Mnaotaka kuingia USA pitieni BAHAMAS 🇧🇸

Mnaotaka kuingia USA pitieni BAHAMAS 🇧🇸

So unahitaji wakuandalie kama budget ya Tshs ngapi?
Sijajua kwani sina uzoefu na masuala ya safari za nje ila kwa wajuzi walisema kupitia threads moja hivi kuwa maximum ya bajeti inaenda mpaka 10 milion kulingana na jimbo unalotaka kwenda kuishi
 
Siwezi tena kwenda marekani.
Mimi na baadhi ya watanzania wenzangu tumekuwa tukiehindia kula ukoko wa wali wakati huku nyumbani vyakula bwerere.
USA hapana aise.
Bongo patamu sana siondoki tena.
 
Tatizo vijana mnajazana ujinga sana huko ughaibuni bila makaratasi siyo rahisi kutoboa utaishia kufanya kazi za chini ya meza, na hata hayo makaratasi kuyapata siyo rahisi kama mnavyodanganyana lazima usote kwanza na ukiingia kichwa kichwa deportation inakuhusu, tatizo watu wakiambiwa ukweli wanadai wanakatishwa tamaa mara sijui we mtoto wa mama hujui kitu yani ujuaji tu utafikiri wao ndio kwanza kuwa na hiyo mipango ya kufika huko
Mkuu tupe uzoefu wako. Mimi nina mpango wa kuingia USA nipo kwenye mchakato wa kujikusanya financialy
 
Ukishindwa kutafuta maisha hapa tz!!! Usijidanganye popote wewe Blai!!! Watu wapi USA mwaka wa 20 wanaona aibu kurudi!!!asikudanganye mtu!??
Unataka kuniambia Elon Musk angekuja kufanya mishe zake Tz angetoboa kwa level aliyopo sasa hivi? Kiteknolojia, kiuchumi uwezekano wa kutoboa Marekani ni mkubwa ukilinganisha na Tz. USA nchi ya fursa ile we ubunifu wako tu unatoboa labda kipingamizi kiwe makaratasi. Mange kimambi mbona anakula maisha fresh tu, unafikiri angebaki Tz leo hii angeweza kuingia barabarani na G-wagon?
 
Bora na wewe useme mkuu maana wengine tukisema tunaonekana watoto wa mama mara tunakaa kwa shemeji, mtu hakujui halafu anakuletea personal attacks kisa tu umemuambia ukweli, halafu bora angekuwa labda amewahi kuzamia hata hapo nchi jirani tu hajawahi yuko madongo kuinama huko ila anakuja hapa kupotosha watu kwa mambo ya kijinga na ya kusimuliwa
Mkuu punguza negativity. Mambo mengine acha watu wafike wakayakute uko uko tu sio kuanza kutishana. Wewe kama unaona kuna posibility yoyote ya kuingia uko States mwaga nondo masuala ya makaratasi sijui deportation acha wapambanaji tukakutane nayo uko uko.
 
Kama unataka kwenda Bahamas - utafikia Nassau Paradise Island. Hapo ndipo unapoweza kuanza mipango ya kutoka Free Port (Bahamas) kuelekea Fort Lauderdale ( Pwani ya Miami - Florida)

Sasa kabla hujatamani safari zingatia mambo yafuatayo:-

Ni kweli kuingia unahitaji Passport lakini pia vigezo vya wewe kutoishia Uwanja wa Ndege na kurudishwa ulipotoka ni pamoja na
1. Passport ambayo haijaisha muda wake (Hii umeshaeleza); hapa walau iwe na miezi sita ya kabla ya kuisha muda wake ( Hili sio tatizo maana Vijana wengi wa Kitanzania wana passport).

2. Uwe na tickect ya kurudi ulipotoka ama uwe na ticket inayoonyesha kituo kingine baada ya Bahamas ( Hapa sasa vijana ndio huwa wanajilipua kwa kuwa na ticket ya ndege ya kurudi Bongo huku kichwani akiwa hana huo mpango wa kurudi.
Hii ni muhimu ili upate muda wa kupanga mipango yako ya kuzamia Florida na usipate usumbufu kutoka kwa maafisa wa Uhamiaji wa Bahamas; ni wasumbufu na wapo kila mahali.

3. Ushahidi wa kuwa na fedha ya kukidhi mahitaji yako ukiwa Bahamas; hapa sasa ni muhimu sana maana ukishuka hapo Nassau na una Dola 200 jua kuwa watakushikilia hapo uwanja wa ndege na watakurudisha uwanja wa ndege wa Dar es Salaam pale Kipawa karibu na Majumba sita. Hapa sasa ndipo matumizi ya kadi za Benki za Visa Card huwa yanaonekana. Wakitaka ushahidi unaonyesha salio lako la kwenye kadi ya benki.

Hitimisho; licha ya kuwa gharama za safari kwenda Nassau - Bahamas ni ndogo walau USD 2500/- zingatia kuwa na hela nyingine ya ziada ili walau uguse ardhi ya Marekani. Ukitoka hapa na ticket ya kwenda tu kuwa na uhakika, utaishia kuangalia majengo ya Uwanja wa ndege wa Nassau na tutakuja kukupokea pale Dar tena ukiwa na kesi ya kujibu kwa serikali ya Dokta Samia.
Mkuu naomba kujua gharama za maisha hapo Bahamas zipo vipi ni kiasi gani kinaweza kukutosha kukaa kwa kipindi ambacho unapanga mipango wa kuzamia states na pia kutoka hapo bahamas mpaka states ina-cost kiasi gani bila kusahau ukikanyaga states suala la makazi na hustles unaanzia wapi na ni kiasi gani kinaweza kutosha kwa kipindi kifupi ambacho utakua unatafuta kibarua cha kujishkiza.
 
