Mnaotaka kuingiza bidhaa nchini kokotoo la TRA ndio hili

Mnaotaka kuingiza bidhaa nchini kokotoo la TRA ndio hili

Tuwalaumu wabunge wetu kwa kutunga sheria za hovyo. Lakini kabla ya kuwalaumu tukumbuke kwa mujibu wa katiba, kigezo cha mtu kuwa mbunge ni kujua tu kusoma na kuandika. Mtu wa darasa la saba au kidato cha nne atawezaje kuchambua muswada wa sheria uliopelekwa bungeni na wataalamu? Mwisho kabisa tujilaumu sisi wananchi kwa kuchagua wabunge wa hovyo kisa tu alikuwa akimwaga takrima wakati wa uchaguzi.
 
Wanaotunga sheria za kodi siku wakiingiza wao ndio watajua hii sio sawa. Hizi kodi ni kubwa mno ndio maana gharama za maisha mtaani zinapanda
 
Ni bora ungesahihisha hayo mapungufu na kutoa huo muongozo unaosema..kuliko kumlalamikia mleta mada bila sababu.Infact sababu ya kuleta humu ni kwa ajili ya watu kama nyie mnaojua mtoe ufafanuzi

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Uwezi kufafanua kodi bila ya sheria

Mfano kuna msamaha wa baadhi ya machinery kwenye sector kadhaa za uzalishaji kila mwaka ambazo huwa zinaondolewa kodi kadhaa; je na zenyewe ni subjected kwa hizo kodi.

Sasa ukisema ukaisome finance act ya 2022 aina maana kila kitu cha 2021 kinabadikika.

So ni muhimu TRA wao wenyewe kuwaeleza walipa kodi sheria husika. Nchi za wenzetu ukienda kwenye parliament site unapata viwango vya 👇


2F954E67-8D52-45A5-9510-A63A8C7E0D4B.jpeg

Jumlisha kuna vitabu ambavyo wahasibu vinawaonyesha how to calculate taxes na bidhaa zipi zina kodi nafuu au zina msamaha, taasisi zipi zimesamehewa kodi, so forth with taxation

Kitabu pia kina msaada on preparing final accounts maana kuna capital allowance zinaruhusiwa, charitable donations na mambo mengine ya kupunguza kodi, how to transfer loses, preparing consolidated financial statement.

Lakini mtu kukwambia kodi ni kiasi fulani that’s just too general na hata sijui hao wahasibu wanafanya kazi vipi bila ya vitabu kama hivyo hasa kwenye maswala ya kodi na kuanda financial statement.
 
Kwenye tembea tembea zangu mitandaoni nimekutana na kikotozi cha TRA kinachotumiwa kwenye uingizaji wa bidhaa hapa nchini, kwakweli kinatia kichefuchefu na kukatisha tamaa.

Jioneeni wenyewe nisiseme sanaa;

View attachment 2474370
Mhh..

Nusu ya bei ya kununulia??? Hii ingekuwa kwa bidhaa tunazozalisha ndani ingekuwa swa LAKINI KWA BIDHAA AMBAZO HATUNA UWEZO WA KUZALISHA NI KUUMIZA WALIOWACHINI


SERIKALI YETU IANGALIE NA HILI
 
Cheki sasa watanzania mtu unawapa elimu ya bure hata Shukran hawana.

Halafu kesho wanatandikwa.

Ama kweli kuna watu awabebeki

Haya goodluck if you think VAT is supposed to be carried over without being claimed.

Tatizo lenu kubwa ni ignorance

👋
Shida yenu mnadhani wafanyabiashara wengi hawana Elimu na mmesahau kuwa TRA wanatumia Sheria na baadae nguvu na kitengo cha nguvu kilikuwepo...
 
Kwenye hiyo scenario, elekeza watu hapa, kwann TRA wamechaji VAT? Je VAT ina effect gani kwa aliyeagiza mzigo huo??
Kwenye kichwa chako hilo ndio swali la gumu kweli. Mie nikajua labda na treatment za capital allowances, taxation za group accounts ambazo kampuni moja ina miliki hisa kampuni nyingine kodi zinadaiwa vipi unakuja na kaswali uchwara kama hako.

VAT aina impact kwa mfanyabiashara ni Lodi anayolipa mlaji wa mwisho.

Swali kwako je mimi kama supplier na wewe trader VAT tunaitreat vipi?

