Mnaotaka kuingiza bidhaa nchini kokotoo la TRA ndio hili

Mnaotaka kuingiza bidhaa nchini kokotoo la TRA ndio hili

Huo Utopolo wa taarifa aukusaidii kitu chochote mlipa kodi, unachotakiwa kujua ni ‘Finance Act’ ya mwaka gani wanatumia

Kodi ni sheria sio maamuzi ya TRA. Muhimu ni kuilewa sheria husika TRA wanayotumia kutoza hizo kodi wao ni administrators tu wa kukusanya kodi kupitia sheria husika.

Sio mara zote administrators wa sheria wanakuwa sahihi, kwanini TRA wanapata shida kuelezea sheria husika, matters of fact ukijua sheria husika ata hesabu za kodi unazopigiwa unaweza challenge.
Hilo jambo sio sahihi kwa mlipa kodi, jukumu la TRA nikutoa elimu ya kodi pia.

Ukizingatia wao sio wanaoamua viwango vya kodi, bali waziri wa fedha ni vyema walipa kodi watambue hizo sheria kujiridhisha what the law intended.

Tangazo la ovyo mno ambalo halina sheria, basically you are at their mercy,
Ni bora ungesahihisha hayo mapungufu na kutoa huo muongozo unaosema..kuliko kumlalamikia mleta mada bila sababu.Infact sababu ya kuleta humu ni kwa ajili ya watu kama nyie mnaojua mtoe ufafanuzi

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye tembea tembea zangu mitandaoni nimekutana na kikotozi cha TRA kinachotumiwa kwenye uingizaji wa bidhaa hapa nchini, kwakweli kinatia kichefuchefu na kukatisha tamaa.

Jioneeni wenyewe nisiseme sanaa;

View attachment 2474370
Duh.
Halafu utakuta yenyewe, wake zao na vimada wao wanaingiza vitu bure kabisa.
TRA wana nia moja tu, kuhakikisha kila raia anakuwa fukara.
 
Mimi nikiangaliaga tu ushuru wa gari tena lililotumika nabaki kushangaa tu sijui tunaishi dunia ipi? Kuna kipindi tulikuwa nje ya nchi tukifanya kazi na mrundi alìkua akishangaa sana akisikia ushuru wa gari kwetu. Akituambia kwao kuingiza gari si issue kabisa...gharama ni kuinunua na kusafirisha tu lakini kuitoa wala alikuwa hawazii tax(Burundi)
Mkuu hapa ungetufafanulia kidogo. Huyo jamaa yako wa burundi ulimuuliza hiyo gari huko nje analoinunua ni nje gani? Hebu tupe mchanganuo wa kuingiza gari burundi iliyonunuliwa Dubai.
 
Huo Utopolo wa taarifa haukusaidii kitu chochote mlipa kodi, unachotakiwa kujua ni ‘Finance Act’ ya mwaka gani wanatumia.

Kodi ni sheria sio maamuzi ya TRA. Muhimu ni kuilewa sheria husika TRA wanayotumia kutoza hizo kodi wao ni administrators tu wa kukusanya kodi kupitia sheria husika.

Sio mara zote administrators wa sheria wanakuwa sahihi, kwanini TRA wanapata shida kuelezea sheria husika, matters of fact ukijua sheria husika hata hesabu za kodi unazopigiwa unaweza challenge.
Hilo jambo sio sahihi kwa mlipa kodi, jukumu la TRA ni kutoa elimu ya kodi pia.

Ukizingatia wao sio wanaoamua viwango vya kodi, bali waziri wa fedha ni vyema walipa kodi watambue hizo sheria kujiridhisha what the law intended.

Tangazo la ovyo mno ambalo halina sheria, basically you are at their mercy,
Ingawa TRA pia ni washaur wa WAZIRI wa FEDHA NA MIPANGO lakini pia ndo Wana nguvu yakutoka mapendekezo mpaka Bungeni, shida iko kwenye NIA ya KODI, ni Kama inashindana na wananchi, as if ni DISCOURAGE factor. Hapa kuna TATIZO kubwa la wqliopewq dhaman kuendesha chombo hili,SIJUH LINI TUTAJITAMBUA
 
Yaan kwa tafsiri hii
[emoji117]mzigo ukifika TU bandarini unapigwa V.A.T
[emoji117]Mzigo ukiingia K'koo,wholesaler anapigwa V.A.T
[emoji117]Mzigo ukiingia mtaani,retailer anapigwa V.A.T
Yaan nchi hii, Mungu atunusuru[emoj
sheria ya vat tuliambiwa anyelipa kodi hii ni mlaji wa mwisho yaani mtumiaji hao wengine wote ni wakusanyaji
 
