Kwahiyo unadhani ni wewe tu humu umeshiriki kama msimamizi wa uchaguzi? Mwaka 2020 nilikuwa Msimamizi Mkuu wa Kituo na mawakala wote wa CCM na, Chadema n avyamo vingine
Wewe ulikuwa msimamizi + Wewe ni CCM= Mwizi wa kura!Mimi ni CCM na tulijipanga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tukashinda kwa kishindo na sasa tunajiandaa na Uchaguzi Mkuu wa 2025. Utatusikia!