Mnaopekua simu za wapenzi/waume/wake zenu huwa mnataka nini kifuate?

Kwani ni kosa kukagua simu ya mtunmliefunga naye ndoa? Kwa sheria ipi?
 
Sio hao tu. Huwa nawashangaa na wale wanaopima pima Ukimwi. Leo kapima kakutwa hana, kesho atapimwa atakutwa hana na kesho kutwa atakutwa hana pia. Yaani anakaa anautafuta kama anao.

Ila akija akapimwa na kukutwa anao, anaanza kulia
 
Kuizima
Tunataka Kuizima na kulala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…