Don’t waste people’s time na maswali ambayo kila mtu majibu anajua. Ukitaka kuongea maswala ya uhasibu njoo na vitu serious kama capital structure theories, portfolio management, managing currency risk and so forth. Lakini maswali kuulizana vitu vya kitoto
 
Umeongea mengi ila hujatusaidia! Jaribu kuwa problem solver siyo problem creator
Huyu ndo aloelezea vzr kabisa kuhusu hii issue.

Plus ile comment ya kudai VAT kamaliza kila kitu.

Wekeni wasomi wawasaidie kwenye biashara kama kuna mambo mmiliki huelewi. Biashara ikifikisha mtaji mkubwa lazima wasomi wakusaidia. Jifunzen kutoka kwa waarabu, wao hata kuongea huwaachia wasomi wanaoendesha biashara zao waongee na wao wamiliki ni watchers tu.

Salute Mayor Quimby
 
Shida yenu mnadhani wafanyabiashara wengi hawana Elimu na mmesahau kuwa TRA wanatumia Sheria na baadae nguvu na kitengo cha nguvu kilikuwepo...
Nguvu zina muda wake ata hilo pia inabidi upitie Tax administration Act. Ni sheria hiyo wanatumia kwenye ufanyaji wao kazi.

Otherwise hawana mamlaka ya kujiamulia tu wakufanye nini wakija kuna steps za kufanya na wewe una majukumu ya kuweka evidence zako za biashara sawa.
 
Kwenye kichwa chako hilo ndio swali la gumu kweli. Mie nikajua labda na treatment za capital allowances, taxation za group accounts ambazo kampuni moja ina miliki hisa kampuni nyingine kodi zinadaiwa vipi unakuja na kaswali uchwara kama hako.

VAT aina impact kwa mfanyabiashara ni Lodi anayolipa mlaji wa mwisho.

Swali kwako je mimi kama supplier na wewe trader VAT tunaitreat vipi?

Don’t waste people’s time na maswali ambayo kila mtu majibu anajua. Ukitaka kuongea maswala ya uhasibu njoo na vitu serious kama capital structure theories, portfolio management, managing currency risk and so forth. Lakini maswali kuulizana vitu vya kitoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana nikakupa simple qn, maana ubongo wako hauko sawa.
Sas kama haina effect kwa mfanyabiashara wewe unawezaje kuwaita watu humu hawana elimu?

Inaonesha msingi wa VAT hata huujui.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana nikakupa simple qn, maana ubongo wako hauko sawa.
Sas kama haina effect kwa mfanyabiashara wewe unawezaje kuwaita watu humu hawana elimu?

Inaonesha msingi wa VAT hata huujui.
Hii convo hainihusu ila ngoja niseme kitu kwa faida ya wengi.

Huyu jamaa ulomquote kwenye maelezo yake kasema unaweza claim hio VAT.

Kwa nn uclaim? Kwa sababu sio kodi ambayo ww ulipaswa kulipa at first.

Nani alipe sasa kama sio ww supplier haulipi? Ni mteja au consumer wa mwisho ndo inabidi alipie hio kodi lkn supplier ni mkusanyaji tu wa hio kodi kwa mbadala wa serikali. Na ndo maana supplier ataruhusiwa kuclaim back hio VAT kama kuna mahala aliilipa kwenye circle ya kuingiza mzigo.

Ulipoona amesema supplier anaweza idai hio VAT alolipa tuseme labda bandarini ungekua ushaelewa jamaa anamaanisha nini hapo na haya maswali usingeuliza.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana nikakupa simple qn, maana ubongo wako hauko sawa.
Sas kama haina effect kwa mfanyabiashara wewe unawezaje kuwaita watu humu hawana elimu?

Inaonesha msingi wa VAT hata huujui.
Sasa mtu analalamika kulipa VAT wakati yeye mfanyabiashara, inaingia akilini kweli?

Listen kama wewe ni trader umelipa VAT ya bidhaa hiyo amount unawadai baadae, na wewe pia una charge VAT kwa niaba yao.

This is why kwenye biashara kuna VAT ledger uliyolipia kwenye bidhaa unawadai, uliyoweka kwenye mauzo ni yao; muda wa malipo ukifika unawapa differences au unaweza kuwa unawadai.

Inaonekana ata hiyo concept ya VAT inakusumbua.
 
Back
Top Bottom