Mkuu tupe uzoefu wako. Mimi nina mpango wa kuingia USA nipo kwenye mchakato wa kujikusanya financialy

Huwa nakeleka sana na watu wanaishia kupinga tu bila kutoa suluhisho. Jamaa kaeleza njia za kufika USA anakuja mtu anasema haiwezekani halafu hatoi alternative yoyote

Mkuu punguza negativity. Mambo mengine acha watu wafike wakayakute uko uko tu sio kuanza kutishana. Wewe kama unaona kuna posibility yoyote ya kuingia uko States mwaga nondo masuala ya makaratasi sijui deportation acha wapambanaji tukakutane nayo uko uko.
Tatizo mkipewa hizo alternatives mnadai mnatishwa sijui mnakatishwa tamaa, njia za uhakika ni kupata kazi au scholarships, kushinda dv lottery, kupata tourist visa au kufunga ndoa na raia wa huko (hata ya mchongo), na hizi njia zote hazihitaji unga unga mwana lazima uwe na pesa kidogo

Hapo ukifanikiwa kupata visa kupitia njia yoyote kati ya hizo ukishafika kule sasa ndio unazamia moja kwa moja, unafanya kazi za chini ya meza huku ukitafuta green card, tatizo watu hizo njia hawazitaki sababu hizo zote ni lazima upitie ubalozini in short watu wanataka kuzamia bila visa

Yani wao wanataka kusikia zile njia za alizamia kwenye meli ya mizigo sijui alijificha kwenye matairi ya ndege, au sijui aliomba visa ya nchi fulani kisha alivyofika akaungaunga hadi akazamia marekani, sasa hizo njia siyo za uhakika kuna asilimia kubwa za kufeli na kuwa deported
 
Hapa tunaongea kwa wazamiaji, mabaharia na watafutaji wagumu ani sio mtoto wa mama.

Process za kutoka bongo direct to USA 🇺🇸 ni ngumu isitoshe inavigezo pia ni expensive, Sasa chakufanya wew kama Una dollar 2500 inatosha kabisa kwenda USA 🇺🇸

Nenda Bahamas coz ni free visa entry, ni wewe na passport yako tu mkononi kama unavyoenda Kenya na Burundi tu hawama mambo mengi sijui wakuhoji nn amna

The distance in mile from Bahamas mpaka Miami Florida kwa upande wa marekani ni almost mile 25 tu ni kama dar to chalinze.

Pale Bahamas utawakuta wajuba kutoka Mexico Wana boti zao unatoa kama dollar 500 ivi wanakuvusha kwa boti kimagendo lakini, ukifika tu pale mwambaoni wanawamwageni afu nyie mnakimbilia lami barabarani tayari uko ndani ya USA 🇺🇸.

MIMI broo wangu mwezi ulopita katumia iyo njia saizi yupo zake NEW YORK CITY anakula maisha.

N. B. more is lost by indecision than by wrong decisions.
mgogo in USA
 
Tatizo mkipewa hizo alternatives mnadai mnatishwa sijui mnakatishwa tamaa, njia za uhakika ni kupata kazi au scholarships, kushinda dv lottery, kupata tourist visa au kufunga ndoa na raia wa huko (hata ya mchongo), na hizi njia zote hazihitaji unga unga mwana lazima uwe na pesa kidogo

Hapo ukifanikiwa kupata visa kupitia njia yoyote kati ya hizo ukishafika kule sasa ndio unazamia moja kwa moja, unafanya kazi za chini ya meza huku ukitafuta green card, tatizo watu hizo njia hawazitaki sababu hizo zote ni lazima upitie ubalozini in short watu wanataka kuzamia bila visa

Yani wao wanataka kusikia zile njia za alizamia kwenye meli ya mizigo sijui alijificha kwenye matairi ya ndege, au sijui aliomba visa ya nchi fulani kisha alivyofika akaungaunga hadi akazamia marekani, sasa hizo njia siyo za uhakika kuna asilimia kubwa za kufeli na kuwa deported
Izo izo njia ambazo unaziita sio za uhakika kama kuna uwezekano wa kupenya hata kidogo tu we shuka madini.
 
Izo izo njia ambazo unaziita sio za uhakika kama kuna uwezekano wa kupenya hata kidogo tu we shuka madini.
Hizo njia ambazo siyo za uhakika ndio hizo ambazo nilisema ni za uongo na wengi huishia kuangukia pua, hoja hapa ni kwamba huwezi kuzamia nchi za watu kirahisi kama unavyotaka ingekuwa inawezekana kirahisi hivyo si kila mtu angetumia njia hizo, mimi nimepinga njia zisizo za uhakika ili nitaje njia za uhakika halafu wewe unaniambia tena nitaje zisizo za uhakika sasa kama unataka zisizo za uhakika si ndio utumie hiyo njia ya mleta mada
 
Hizo njia ambazo siyo za uhakika ndio hizo ambazo nilisema ni za uongo na wengi huishia kuangukia pua, hoja hapa ni kwamba huwezi kuzamia nchi za watu kirahisi kama unavyotaka ingekuwa inawezekana kirahisi hivyo si kila mtu angetumia njia hizo, mimi nimepinga njia zisizo za uhakika ili nitaje njia za uhakika halafu wewe unaniambia tena nitaje zisizo za uhakika sasa kama unataka zisizo za uhakika si ndio utumie hiyo njia ya mleta mada
Kila mtu anajua alichosema mleta mada sio njia ya uhakika lakini kuna walioitumia wakafanikiwa kwaiyo uwezekano upo. Maisha yana risk nyingi sana ni suala la ujasiri wako tu, anyway kama hauna maujanja tulia fuata utaratibu kwenye kila jambo ili utoboe kwa izo njia zako halali.
 
Back
Top Bottom