Mallerina
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 1,236
- 2,060
😹Nipagawishe na vitendohah we bado kadogo utapagawa nikisema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹Nipagawishe na vitendohah we bado kadogo utapagawa nikisema
haha hapo sasa umejaa kwenye mfumo, nikajua hela kumbe vitendo aya kesho tukutane jioni chini ya muembe karibu na kwa Mshangazi dot comNipagawishe na vitendo
Kuna binti kaja kwenye kikundi leo analia, jana mume karudi nyumbani amelewa binti kafungua simu amekuta meseji za kimapenzi za wanawake, picha za utupu kutoka kwa wanawake watatu na wawili kati yao ni wafanyakazi wenzake na mumewe. Asubuhi hii ameondoka nyumbani akaenda kanisani na hajaongea na mumewe bado.
Nina swali la msingi kwa wapekua simu: Hivi, mkiwa mnapekua hizo simu za wapenzi au wenza wenu, huwa mnafikiria na next step itakua nini? kama unahisi mume au mke anachepuka, je ukimkamata ni kweli anachepuka utafanyaje? au mnapekuaga tu ili umshike na kosa ila hujafikiria kitakachofuata.
Haya mshaurini huyu mwanamke mwezetu afanyaje maana haelewi cha kufanya. Ndoa ina miaka 8, wana watoto wawili, yeye ni mama wa nyumbani na kama familia wanajiweza kiasi kiuchumi.
Msisahau, kupekua simu ni kosa la jinai:
View attachment 3254745
View: https://youtu.be/y8jYZw60zPw?si=WOl6F_9z4FbSdgdN
😁Kwahio huna helahaha hapo sasa umejaa kwenye mfumo, nikajua hela kumbe vitendo aya kesho tukutane jioni chini ya muembe karibu na kwa Mshangazi dot com
[emoji1787][emoji1787]Kwahio huna hela
Hii inasaidia sana, ikiwezekana kila app unazilock na nywila pia.Dawa(1st aid) ni simu kuinyuka password ya maana.
Mambo ya kuamka na furaha mnacheka vizuri, kwenda bafuni simu ipo kitandani, ukirudi hali ya hewa imebadiliiiika, wingu ni jeusi halafu inataka na kunyesha!
Mi kwangu haitokei hata siku hii, 1.
You are not ready to spend on me?!!![emoji1787][emoji1787]
Hela ya nini tena mrembo
A stingy man Is a red flag Mshangazi dot com🤣 🤣 🤣 🤣 Nomadix na huo ubahili wako sijui utafanyaje?
wee Aunt wewe acha kumpanga ndugu yetu hahaHii inasaidia sana, ikiwezekana kila app unazilock na nywila pia.
kila mtu awe na faragha na simu yake!
A beggar is a black flagA stingy man Is a red flag Mshangazi dot com
I'm ready boo as long as usiombe nikupe mwenyewe, wat do u say?You are not ready to spend on me?!!!
kabisa imagine dem akague simu yangu mkuu akute naangalia uzi wa warembo worldwideKukagua simu ya mwenzio ni kujitafutia ugonjwa wa moyo tu!
...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Stingy, broke
View attachment 3255095
Hebu niache 😎 😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukishaanza kutumia gif naelewa whats going on