Mnaosema CCM wataendelea kushinda chaguzi kwa sababu ya Mbowe, ni lini uchaguzi huru umefanyika Tanzania

Mnaosema CCM wataendelea kushinda chaguzi kwa sababu ya Mbowe, ni lini uchaguzi huru umefanyika Tanzania

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Kuna dhana potofu inayojengwa kuwa kwa sababu Mbowe ameamua kushiriki uchaguzi kwa kugombea uenyekiti wa Taifa Chadema lazima atashinda na kwamba CCM watapata urahisi wa kushinda uchaguzi mkuu mwakani 2025! Eti Mbowe ni laini kwenye meza ya majadiliano!

Kwamba Lissu angeachiwa ashinde uenyekiti wa Taifa Chadema ili aweze kukabiliana na CCM katika uchaguzi mkuu ujao. Eti kwa kuwa Lissu ni Mwanaharakati ana nafasi kubwa ya kukabiliana na CCM katika meza ya majadiliano!

Tuambiane ukweli ni lini CCM wameshinda uchaguzi ulio huru na wa haki? Kumbukumbu zinaonyesha CCM wamekuwa wakipora chaguzi zote kwa kuiba kura na kutangaza kura tofauti na zilivyokuwa katika masanduku ya kura! Mpaka leo Tume ya Uchaguzi imeshindwa kutangaza Magufuli alipata kura ngapi na Lissu alipata kura ngapi katika uchaguzi wa mwaka 2020!

Kwa hiyo CCM inapora ushindi na kamwe haijawahi kushinda katika uchaguzi huru na haki!
 
Kila uchaguzi mkuu ukifanyika vyama vya upinzani vinadai Tume huru ya uchaguzi kwa sababu Tume iliyopo inakuwa imechafua matokeo kwa kuwatangaza wana CCM walioshindwa kuwa ndiyo washindi!
 
Kuna dhana potofu inayojengwa kuwa kwa sababu Mbowe ameamua kushiriki uchaguzi kwa kugombea uenyekiti wa Taifa Chadema lazima atashinda na kwamba CCM watapata urahisi wa kushinda uchaguzi mkuu mwakani 2025! Eti Mbowe ni laini kwenye meza ya majadiliano!

Kwamba Lissu angeachiwa ashinde uenyekiti wa Taifa Chadema ili aweze kukabiliana na CCM katika uchaguzi mkuu ujao. Eti kwa kuwa Lissu ni Mwanaharakati ana nafasi kubwa ya kukabiliana na CCM katika meza ya majadiliano!

Tuambiane ukweli ni lini CCM wameshinda uchaguzi ulio huru na wa haki? Kumbukumbu zinaonyesha CCM wamekuwa wakipora chaguzi zote kwa kuiba kura na kutangaza kura tofauti na zilivyokuwa katika masanduku ya kura! Mpaka leo Tume ya Uchaguzi imeshindwa kutangaza Magufuli alipata kura ngapi na Lissu alipata kura ngapi katika uchaguzi wa mwaka 2020!

Kwa hiyo CCM inapora ushindi na kamwe haijawahi kushinda katika uchaguzi huru na haki!
Una ushahidi au umelishwa maneno nawe unayatapika tu? Twambie mwaka 2020 CCM alipata kura ngapi za kweli sawa asilimia ngapi halafu akaiba ngapi sawa na asilimia ngapi? Na utupe reference ya vyanzo huru vya taarifa yako.
 
Una ushahidi au umelishwa maneno nawe unayatapika tu? Twambie mwaka 2020 CCM alipata kura ngapi za kweli sawa asilimia ngapi halafu akaiba ngapi sawa na asilimia ngapi? Na utupe reference ya vyanzo huru vya taarifa yako.
Ulivyo mpumbavu mwizi atakueleza ameiba kura ngapi! Ni juha tu kama wewe anayeweza kuhoji upumbavu kama wako!
 
Kuna dhana potofu inayojengwa kuwa kwa sababu Mbowe ameamua kushiriki uchaguzi kwa kugombea uenyekiti wa Taifa Chadema lazima atashinda na kwamba CCM watapata urahisi wa kushinda uchaguzi mkuu mwakani 2025! Eti Mbowe ni laini kwenye meza ya majadiliano!

Kwamba Lissu angeachiwa ashinde uenyekiti wa Taifa Chadema ili aweze kukabiliana na CCM katika uchaguzi mkuu ujao. Eti kwa kuwa Lissu ni Mwanaharakati ana nafasi kubwa ya kukabiliana na CCM katika meza ya majadiliano!

Tuambiane ukweli ni lini CCM wameshinda uchaguzi ulio huru na wa haki? Kumbukumbu zinaonyesha CCM wamekuwa wakipora chaguzi zote kwa kuiba kura na kutangaza kura tofauti na zilivyokuwa katika masanduku ya kura! Mpaka leo Tume ya Uchaguzi imeshindwa kutangaza Magufuli alipata kura ngapi na Lissu alipata kura ngapi katika uchaguzi wa mwaka 2020!

