Mnaotaka kuingiza bidhaa nchini kokotoo la TRA ndio hili

Mnaotaka kuingiza bidhaa nchini kokotoo la TRA ndio hili

Hapo mwisho MADINI hiyo wizara hawafanyi chochote?
Yaan hayo madini yawe under Country reserve kama hiyo BOT. Yaan huwezi kuuza wala kuextract bila ya kibali cha BOT. Yaan wao ndio wawe REGULATOR.
 
Walaji wengi mno, wakiona hawatosheki wanaanza kupiga calculation zao za kukamua wahangaikaji.

Njia pekee ni kufanya walio wengi kuwa productive kwa maana ya kuifanya tax base kuwa kubwa... Sasa population kubwa ni makada wa vyama waliozoea kuishi bure, + machawa wao matokeo yake wazarishaji wanabaki wachache.
 
Nchi za nje zinaviwanda, zina uchumi imara, zinafanya kila linalowezekana kulinda wiwanda vyao, kulinda mazingira, hali ya hewa na kadhalika. Ndio maana wameweka viwango vya kodi walivyoviweka.

Hapa Tz, ni vigezo gani vinaamua kodi ipangwe kwa kiwango gani? Msijekuwa mmechungulia viwango vya nchi nyingine mkapunguza kidogo ama kuongeza kidogo na kubandika hapa nchini matokeo yake ni kuwatesa tu wananchi wenu ambao 70% ni masikini na purchasing power yao ni hafifu.
 
Kwenye tembea tembea zangu mitandaoni nimekutana na kikotozi cha TRA kinachotumiwa kwenye uingizaji wa bidhaa hapa nchini, kwakweli kinatia kichefuchefu na kukatisha tamaa.

Jioneeni wenyewe nisiseme sanaa;

View attachment 2474370
Kodi yetu inafikirisha sana. Zaidi ya kuwa ni viwango vya juu kipta kiasi, bado tunadaiana kodi juu ya kodi.

1673296514827.png
 
Utasemaje UAE hakuna Kodi wakati Kodi wasiyotoza ni Kodi ya kipato pekee ambayo Einstein alisema ni kitu kigumu zaidi kukielewa
Kwa mujibu wa Google Dubai wanatoza only in alcohol items, so there are free tax on import, income and many other types of tax, so Dubai wanategemea hasa on non tax revenues hasa zaidi ktk oil.
 
Mkuu una elewa nini kuhusu hiyo TAX BASE??

Mbona Serikali ametanua sana hiyo BASE mpaka tumeingia kwenye huduma za VING'AMUZI, MIAMALA YA SIMU NK.

Au ww hii tax base unaelewa nini?

Serikali inatakiwa kupunguza kodi, ili kuruhusu watu wengi walipe kwa hiyari, sambamba na kuweka sheria kali kwa wataokwepa kodi ikiwemo kifungo cha miaka si chini ya 10 au kutaifishwa mali.

Serikali imejitahisi mno hapo kwenye TAX BASE, au unataka nini kingine kitozwe kodi mkuu.

Mm binafsi nashauri wapunguze % ya kodi, na pia iangalie uwezekano kwa taasisi ambazo kimsingi zinakusanya NON TAX REVENUE kama, TPA, EWURA, BRELA nk waangalie namna ya kuviunganisha kwenye malipo ili kuondoa ukiritimba.

Mimi kama ningekuwa Waziri wa Fedha ningefanya yafuatayo.
1. Ningetoa GRACE PERIOD kwa makampuni mapya kwa miaka 3 kwenye CORPORATE TAX huku nikikazia sana kwenye PAYE, SDL, VAT ambazo hizi ndio zinarun NCHI. Yaan unahakikisha uhakiki wa wafanyakazi.

2. Personal Income tax ningeshusha kwa 50% na mashine ya EFD ni lazima, na kila biashara mpya anapewa Mashine mpya ya EFD au mfumo wa VFD. Na hapa naweke Sheria kali, kutotoa Risiti, Kifungo kisichopungua miaka 5 au kutaifishwa mali.

3. PAYE ningeshusha % kidogo.

4. Ushuru wa magari na bidhaa mbalimbali ningeshusha hadi kufikia 20 au 15%

5. BOT ingecontrol biashara ya madini, DHAHABU nk. Tuwe na akiba kubwa ya madini hayo, madini hayaozi na always yanapanda thamani.

Nitaendelea nikitoka hapa WAVUVI KEMPU......
Daah umejibu hovyo sana kuchukua hela za miamala ndio unajisifia wameongeza Tax base kwa Nchi yenye kila kitu hivi huko shule huwa mnasoma nini? Angalia idadi ya watu na idadi ya wanaolipa kodi au waulize TRA wametoa TIN ngapi kwa walipa kodi hizo VAT za kwenye mihamala,umeme ni kuwaongezea Wananchi mizigo tuu Mkuu...ndio maana unaona hata kuwakamata wakwepa kodi kila miaka ni wale wale kwa maana hawana wigo mkubwa wa kukagua Wafanyabiashara wengi nguvu kazi ni ndogo...
 
Mkuu una elewa nini kuhusu hiyo TAX BASE??

Mbona Serikali ametanua sana hiyo BASE mpaka tumeingia kwenye huduma za VING'AMUZI, MIAMALA YA SIMU NK.

Au ww hii tax base unaelewa nini?

Serikali inatakiwa kupunguza kodi, ili kuruhusu watu wengi walipe kwa hiyari, sambamba na kuweka sheria kali kwa wataokwepa kodi ikiwemo kifungo cha miaka si chini ya 10 au kutaifishwa mali.

Serikali imejitahisi mno hapo kwenye TAX BASE, au unataka nini kingine kitozwe kodi mkuu.

Mm binafsi nashauri wapunguze % ya kodi, na pia iangalie uwezekano kwa taasisi ambazo kimsingi zinakusanya NON TAX REVENUE kama, TPA, EWURA, BRELA nk waangalie namna ya kuviunganisha kwenye malipo ili kuondoa ukiritimba.

Mimi kama ningekuwa Waziri wa Fedha ningefanya yafuatayo.
1. Ningetoa GRACE PERIOD kwa makampuni mapya kwa miaka 3 kwenye CORPORATE TAX huku nikikazia sana kwenye PAYE, SDL, VAT ambazo hizi ndio zinarun NCHI. Yaan unahakikisha uhakiki wa wafanyakazi.

2. Personal Income tax ningeshusha kwa 50% na mashine ya EFD ni lazima, na kila biashara mpya anapewa Mashine mpya ya EFD au mfumo wa VFD. Na hapa naweke Sheria kali, kutotoa Risiti, Kifungo kisichopungua miaka 5 au kutaifishwa mali.

3. PAYE ningeshusha % kidogo.

4. Ushuru wa magari na bidhaa mbalimbali ningeshusha hadi kufikia 20 au 15%

5. BOT ingecontrol biashara ya madini, DHAHABU nk. Tuwe na akiba kubwa ya madini hayo, madini hayaozi na always yanapanda thamani.

Nitaendelea nikitoka hapa WAVUVI KEMPU......
 
Back
Top Bottom