Mnaotaka kuingia USA pitieni BAHAMAS πŸ‡§πŸ‡Έ

Nimesema hii mada inahusu mabaharia, wanaume mtu kazi sio toto lele mama kulialia tu, ko dogo Kaa pembeni hujui kitu
 
Tatizo vijana mnajazana ujinga sana huko ughaibuni bila makaratasi siyo rahisi kutoboa utaishia kufanya kazi za chini ya meza, na hata hayo makaratasi kuyapata siyo rahisi kama mnavyodanganyana lazima usote kwanza na ukiingia kichwa kichwa deportation inakuhusu, tatizo watu wakiambiwa ukweli wanadai wanakatishwa tamaa mara sijui we mtoto wa mama hujui kitu yani ujuaji tu utafikiri wao ndio kwanza kuwa na hiyo mipango ya kufika huko
 
Siongea nawanaokaa kwa shemeji mm ko Kaa kwa kutulia
 
Kama kaka ako ametoboa kwa njia hyo wewe unasubiri nini????
 
Dunia inakimbia aisee! Yaani enzi za mababu zetu walitufuata mpaka vita vikatokea, leo hii mnajipeleka wenyewe kwa njia ya magendo.
Hizi ni akili nyeusi bro
Dunia nzima sijui ni nchi gani haikutawaliwa
Watu wa jamii zote wanazunguka dunia nzima kutafuta fursa
Hapo kijijini kwako tu kuna watu hapo wametoka nchi za mbali

Alafu Marekani haina mwenyewe kila utakayemgusa ana asili ya nchi alikotoka

Nenda katafute fursa bro acha mtindio wa mawazo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Yaani nimesoma hili andiko lako nimeishia kutikisa kichwa tu kwa kusikitika.








Uziri ni kwamba bado mna nafasi, hamkuzaliwa hivyo. Badala ya kuendelea kupapasa na kukisia, just bueni hivyo vitambaa vyenu usoni.
 
Siongea nawanaokaa kwa shemeji mm ko Kaa kwa kutulia
Mpwayungu acha mawazo yako ya vijiwe vya kahawa hapo Chamwino, USA sio kama Chipogoro tulia uelekezwe acha ubishi,kwanza nani atakupa kazi ukiwa huna work permit hata moja?! Usione wale wanaolala barabaran wanapenda, Hupewi hata kazi ya kuzibua vyoo ukiea huna kibali hata kimoja na ukianza process za kutafuta hivyo vibali ndio zitaanza hizo kesi za ulifika vipi hapa USA, Matokeo yake ni deportation au kifungo ndani ya USA
 
We endelea kujifariji kwa kauli za kipumbavu tu, tangu umeanza kuongelea habari za kuzamia sijui kama umewahi Kuvuka hata hapo Kenya tu, ukipata hizo $2500 nenda huko US kwa kupitia hiyo njia uliyosema halafu rudi hapa utupe mrejesho
Huyu jamaa ana ndoto kubwa sana shida yake ni kuwa mwalimu mwenye akili duni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…