Kwa hiyo CCM inapora ushindi na kamwe haijawahi kushinda katika uchaguzi huru na haki!
Hapa sasa nathibitisha kuwa hata enguzi zina baraka za wahuni /wanaomiliki wanavyoita vyama vyao a.k.a wakudumu na vidumu.
 
Tuambiane ukweli ni lini CCM wameshinda uchaguzi ulio huru na wa haki? Kumbukumbu zinaonyesha CCM wamekuwa wakipora chaguzi zote kwa kuiba kura na kutangaza kura tofauti na zilivyokuwa katika masanduku ya kura! Mpaka leo Tume ya Uchaguzi imeshindwa kutangaza Magufuli alipata kura ngapi na Lissu alipata kura ngapi katika uchaguzi wa mwaka 2020!

Kwa hiyo CCM inapora ushindi na kamwe haijawahi kushinda katika uchaguzi huru na haki!
Umenena vema. Na huu ndiyo ukweli.
 
Basi wewe utakuwa juha namba moja unayedai umeibiwa, lakini hujui umeibiwa nini! Ahahahahaha!!!
Ccm ni waizi mimi nilishakua msimamizi wa uchaguzi nilishuhudia kura zinaibiwa waziwazi

Na kama juzi nivember tena kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa hukuona zile figisu basi utakua na matatizo ya akili
 
Mjomba Mbowe, asante kwa kukomboa kikoba chetu, maadui zetu wameanza kujidhihirisha wazi.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Kuna dhana potofu inayojengwa kuwa kwa sababu Mbowe ameamua kushiriki uchaguzi kwa kugombea uenyekiti wa Taifa Chadema lazima atashinda na kwamba CCM watapata urahisi wa kushinda uchaguzi mkuu mwakani 2025! Eti Mbowe ni laini kwenye meza ya majadiliano!

Kwamba Lissu angeachiwa ashinde uenyekiti wa Taifa Chadema ili aweze kukabiliana na CCM katika uchaguzi mkuu ujao. Eti kwa kuwa Lissu ni Mwanaharakati ana nafasi kubwa ya kukabiliana na CCM katika meza ya majadiliano!

Tuambiane ukweli ni lini CCM wameshinda uchaguzi ulio huru na wa haki? Kumbukumbu zinaonyesha CCM wamekuwa wakipora chaguzi zote kwa kuiba kura na kutangaza kura tofauti na zilivyokuwa katika masanduku ya kura! Mpaka leo Tume ya Uchaguzi imeshindwa kutangaza Magufuli alipata kura ngapi na Lissu alipata kura ngapi katika uchaguzi wa mwaka 2020!

Kwa hiyo CCM inapora ushindi na kamwe haijawahi kushinda katika uchaguzi huru na haki!
Hakika haijawahi
 
Ccm ni waizi mimi nilishakua msimamizi wa uchaguzi nilishuhudia kura zinaibiwa waziwazi

Na kama juzi nivember tena kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa hukuona zile figisu basi utakua na matatizo ya akili
Kwahiyo unadhani ni wewe tu humu umeshiriki kama msimamizi wa uchaguzi? Mwaka 2020 nilikuwa Msimamizi Mkuu wa Kituo na mawakala wote wa CCM na, Chadema n avyamo vingine walisaini fomu ya matokeo kwenye Kituo changu na nakala nikawapatia. Mbona sikusikia wakisema kura zimeibiwa? Tena mmoja akasema, nanukuu "kwa uwazi wote huu kwanini nisisaini?" Mwisho wa kunukuu.

Hayo ya wizi wa kura mnalishwa matango pori na mnakubali na ndio maana hakuna mwenye ushahidi hata Lissu mwenyewe hana ,sembuse wewe mtu mdooogo kabisa ndio uwe nao??
 
Na hiyo ndio sababu tunamtaka Lissu. Unajua kabisa hakuna Tume Huru Ya Uchaguzi na Katiba nalo tatizo bado unalazimisha kushiriki.
 
Wehu ni nyie mnamchochea Lissu wakati mkijia Lissu akitoka Chadema politically ni kwishnei na nyie hamna uwezo kumsaidia chochote ngumbaru nyie!!!
Ukisikia kelele jiwe limempata!

Wewe ni miongoni mwa wezi wa kura!

Mbwa 🐕 mwerevu!
 
Ukisikia kelele jiwe limempata!

Wewe ni miongoni mwa wezi wa kura!

Mbwa 🐕 mwerevu!
Mimi ni CCM na tulijipanga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tukashinda kwa kishindo na sasa tunajiandaa na Uchaguzi Mkuu wa 2025. Utatusikia!
 
Back
Top Bottom