Mnaotaka kuingiza bidhaa nchini kokotoo la TRA ndio hili

Mnaotaka kuingiza bidhaa nchini kokotoo la TRA ndio hili

Yaan kwa tafsiri hii
[emoji117]mzigo ukifika TU bandarini unapigwa V.A.T
[emoji117]Mzigo ukiingia K'koo,wholesaler anapigwa V.A.T
[emoji117]Mzigo ukiingia mtaani,retailer anapigwa V.A.T
Yaan nchi hii, Mungu atunusuru[emoji26]
Na bado. Ukishafanya biashara, ukapata ka-faida kidogo, mzazi wako akikuambia umtumie elfu ishirini ya kununua dawa, inakatwa tena tozo.
 
Ha ha ha .....
Uko serious kanisa Yaani T.R.A wakucharge V.A.T afu urudi tra kuwadai wakurudishie hiyo vat yako[emoji23]

UNAZUNGUMZIA NCHI HII AU BURUNDI[emoji1787]
Huyu jamaa ana mboyoyo nyingi sana ambazo hazina uhalisia
Sijui kama amewahi hata kuuza pipi akajua mambo yanavuokwenda
Yaani ukawadai TRA wakurudishie pesa, matercall yake
 
Sasa faida atapataje?, Yaani nguo cost iwe milioni 43,,
Kodi zote ni milioni zaidi ya 20,,,,
Kwahiyo hadi nguo zikae dukani inakua ametumia karibu milion 80,,
Atauzaje hiyo nguo ili apate faida?
Kuna watu ni wapumbavu sana
Unajiuliza, hivi Hawa watu wana vichwa au kibebeo cha nywele
Inakera mpaka basi
 
Kuna watu ni wapumbavu sana
Unajiuliza, hivi Hawa watu wana vichwa au kibebeo cha nywele
Inakera mpaka basi
Kuna Watu humu wanajua biashara za kwny vitabu, ila mtaan uhalisia Ni tofaut
 
Huyu jamaa ana mboyoyo nyingi sana ambazo hazina uhalisia
Sijui kama amewahi hata kuuza pipi akajua mambo yanavuokwenda
Yaani ukawadai TRA wakurudishie pesa, matercall yake
Ha ha ha....
Yaan nmemuwazia Sana sijamuelewa kabisa, Kama ndo wasomi wetu Basi kazi IPO.

Eti wasipokurudishia ukafungwe kesi mahakamani maana iko KISHERIA[emoji1787]

Hivi ukawafungulie kesi T.R.A utakua unajipenda au hujipendi?[emoji1787]

YAAN HATA UKISHINDA IYO KESI,
ACHANA NA BIASHARA NENDA MKOANI KALIME.

WATAKUANDAMA MPK UTAJUA HUJUI[emoji4]
 
Na bado. Ukishafanya biashara, ukapata ka-faida kidogo, mzazi wako akikuambia umtumie elfu ishirini ya kununua dawa, inakatwa tena tozo.
Hi nchi acha kabisa,
Hata ukifanya muamala benki rambirambi ya msiba, V.A.T Yao wanachukua[emoji26]
 
Watanzania ni Wazalendo sana kulipa kodi pamoja na kwamba TRA badala ya kuwashukuru walipa kodi wanajipongeza wao kwa kukusanya kodi...Nchi zingine kila mwaka ile VAT wanayoirudisha kwa kununua bidhaa kwao huwa wanapongeza unakutana na barua nzito wanakutafuta wao sio bongo kila mlipa kodi anaonekana jambazi muda mwingine Jeshi linahamia dukani..
Kabisa.mkuu,
Suala la vat liko KISHERIA inapaswa mwisho wa mwaka irudishe.
Ila nchi hi huwa hairudi na ukijida kiherehere unaidai, awamu inayofata unakadiriwa Kodi kubwa ili unyooke
 
Hapa ndipo ilipo shida ya elimu yetu ya Tanzania
Wewe unaizungumzia VAT kupitia ulichokisoma darasani na Mimi naizungumzia VAT katika hali halisi ya sokoni na sokoni ndiko unakutana na impact ya VAT kwa wafanyabiashara

Hivi wewe umeshawahi kukutana na mteja wa mwisho anayenunua kiatu dukani Cha kuvaa analalamika kuhusu VAT ?
Na kwa mujibu wa topic zinazofundishwa darasani huyu mteja ndio mlipaji wa hiyo VAT

Kwa upande wapili kwa nini wanaolalamika kuhusu VAT inawaumiza ni wafanyabiashara na sio wateja wa mwisho?

Na je vipi huyu mfanyabiashara ambae ambae ameingiza mzigo sokoni na akakuta labda fashion ya mzigo wake imeisha hivyo itamlazimu auze kwa bei ya hesara ili kuokoa msingi wake lakini pia katika hayo mauzo VAT inamsubiri aikusanye na kupeleka cash TRA
Wateja hawalalikii vat ?

