Mnaotaka kuingiza bidhaa nchini kokotoo la TRA ndio hili

Mnaotaka kuingiza bidhaa nchini kokotoo la TRA ndio hili

Tuwalaumu wabunge wetu kwa kutunga sheria za hovyo. Lakini kabla ya kuwalaumu tukumbuke kwa mujibu wa katiba, kigezo cha mtu kuwa mbunge ni kujua tu kusoma na kuandika. Mtu wa darasa la saba au kidato cha nne atawezaje kuchambua muswada wa sheria uliopelekwa bungeni na wataalamu? Mwisho kabisa tujilaumu sisi wananchi kwa kuchagua wabunge wa hovyo kisa tu alikuwa akimwaga takrima wakati wa uchaguzi.
 
We Jamaa unachekesha sana unasema VAT hain impact kwa mfanyabiashara?

Kama haina impact kwa wafanyabiashara kwa nini wanakuwa wagumu kutoa risiti au wanatoa risiti ya bei Pungufu ili kupunguza makali ya VAT?

Mfanyabiashara akikuzia bidhaa yenye thamani ya milioni 100 si anatakiwa ilipe VAT tena cash ya Milioni 18

Hizi elimu zenu za katika makaratasi ni ujinga mtupu
 
Yaan kwa tafsiri hii
[emoji117]mzigo ukifika TU bandarini unapigwa V.A.T
[emoji117]Mzigo ukiingia K'koo,wholesaler anapigwa V.A.T
[emoji117]Mzigo ukiingia mtaani,retailer anapigwa V.A.T
Yaan nchi hii, Mungu atunusuru[emoji26]
Hizi VAT umeziweka kama vile haziwi claimed.
 
Kitu cha 30000 muuza duka anajuaje kuwa faida yake ni 1000?? Na kwamba asipotoa risiti faida yake itakuwa kubwa kwa mtindo gani?
Unanitia wasi wasi na uwelewa wako jinsi ulivyokuwa unatetea Kodi za TRA nilijua labda unailewa biashara kumbe haujui chochote

Mfanya biashara yoyote Kila bidhaa aliyonayo dukani kwake anajua alinunua shs ngapi na ili apate faida auze shs ngapi

Let's say umenunua dazeni ya viatu kwa tsh 240000 Ina maana Kila pea umenunua kwa tsh 20000 Sasa ili upate faida si unatakiwa Kila pea uuze zaidi ya elfu 20?

Kama umeuza hiyo pea kwa elfu 22000 ukitoa risiti faida yako itakuwa 2000 - VAT kama haujatoa risiti hiyo elfu 2000 yote inakuwa faida yako
 
Hiyo pont yako ya mwisho

Kuwa baadhi ya wafanyabiashara wakiweka VAT wanaona mzigo hauendi

Ndio muhimu na hiyo ndio point ilimfanya jamaa andike hu Uzi

Viwango vya Kodi vya TRA vina shida na believe me kama wewe ni mfanya biashara ukifuata matakwa ya TRA hiyo biashara itafirisika

Juzi kati Kuna kitu nilinunua kariakoo kwa bei ya elfu 30 nikamwambia nipe risiti akanirudishia pesa yangu akaniambia kanunue sehemu nyingine

Nikaichukua ile pesa nikaitia mfukoni alafu nikaanza kupiga nae story kirafiki tu

Akaniambia hiyo bei ya elfu 30 hapo Mimi faida yangu ni tshs 1000 hivyo nikikupa risiti nitakuwa nimepata hasara ili apate faida ilitakiwa aniuzie elfu 32 lakini Cha kushangaza hicho kitu maduka mengi bei yake ni hiyo elfu 30

Kwa hiyo viwango vya Kodi hapa Tanzania havipo sawa kwa nini VAT isiwe 10% ili wafanyabiashara walipe kwa furaha na TRA wapate base kubwa ya wafanya biashara walipa kodi
Hesabu zake azi make sense

Kwa upande wa manunuzi yake kama faida yake ni 1000 katika 30000 ina maana kanunua 29000.

Kwenye hiyo kuna VAT kalipia (29000*118)/100=24580 round bei yake ya mzigo bila ya VAT. Kwa maana hiyo anawadai TRA VAT ya 4420.

Sasa yeye kama anataka faida ya 1000 jumlisha bei ya kununua 24580 = atauza kwa tsh 25580 plus 18% VAT ambayo ni tsh 30185 roughly. Katika hiyo VAT ya TRA ni 4605

Sasa kwa sababu na yeye anawadai VAT ya kununulia atakacholipq ni 4605-4420=185 hiyo ndio hela anayotakiwa kuwapa TRA tsh 185 tu.

Ukiwa na software kama SAGE it does all that for you, otherwise manually unatakiwa uwe na TAX account ledger kwa sababu tarehe ikifika inaweza ikawa wewe ndio unawadai wao VAT.

VAT aitakiwi kumuathiri mfanyabiashara issue labda ni purschading power akiweka VAT mzigo unachelewa kwenda.

Tatizo la msingi ni hiyo taarifa iliyopo kwenye main topic it’s too generic kwa sababu nina uhakika sio bidhaa zote zipo subjected kwa viwango sawa vya hizo kodi na hapo ndio kwenye uonevu bila ya kufahamu hizo sheria husika wanazotumia.
 
