia kwako
Kuna binti kaja kwenye kikundi leo analia, jana mume karudi nyumbani amelewa binti kafungua simu amekuta meseji za kimapenzi za wanawake, picha za utupu kutoka kwa wanawake watatu na wawili kati yao ni wafanyakazi wenzake na mumewe. Asubuhi hii ameondoka nyumbani akaenda kanisani na hajaongea na mumewe bado.
Nina swali la msingi kwa wapekua simu: Hivi, mkiwa mnapekua hizo simu za wapenzi au wenza wenu, huwa mnafikiria na next step itakua nini? kama unahisi mume au mke anachepuka, je ukimkamata ni kweli anachepuka utafanyaje? au mnapekuaga tu ili umshike na kosa ila hujafikiria kitakachofuata.
Haya mshaurini huyu mwanamke mwezetu afanyaje maana haelewi cha kufanya. Ndoa ina miaka 8, wana watoto wawili, yeye ni mama wa nyumbani na kama familia wanajiweza kiasi kiuchumi.
Msisahau, kupekua simu ni kosa la jinai:
View attachment 3254745
View: https://youtu.be/y8jYZw60zPw?si=WOl6F_9z4FbSdgdN
Ongea vizuri sisi ni wakubwa😹ki-okra utawezana [emoji1787]
hah we bado kadogo utapagawa nikisemaOngea vizuri sisi ni wakubwa
Naweka mambo hadharani Mimi😂😂Nakukubali sana my president, yani hujamchelewesha kabisa 🤣 🤣 🤣