Mnaotaka kufanya kazi na wanaojiita Nickshine Media Production kuweni makini sana

Mnaotaka kufanya kazi na wanaojiita Nickshine Media Production kuweni makini sana

tena mtaani mtu akisikia una ndoa anatetemeka asijekuvurugia mambo.

hawa wa laki 7 hawa,inaonekana hawababaiki na kima.
Sasa mtu kama speshoz kwa week 1 anaweza pata order hata ya suti 10.

Bado hajawashonea wcb, yanga.

Wewe ngumbaru huna faida kwake hata asipokushonea.
 
Duh kumbe hata speshoz msumbufu [emoji1381]‍[emoji3601]
Dogo msumbufu sana kama wewe sio famous kama kina diamond au sio rafiki ake.

Hata hizo nguo hashoni yeye, anaweka mafundi na nyingine anapeleka mitaani kwa mafundi wengine.
 
kila jambo litapita,wawaulize madreva tax maisha waliyoishi kabla ya uber,bolt na taxfy.

unamuita mtu airport posta anaropoka tu bei,lete 80 kisa umeshuka kwenye ndege[emoji1787],beseni lilipokuja kupinduka watu wanalipa 3500 ndio akili zikawakaa sawa.

kwa mimi ninavyojua,kazi kama ile nawewe unakuwa sehemu ya sherehe,ukizingua tayari umeharibu furaha muhimu ya mwenzako.
tuchukulie mfano ma MC namna wanavyolipwa na kuja kuamsha sherehe ya mhusika,ndio kitu tunachotaka.
Hahaaa Umenikumbusha mbali sana mambo ya tax wajinga walikua na bei za ajabu sana
 
Code za lugha yako inakukamatisha vizuri.

Endelea kufunguka

Najikamatisha nini, ata akijijua mm sina shida na vizuri akajijua ili anadilike we unadhani namwogopa, kwanza nilivyokoment mwanzo nilimtaja nikaamua kumfuta kwa sababu tu hii thread haikua yangu na wala sikua na nia ya kumwanika bali kuchangia uhalisia niliokumbana nao katika huduma hizi ili na wengine wawe makini, yeye mwenyewe anajua ni jinsi gani alitukosea na ushahidi upo kwa iyo siogopi chochote ata akijulikana.
 
Code za lugha yako inakukamatisha vizuri.

Endelea kufunguka

Na ndio maana nilipost screensot ya chats zangu na yeye na hata kabla sijapost nilijua fika akiziona atafahamu kabisa ni yeye na ajue ninkwa jinsi gani alitukwaza, mimi napenda ajifahamu kabisa na ajue hadi leo kila tunapikumbuka shughuli yetu hatuachi kumlaani kwa kitendo alichotufanyia.
 
Hela yangu ingerudi yote.
Ningemchukua ndugu yangu mmoja.
tungewapigisha push up za kutosha.alafu ningewaambia kesho nakuja kuchukua hela zangu.
USIPENDE KUWA MNYONGE.
tusingewapiga ila cha Moto wangekiona .
Hahaa ina sheria haikuruhsu kufanya hivyo. Ukikutana na mbishi zaidi utaomba pooh, kwanza utafunguliwa shitaka la kuja eneo lake la kazi na kuharibu mali, kumdhalilisha, kuvunja na kuiba, hapo atataja kiasi chochote cha hela kilichopotea siku hiyo baada ya ww kuja, lakin pia atataja vifaa vya kazi kuvunjwa na vingine kuchukuliwa na wewe.

Hapo ndio utajua hujui
 
Hahaaa Umenikumbusha mbali sana mambo ya tax wajinga walikua na bei za ajabu sana
Hawa jamaa wa Tax miaka ya 2000 kuja hadi 2004 walikuwa ndio kila kitu na Icon ya jamii, mwendesha Tax mtaani anawavimbia anawaona nyie lofa tu, muda wote suruali zile za kitambaa zimepigwa pasi balaa, anakula mademu wakali tu na wanafunzi wa private schools,
Hatoi lift kwenye gar lake hata kama akukute njian na ww unaenda mtaa anao elekea kisa usichafue gari.

Gheto zao zina vitambaa vimetandikwa kwenye kochi na mezani.

Yote kwa yote: Walikuwa wanapata hela nyingi kuliko boss mwenye Tax mwenyewe ila kazi kubwa ya hizo hela ni starehe.

Mfano, brother yangu miaka hiyo alikuwa na Tax aina ya Corolla, alimpa dereva mmoja anaitwa Omary kwa shart la kuleta elf 10 kwa siku, ila kwa maelezo yake alikuwa siku kakosa hela ana lala na elf 70.
 
