DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Huyu anazungumzia mambo ya uhasibu wa vyuoni, Hali halisi ya mtaani Ni tofaut kabisa.VAT inaumiza mno.We Jamaa unachekesha sana unasema VAT hain impact kwa mfanyabiashara?
Kama haina impact kwa wafanyabiashara kwa nini wanakuwa wagumu kutoa risiti au wanatoa risiti ya bei Pungufu ili kupunguza makali ya VAT?
Mfanyabiashara akikuzia bidhaa yenye thamani ya milioni 100 si anatakiwa ilipe VAT tena cash ya Milioni 18
Hizi elimu zenu za katika makaratasi ni ujinga mtupu
Kiuhalisia wanasema inapaswa kulipwa na mnunuaji wa MWISHO, maana ake muuzaji unapaswa umpandishie Bei mteja kufidia pesa ya vat uliyoilipa serikalini uko tra
Sasa ukipandisha bei Wewe TU,
Wenzako hawana hiyo vat kibiashara utoboi
VAT awamu iliyopita ilikua inatumika kuwanyoosha wale wapinzani wa JIWE.
Ukionekana unamdomo Sana,
Au unawadhamini upinzani Kwenye biashara yako unapigwa vat unyooke.
NA HUNA CHA KUFANYA MAANA IKO KISHERIA