Mnaopekua simu za wapenzi/waume/wake zenu huwa mnataka nini kifuate?

Mnaopekua simu za wapenzi/waume/wake zenu huwa mnataka nini kifuate?

Kuna binti kaja kwenye kikundi leo analia, jana mume karudi nyumbani amelewa binti kafungua simu amekuta meseji za kimapenzi za wanawake, picha za utupu kutoka kwa wanawake watatu na wawili kati yao ni wafanyakazi wenzake na mumewe. Asubuhi hii ameondoka nyumbani akaenda kanisani na hajaongea na mumewe bado.

Nina swali la msingi kwa wapekua simu: Hivi, mkiwa mnapekua hizo simu za wapenzi au wenza wenu, huwa mnafikiria na next step itakua nini? kama unahisi mume au mke anachepuka, je ukimkamata ni kweli anachepuka utafanyaje? au mnapekuaga tu ili umshike na kosa ila hujafikiria kitakachofuata.

Haya mshaurini huyu mwanamke mwezetu afanyaje maana haelewi cha kufanya. Ndoa ina miaka 8, wana watoto wawili, yeye ni mama wa nyumbani na kama familia wanajiweza kiasi kiuchumi.

Msisahau, kupekua simu ni kosa la jinai:
View attachment 3254745

View: https://youtu.be/y8jYZw60zPw?si=WOl6F_9z4FbSdgdN

Dawa(1st aid) ni simu kuinyuka password ya maana.

Mambo ya kuamka na furaha mnacheka vizuri, kwenda bafuni simu ipo kitandani, ukirudi hali ya hewa imebadiliiiika, wingu ni jeusi halafu inataka na kunyesha!

Mi kwangu haitokei hata siku hii, 1.
 
Dawa(1st aid) ni simu kuinyuka password ya maana.

Mambo ya kuamka na furaha mnacheka vizuri, kwenda bafuni simu ipo kitandani, ukirudi hali ya hewa imebadiliiiika, wingu ni jeusi halafu inataka na kunyesha!

Mi kwangu haitokei hata siku hii, 1.
Hii inasaidia sana, ikiwezekana kila app unazilock na nywila pia.
kila mtu awe na faragha na simu yake!
 
Mbali na kazi flaniflani ambazo simu inaweza kuwa restricted kwa wife,ila sehemu za siri zinazidiwaje usiri na siri za kwenye simu!? Mtu umembenjulia mauno kachungulia mpaka ovaries , ila eti simu yake kushika ni mwiko, siku tukijua thamani ya sehemu zetu za siri kwenye simu kutakuwa hakuna siri ya maana kiasi Cha kumficha mwenza simu yako

Ila simu Ina siri za maana kwa sababu sehemu zetu za siri hazina thamani,

Hizo comments nimefuatilia mwanzo mwisho inaonyesha uzinzi Sasa ni sehemu ya maisha ya watu wengi na hivo wanajitahidi kutowajua wenza wao ili wajidanganye Wana Mahusiano thabiti,au wajifanye Wana amani,


Mtu akiachiwa simu chumbani na mumewe au mkewe ikaita Yuko radhi akimbie asione ni nani anapiga, maisha Gani hayo Sasa. Si Bora kuwa mtawa
Ubatili, ubatili ,ubatili,ubatili ubatili
 
A
A stingy man Is a red flag Mshangazi dot com
Stingy or broke 🚩🚩🚩🚩
giphy.gif
 
Back
Top Bottom