Mbona wanasema umeme bei juu , Vifurushi bei juu ++ Hizo huduma zote zina Vat

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kabisa.mkuu,
Suala la vat liko KISHERIA inapaswa mwisho wa mwaka irudishe.
Ila nchi hi huwa hairudi na ukijida kiherehere unaidai, awamu inayofata unakadiriwa Kodi kubwa ili unyooke
Wewe huoni watu wapo kimya wafanyabiashara wengi wanaangalia na kuumia moyoni tuu nimeona jamaa wa Pombe wao wanalipa 100% sawa pana % ingine ya TBS inafika mpaka 15m kwa 40ft kontena bongo pana kodi balaaa...ndio maana wanauoza bidhaa za ukweli hawawezi kudumu kwa muda mrefu au wakaleta bidhaa za miaka ya karibuni..
 
Ha ha ha....
Yaan nmemuwazia Sana sijamuelewa kabisa, Kama ndo wasomi wetu Basi kazi IPO.

Eti wasipokurudishia ukafungwe kesi mahakamani maana iko KISHERIA[emoji1787]

Hivi ukawafungulie kesi T.R.A utakua unajipenda au hujipendi?[emoji1787]

YAAN HATA UKISHINDA IYO KESI,
ACHANA NA BIASHARA NENDA MKOANI KALIME.

WATAKUANDAMA MPK UTAJUA HUJUI[emoji4]
Makampuni ya kigeni yanaweza kufanya hivyo sio wazawa na wanakubaliana na Wanasheria kitakachopatikana ana % zake hapo...
 
Huyu jamaa ana mboyoyo nyingi sana ambazo hazina uhalisia
Sijui kama amewahi hata kuuza pipi akajua mambo yanavuokwenda
Yaani ukawadai TRA wakurudishie pesa, matercall yake
Kwenye income tax act pana vifungu ukiingi na baadhi ya bidhaa kama ni matumizi yako hutakiwi kulipa kodi ila wao wanalipisha kodi kila wanachokiona kipya labda uvae...viatu wanahesabu hao wahuni ndio ije kuwa TV au nguo watu wanahangaika kutoa kwenye makaratasi ili begi lipite kama nguo za kuvaa daah...
 
Ha ha ha....
Yaan nmemuwazia Sana sijamuelewa kabisa, Kama ndo wasomi wetu Basi kazi IPO.

Eti wasipokurudishia ukafungwe kesi mahakamani maana iko KISHERIA[emoji1787]

Hivi ukawafungulie kesi T.R.A utakua unajipenda au hujipendi?[emoji1787]

YAAN HATA UKISHINDA IYO KESI,
ACHANA NA BIASHARA NENDA MKOANI KALIME.

WATAKUANDAMA MPK UTAJUA HUJUI[emoji4]
Kwani usipoidai unadhani wanajali. wao wataipeleka kwa Mwigulu tu.

Na ukiidai ni haki yako wanakupa, sasa maamuzi ni yako. Kama ni mfanyabiashara kweli usipodai you lose kwa sababu ya bei zako itabidi ziwe kubwa.

Na ukidai TRA awapotezi kitu ni kodi ya ongezeko la kama unawadai elfu 10 na wewe kwa kuuza wanakudai 12. Ukitoa chako ukawapa elfu 2 yao aliekuuzia atakuwa kakuchaji 10 ya VAT na yeye wakimdai 12 yao ipo pale.

Au unadhani ukiwadai wana loose chochote na usipodai wao awawezi kukulipa hiyo hela n’goo.

The choice is yours and the entitlement to decide, ila VAT ni kodi ya mlaji wa mwisho sio mfanyabiashara.
 
Wewe huoni watu wapo kimya wafanyabiashara wengi wanaangalia na kuumia moyoni tuu nimeona jamaa wa Pombe wao wanalipa 100% sawa pana % ingine ya TBS inafika mpaka 15m kwa 40ft kontena bongo pana kodi balaaa...ndio maana wanauoza bidhaa za ukweli hawawezi kudumu kwa muda mrefu au wakaleta bidhaa za miaka ya karibuni..
Using CIF to calculate import duty na VAT ni utaratibu ambao upo karibu kote duniani.

Ila import duty huwa very low nchi nyingi less than 5 percent, hiyo kodi ya bidhaa ndio sijailewa kabisa na VAT (on importation) kwa wafanyabiashara it shouldn’t be difficult to be treated as differed taxes mpaka wauze kama lengo ni kuchochea biashara.

Hizo kodi za kuagiza vitu sio rafiki kabisa.
 
Back
Top Bottom