Mnaosema kuwa hakuna mchawi anayeweza kuiba Bank mnajidanganya

Mimi nataka mchawi ambaye ataweza kunibadili jinsia, au kunisaidia kila ninapoomba visa ya nchi yoyote ile ninayotaka kuenda nikubaliwe tu hata kama sina documents za kueleweka, yani hapo ndio nitauamini uchawi
 
Naomba mawasiliano yake
 
Naomba mawasiliano yake
 
Mkuu sheikh ambaye watoto wake wameslim hapo umeniacha njia panda maana sheikh kawaida inategemewa watoto wake wawe waislam
 
Saw
Sawa mkuu! Eti kutoja liwale hadi World Bank! Mkuu sasa nadhani dish limecheza!
 
Uko wapi uchawi? Naomba uniroge au utafute wa kuniroga kisha nimlipe pesa
 
Sheikh ambaye watoto wake wamesilimu!! Kivipi?
 
...Kuna Watu Watapigwa Kwa Tangazo hili la Biashara ![emoji1][emoji1]
 
Wachawi wengi wanaweza kuwa matajiri kama wakitaka!unadhani kwanini wachawi wengi ni masikini sana?Masharti yake ni magumu saaana hata wenyewe wanahanya
 
Unadhani WB ni kama banki zenu za biashara Zina maself na wamejaza pesa mle?
 
Mchawi gani anayeweza kuiba benki, wangeweza kuiba haya mabenki yangefilisika
Amini kwamba wapo wanao weza kuiba tatizo lako wewe ni bishi tu huna uhakika unachobishia, wanaiba kwa vijicent cent, unaweka benk milioni moja unakuta laki 9 na elfu tisini na 6 mia tisa themanini... iyo remaining iko wapi na makato yote ushahakiki, unailamu benki ina makato makubwa benki nao wanakuambia hawana.

Jiulize watu wanatembelea mkoko wa milioni 50 au 30 wengi tu unaamini uhalali wa pesa zao kwa % ngapi. Ikiwa wewe milioni kumi tu kuipata ni ndoto, majumba ya kifahari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…