Hesabu zake azi make sense

Kwa upande wa manunuzi yake kama faida yake ni 1000 katika 30000 ina maana kanunua 29000.

Kwenye hiyo kuna VAT kalipia (29000*118)/100=24580 round bei yake ya mzigo bila ya VAT. Kwa maana hiyo anawadai 4420.

Sasa yeye kama anataka faida ya 1000 jumlisha 24580 = 25580 plus 18% VAT ambayo ni tsh 30185 roughly. Katika hiyo VAT ya TRA ni 4605

Sasa kwa sababu na yeye anawadai VAT atakayolipa ni 4605-4420=185 hiyo ndio hela anayotakiwa kuwapa TRA tsh 185 tu.

VAT aitakiwi kumuathiri mfanyabiashara issue labda ni purschading power akiweka VAT mzigo unachelewa kwenda.

Tatizo la msingi ni hiyo taarifa iliyopo kwenye main topic it’s too generic kwa sababu nina uhakika sio bidhaa zote zipo subjected kwa viwango sawa vya hizo kodi na hapo ndio kwenye uonevu bila ya kufahamu hizo sheria husika wanazotumia.
Ndio maana nimemshangaa hapo, how mtu akitoa risiti anakosa faida?
 
Unanitia wasi wasi na uwelewa wako jinsi ulivyokuwa unatetea Kodi za TRA nilijua labda unailewa biashara kumbe haujui chochote

Mfanya biashara yoyote Kila bidhaa aliyonayo dukani kwake anajua alinunua shs ngapi na ili apate faida auze shs ngapi

Let's say umenunua dazeni ya viatu kwa tsh 240000 Ina maana Kila pea umenunua kwa tsh 20000 Sasa ili upate faida si unatakiwa Kila pea uuze zaidi ya elfu 20?

Kama umeuza hiyo pea kwa elfu 22000 ukitoa risiti faida yako itakuwa 2000 - VAT kama haujatoa risiti hiyo elfu 2000 yote inakuwa faida yako
Mzee baba, wewe itakuwa ndio hujui unalozungumzia, aliyekwambia VAT analipa mfanyabiashara ni nani??
 
Ndio uelewe watu wanaposema wafanyabiashara wengi hii nadharia ya kodi awaielewi.
Huyo mfanyabiashara atakuwa hajasajiliwa na VAT. Ukisajiliwa na VAT itakupa shida sana, hasa kwenye kujua ending inventory yako, itaonekana tu wazi uliimport mzigo wa maana na Store hauna mzigo wa maana, hapa unajulikana wazi kuwa uliuza na hukutoa risiti.
 
Huyo mfanyabiashara atakuwa hajasajiliwa na VAT. Ukisajiliwa na VAT itakupa shida sana, hasa kwenye kujua ending inventory yako, itaonekana tu wazi uliimport mzigo wa maana na Store hauna mzigo wa maana, hapa unajulikana wazi kuwa uliuza na hukutoa risiti.
Ndio wanapojikanyaga hapo kuuza bila ya kutoa receipt siku wakienda kufanyiwa audit hesabu azi match.

Mziki unaofuata wa kujaribu kukwepa kodi kwa mujibu wa sheria utasikia TRA wanadai kodi vibaya sana, sijui wamechukua hela kwenye account yangu.
 
Kwenye tembea tembea zangu mitandaoni nimekutana na kikotozi cha TRA kinachotumiwa kwenye uingizaji wa bidhaa hapa nchini, kwakweli kinatia kichefuchefu na kukatisha tamaa.

Jioneeni wenyewe nisiseme sanaa;

View attachment 2474370

Wanasema mama asiyelipa kodi uuko kazini. Ayajulie wapi madhila ya walipa Kodi?
 
Ndio wanapojikanyaga hapo kuuza bila ya kutoa receipt siku wakienda kufanyiwa audit hesabu azi match.

Mziki unaofuata wa kujaribu kukwepa kodi kwa mujibu wa sheria utasikia TRA wanadai kodi vibaya sana, sijui wamechukua hela kwenye account yangu.
Miaka fulani nilienda Mwanza kuna kampuni ilihitaji Mhasibu, nikaenda, kwanza naanza kuulizwa nawezaje kukwepa kodi, mi nikashtuka kidogo.

Watanzania wanaona fahari kukwepa kodi.
 
Miaka fulani nilienda Mwanza kuna kampuni ilihitaji Mhasibu, nikaenda, kwanza naanza kuulizwa nawezaje kukwepa kodi, mi nikashtuka kidogo.

Watanzania wanaona fahari kukwepa kodi.
Bora tukwepe Kodi maana tunalipia wanafaidi wachache Tena mwaka huu ni mwendo wa biashara za magendo tu
 
Miaka fulani nilienda Mwanza kuna kampuni ilihitaji Mhasibu, nikaenda, kwanza naanza kuulizwa nawezaje kukwepa kodi, mi nikashtuka kidogo.

Watanzania wanaona fahari kukwepa kodi.
Hahahahah hio ndo quality namba moja ya mhasibu.
 
Back
Top Bottom