Mnaosubilia CSEE RESULT 2013 checkin hapa.

Kwakwel baraza la mthan wamekuwa wazembe xana,cjui kwa kuwa wote ni drsa la saba!
 
Kwakwel baraza la mthan wamekuwa wazembe xana,cjui kwa kuwa wote ni drsa la saba!

Wewe nina mashaka na tokeo lako litakavyotoka, chunga sana usijejikuta darasa la saba ni wewe.. Usimdharau mtu,
 
Dah wewe una matatizo ya macho.hizo comma huzioni? Na nukta.
 
Ni kweli wakuu sio kulaumu necta ,hasa sialala kasahihisha na kupanga ,inahitaji umakini kwa kweli na sio kikulpuka tu isije ikatokea maafa kama ya mwaka jana
 
mkuu, tarehe ulizoandika hapo zimepita na bado Wizara ya Elimu ipo kimya.. Una ufafanuzi?
 

Ikishindikana sana kila njia warejee sera ya "KILIMO KWANZA" kunamikopo ya matrekta watafanikiwa.
 
kuna ushauri wakati mwingine unaweza kuwa unamweleza binadamu yakawa yanapita sikio hilo na kutokea lile kana kwamba unampigia mbuzi gitaa. Mtoa mada ushauri wako mzuri lakini sio muda muhafaka kwa vijana.
 
jaman matokeo mbna kimya au n mabaya.hya tuxema leo ckuku ya wapendanao wazri kawambwa alikuwa na shemeji, bc mwambien kesh n cku ya kaz atangaze bana
 
Si Vizuri Kuongea Kitu Ambacho Hauna Uhakika Nacho@ Kama Yalishatoka Mbona Hayatangazwi Kwenye Vyombo Vya Habari? Acheni Utani Mazee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…