Yaani ulipokua unakwrnda kulipa hapo ofisini ulikua unakuta watu wanalalamika kufanyiwa kazi isivyona still ukaendelea kulipa?,hii kitu mbona haiingii akilini?,pili husemi walichofanya kibaya unakomea kusemq walikuharibia siku sio kua hawa ni washindani wako unajaribu kuwabomoa huku kwa lenngo la kumdhoofisha mshindani wako?
 
So namfahamu NICK, aliwahi kufanya Wedding ya Rafiki yangu mwaka huu hapo Dar es Salaam. ALIFANYA KAZI HIYO KWA UBORA NA UAMINIFU
Nilipoona hii post niliamua kumtafuta sikumpata, lakini rafiki yangu ambaye alifanya naye kazi alimpata na kumuuliza kuhusu Uzi huu ulioweka.

Ndugu, uzi wako una kasoro na viashiria kwamba UNATAKA TU KUMCHAFUA NICK KWA SABABU ZAKO. Kasoro hizo ni;

1. Huelezi Nick kakukosea nini haswa. Uko too general husemi ulichofanywa.

2. Umetanguliza kujihami kwingi kwamba huandiki kwa nia mbaya, ilinipa hofu kuona kwamba unaweza kuwa na nia mbaya. Umemaliza pia kwa kusema utaletewa povu, why uletewe povu kweny jambo hilo?

Nicki amejieleza na kuomba wanajamvi wapime mambo yafuatayo:

1. Yeye sio biashara ya mtandaoni ambayo mtu anaweza kupata tabu kuifahamu. YEYE NI KAMPUNI, INA OFISI ZAKE ZIKO SINZA. Hivyo kama kweli una malalamiko kwake, ni rahisi kabisa kumkamata na kufungua kesi. So fara Ofisni kwake hakuna malalamiko ya hivyo unavyosema kwamba eti unashindwa kumpeleka mahakamani.

2. Nicki anahusisaha suala hili na vita za kibiashara kwa sababu YEYE ANAJITANGAZA SANA NA KUTOA HUDUMA KWA BEI NAFUU jambo ambalo washindani wake kwenye biashara linawakera sana. Mnaungana kumpiga vita.

3. Nicki amehusisha hili na TUZO, mnajua wenyewe mambo yenu ya tuzo ambazo mwaka jana Nicki alishinda. Mwaka huu tena yuko Nominated, hivyo kuelekea tuzo hizo mmeanza kuwekeana fitna.

MSICHAFUANE, MWENYE MALALAMIKO YA KWELI TUAMBIE ULIFANYWA NINI, NICKI YUPO OFISNI KWAKE TUELEZE KWA NINI HUJAMKAMATA?

Uzi wako una dalili zote za chuki za kibiashara, umekosa mashiko na ukweli wa hoja. ACHA.
Toa ujinga hapa
 
Mh hatari Sana,, Kuna shughuli muhimu itakuwa mwanza mwezi ujao nilikuwa nawaza kutafuta mtu wa picha ambae Ni maarufu kumbe ningebugi, sijui nitafanyaje kwa hali hii jamani😪
INGIA MKATABA...LIPA HELA 40% INAYOBAKI ULIPE KAZI ITAKAPOKUWA TAYARI NA UMEIONA UKAJIRIDHISHA NDIO ULIPE... OTHERWISE UKIJIFANYA UMELIPA YOTE UMEUMIA...
 
Kimjini mjini mambo mengi huenda kwa connection mimi mara nyingi vitu vyote ktk maisha yangu hushirikisha wale ambao nahisi wameshafanya,na huwaomba wanipe wale waliowafanyia kisha nakaa nao chini kuwaambia ongeza hiki au punguza hiki.

Mtu yeyote atakaeipita ktk uzi huu ushauri nakupa:mambo ya muhimu sana ktk maisha penda kuwashirikisha watu maana hakuna jambo jipya utalifanya ambalo hakuna aliyewahi kufanya chuja ktk wale utakaombiwa tafuta mmoja na mwambie kabisa nimeelekezwa na mteja wako uliwahi kumfanyia kazi yake sehemu fulani huyu ni vigumu kukuharibia maana atajua kumbe kupitia ubora wa kazi zangu ndiko nakopatia wateja so atajitahidi kukufurahisha ili na wewe kesho umletee mteja.

Usijaribu kuwa hero utajuta!
 
Hahaa ina sheria haikuruhsu kufanya hivyo. Ukikutana na mbishi zaidi utaomba pooh, kwanza utafunguliwa shitaka la kuja eneo lake la kazi na kuharibu mali, kumdhalilisha, kuvunja na kuiba, hapo atataja kiasi chochote cha hela kilichopotea siku hiyo baada ya ww kuja, lakin pia atataja vifaa vya kazi kuvunjwa na vingine kuchukuliwa na wewe.

Hapo ndio utajua hujui
Yaani hela yangu na kesi unifungulie?
Hao mbona wangerudisha zote
 
Back
Top Bottom