Ni bora ungesahihisha hayo mapungufu na kutoa huo muongozo unaosema..kuliko kumlalamikia mleta mada bila sababu.Infact sababu ya kuleta humu ni kwa ajili ya watu kama nyie mnaojua mtoe ufafanuzi

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
kabisa mimi angalu sasa napata madini nashukuru mleta mada kanisaidia walau sasa nimeanza elewa hata leo maana nilikuwa niiagiza vitu nampa tu wakala anitolee mzigo
 
Yaan kwa tafsiri hii
[emoji117]mzigo ukifika TU bandarini unapigwa V.A.T
[emoji117]Mzigo ukiingia K'koo,wholesaler anapigwa V.A.T
[emoji117]Mzigo ukiingia mtaani,retailer anapigwa V.A.T
Yaan nchi hii, Mungu atunusuru[emoji26]
VAT ni nini!?
 
Mimi nikiangaliaga tu ushuru wa gari tena lililotumika nabaki kushangaa tu sijui tunaishi dunia ipi? Kuna kipindi tulikuwa nje ya nchi tukifanya kazi na mrundi alìkua akishangaa sana akisikia ushuru wa gari kwetu. Akituambia kwao kuingiza gari si issue kabisa...gharama ni kuinunua na kusafirisha tu lakini kuitoa wala alikuwa hawazii tax(Burundi)

Nadhani nchi nyingi zinazotuzunguka kuingiza magari kwao ushuru siyo Issue kabisa

Tanzania Sijui shida ni nini Jamani
 
Huo Utopolo wa taarifa haukusaidii kitu chochote mlipa kodi, unachotakiwa kujua ni ‘Finance Act’ ya mwaka gani wanatumia.

Kodi ni sheria sio maamuzi ya TRA. Muhimu ni kuilewa sheria husika TRA wanayotumia kutoza hizo kodi wao ni administrators tu wa kukusanya kodi kupitia sheria husika.

Sio mara zote administrators wa sheria wanakuwa sahihi, kwanini TRA wanapata shida kuelezea sheria husika, matters of fact ukijua sheria husika hata hesabu za kodi unazopigiwa unaweza challenge.
Hilo jambo sio sahihi kwa mlipa kodi, jukumu la TRA ni kutoa elimu ya kodi pia.

Ukizingatia wao sio wanaoamua viwango vya kodi, bali waziri wa fedha ni vyema walipa kodi watambue hizo sheria kujiridhisha what the law intended.

Tangazo la ovyo mno ambalo halina sheria, basically you are at their mercy,
Umeeleweka chief

Asante kwa elimu

Ova
 
Yaan kwa tafsiri hii
[emoji117]mzigo ukifika TU bandarini unapigwa V.A.T
[emoji117]Mzigo ukiingia K'koo,wholesaler anapigwa V.A.T
[emoji117]Mzigo ukiingia mtaani,retailer anapigwa V.A.T
Yaan nchi hii, Mungu atunusuru[emoji26]
Hii ni DUNIA nzima mkuu, tembea kwanza ujionee namna nchi zinajiendesha na upate kujua umuhimu wa kulipa kodi
 
It’s not supposed to work that way.

V.A.T kama ni mfanyabiashara unaweza idai huko unapo nunua. Kwa sababu uwezi lipa VAT nchi yeyote kama uishi huko kuna namna za kurudishiwa.

Kama importer halafu ni registered trade uwezi kudaiwa VAT at point of entry, ila utaitoza kwenye biashara wakati unauza and everyone on the value chain can claim it back mpaka kwa yule ambae anauza kwa final consumer ndio anaetakiwa kui-charge.

Technically ata mtu anae nini bidhaa Kariakoo kwa lengo la kusafirisha kuna mawili anaweza nunua bila ya VAT au akilipia basi anatakiwa aidai mpakani.

Kama ni trader wa ndani ukinunua bidhaa kwa lengo la kuuza, VAT uliyipia unatakiwa udai TRA wakurudishie the way it works in accounting unakuwa na VAT ledger.

However If the import is for personal use lazima kuna amount unaruhusiwa.

Ni hivi hakuna sheria ya kodi iliyo ya ovyo kama TRA wanavyodai, it’s so generic ilihali kodi azidaiwi ivyo.

Muhimu ni kujua sheria gani wanatumia kuonea watu; hakuna kitu kama icho kwenye sheria the way TRA works.

Hire qualified accountants kama biashara yako inafaida za kutosha. TRA sio alpha and omega wa kodi bali sheria.
Nina uhakika wewe hujui KODI a wala huna uelewa kwenye UHASIBU. Nina uhakika na kama utabisha nipe room hapa hapa nikuulize maswali kisha uyatolee majibu kuhusu hata hiyo VAT.
 
Back
Top Bottom