Mnaopiga wake zenu huwa mnakuwa mmetumia vilevi? Mke hapigwi!

Kazoea shida na hana pa kwenda ukizingatia kwao alipotoka nako hakueleweki lazima awe mpole🤣🤣🤣 umaskini mbaya👌
Si Kweli kuwa Umaskini ndo chanzo Cha wanawake kupigwa na kukosa pa kwenda.

Upendo wa mke ndo humbakiza pale.

Chanzo ni POMBE,

POMBE ipigwe BAN 🙏
 
Mshukuru Mungu. Yakikukuta utapaona tu kupiga na ndio utajua kwann watu hupiga wake zao.

NB
Usipige mwanamke. Mpe hela feki wahuni wakampige mbele ya safari
 
Kuna jamaa amemramba kichwa mke wake mpaka akampopoa Meno ya mbele lakini mwanamke hataki kuondoka kwa msela...
Kuna wanawake wagumu nyiee me nimehudhuria
Sasa aende wapi na mapengo/mwanya wa kufosi ?
 
Siku atakapo nyanduliwa na kidume chengine huko utajua kwanini wanapigwa😂
 
Kazoea shida na hana pa kwenda ukizingatia kwao alipotoka nako hakueleweki lazima awe mpole🤣🤣🤣 umaskini mbaya👌
Watoto wa matajiri wanachezea kichapo na sio kwamba hawana pa kwenda au kwao ni masikini.

Jitahidini kupunguza magubu, wanaume hatupendi kujibishwa jibishwa bila adabu tena mbele hata watoto sometimes, wanawake kuna time mnakua kama watoto akili kisoda, ugomviiiiiiiii..
mwanaume anajikuta tu kasakurushia kibao.
 
Sasa zikipigwa ban si watu wote tutaokoka? HALAFU SASA ILI???!!!

Sent from my HUAWEI NMO-L31 using JamiiForums mobile app
Pombe ndo zimesababisha ulemavu na mateso Kwa mama zetu,

Wengine wameshindwa kupata Elimu Bora sababu ya baba kunywa Pombe.

Pombe zipigwe BAN 🙏
 
Je Mimi Sio falsafa zangu kupigawanamke..Ila Kuna wanamke vichomi hawana malezi..anaweza akawa anatembea nje Na akaanza dharau

Kutwa kukukejeli, msosi hapiki...ipo siku utapandwa Na jazba japo umpe adabu
 
Wakati ameyapata hapohapo na walikubaliana watakua mwili mmoja mpaka kifo
Shetani anamhujumu Taasisi ya ndoa kupitia silaha ya POMBE.

Pombe zipigwe BAN 🙏
 
Je Mimi Sio falsafa zangu kupigawanamke..Ila Kuna wanamke vichomi hawana malezi..anaweza akawa anatembea nje Na akaanza dharau

Kutwa kukukejeli, msosi hapiki...ipo siku utapandwa Na jazba japo umpe adabu
Mungu awe kiongozi wa familia.

Ukitaka mkeo asitoke nje ya NDOA, mwonyeshe nini maana ya Uaminifu Kwa vitendo.

Mke hukopi na kupaste Toka Kwa mume.

Pombe zipigwe BAN 🙏
 
Yani hata kabla sijasoma uzi wako, niko hapa
 
Siku atakapo nyanduliwa na kidume chengine huko utajua kwanini wanapigwa😂
Tangu lini kipigo kimezuia mke mwenye TABIA ya UZINZI kuacha UZINZI?

Ukitaka mke asizini, usimfundishe UZINZI Kwa wewe kuwa na vimada na Malaya lukuki.

Mke hujifunza Toka Kwa mume.
 
Yani hata kabla sijasoma uzi wako, niko hapa
Sijaelewa,

Kabla hujasoma Uzi uko hapa,

Fafanua 🤔

Vipi, katika makuzi Yako, umeshihudia baba akimpiga mama sababu ya ulevi?

POMBE ipigwe BAN 🙏
 
Kuna jamaa amemramba kichwa mke wake mpaka akampopoa Meno ya mbele lakini mwanamke hataki kuondoka kwa msela...
Kuna wanawake wagumu nyiee me nimehudhuria
Hana pa kwenda huyo
Mimi ukinipiga tumeagana 😀
 
Hana pa kwenda huyo
Mimi ukinipiga tumeagana 😀
Huna pa kwenda.

Mume ni MMOJA tu, ubavu wako.

Solution ni kumgundua na kumfukuza huyo shetani wa kipigo, amtoke mumeo,

Maisha yaendelee.

Tukifanikiwa kufanikisha Pombe ikapigwa Ban, tutakuwa tumepiga hatua.
 
Huna pa kwenda.

Mume ni MMOJA tu, ubavu wako.

Solution ni kumgundua na kumfukuza huyo shetani wa kipigo, amtoke mumeo,

Maisha yaendelee.

Tukifanikiwa kufanikisha Pombe ikapigwa Ban, tutakuwa tumepiga hatua.
Wala sio pombe na kama ni pombe nitaondoka alale na hizo pombe kama ndo zinamfurahisha actually napenda mazungumzo tuzozane ila tusipigane sinamuda wa kumfanyia maombi mlevi wapo wagonjwa wanaohitaji maombi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…