Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Huyu dogo ana stress sana. Hali yake mbaya anashinda vijiweni tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wana toboa ukuta biden anasema usizibwe🤣Ukuta wa trump
Mkuu naomba kujua gharama za maisha hapo Bahamas zipo vipi ni kiasi gani kinaweza kukutosha kukaa kwa kipindi ambacho unapanga mipango wa kuzamia states na pia kutoka hapo bahamas mpaka states ina-cost kiasi gani bila kusahau ukikanyaga states suala la makazi na hustles unaanzia wapi na ni kiasi gani kinaweza kutosha kwa kipindi kifupi ambacho utakua unatafuta kibarua cha kujishkiza
Hapana mkuu.. jamaa hajatoa mrejesho wa nilichoulizamkuu vp, umepata taarifa zozote ili u share nasi ?