Mnaotaka kuingiza bidhaa nchini kokotoo la TRA ndio hili

Mnaotaka kuingiza bidhaa nchini kokotoo la TRA ndio hili

Kwenye kichwa chako hilo ndio swali la gumu kweli. Mie nikajua labda na treatment za capital allowances, taxation za group accounts ambazo kampuni moja ina miliki hisa kampuni nyingine kodi zinadaiwa vipi unakuja na kaswali uchwara kama hako.

VAT aina impact kwa mfanyabiashara ni Lodi anayolipa mlaji wa mwisho.

Swali kwako je mimi kama supplier na wewe trader VAT tunaitreat vipi?

Don’t waste people’s time na maswali ambayo kila mtu majibu anajua. Ukitaka kuongea maswala ya uhasibu njoo na vitu serious kama capital structure theories, portfolio management, managing currency risk and so forth. Lakini maswali kuulizana vitu vya kitoto

Ila una nyodo

Utakua muhaya
 
Ushuru wa gari ndo unaleta hasira sana bei ya gari 40m kodi wanataka 50m
Ushuru wa gari mi huwa nishajiwekea ni 110% ya CIF price. We ukiona gari ni dollar 5000 basi andaa dollar 5500 zingine kwa ajili ya kodi. Ndio mfumo wa kodi wa nchi yetu ulivyo.

Sishangai kuona mtu anaagiza gari analitengenezea IT documents kisha analirudisha bongo. Ni upuuzi mno yani ukifatilia huo mfumo wa kodi wa kibongo.

Halafu hizo kodi zinazokusanywa kionevu basi zingekuwa zinafanya maendeleo yanayoonekana. Watu wanagawana tu kinyemela hela wanatia kwenye anasa za magari na mijumba ya kifahari.
 
Ushuru wa gari mi huwa nishajiwekea ni 110% ya CIF price. We ukiona gari ni dollar 5000 basi andaa dollar 5500 zingine kwa ajili ya kodi. Ndio mfumo wa kodi wa nchi yetu ulivyo.

Sishangai kuona mtu anaagiza gari analitengenezea IT documents kisha analirudisha bongo. Ni upuuzi mno yani ukifatilia huo mfumo wa kodi wa kibongo.

Halafu hizo kodi zinazokusanywa kionevu basi zingekuwa zinafanya maendeleo yanayoonekana. Watu wanagawana tu kinyemela hela wanatia kwenye anasa za magari na mijumba ya kifahari.
watu wanavokwepa kodi tusiwalaumu, yani bandarini kuna hadi%inaenda kujenga reli inamaana mikopo wanayokopea ujenzi wa reli inaenda wapi ipo siku wataweka na % ya kupeleka tanesco
 
Bila wafanyabiashara wote kuingizwa kwenye mfumo wa kodi,watu wataendelea lipa kodi tu
 
watu wanavokwepa kodi tusiwalaumu, yani bandarini kuna %inaenda kujenga reli inamaana mikopo wanayokopea ujenzi wa reli inaenda wapi ipo siku wataweka na % ya kupeleka tanesco
Hahahahahah yani Bongo tunapigwa left n right
 
Cheki sasa watanzania mtu unawapa elimu ya bure hata Shukran hawana.

Halafu kesho wanatandikwa.

Ama kweli kuna watu awabebeki

Haya goodluck if you think VAT is supposed to be carried over without being claimed.

Tatizo lenu kubwa ni ignorance

[emoji112]
Ha ha ha .....
Uko serious kanisa Yaani T.R.A wakucharge V.A.T afu urudi tra kuwadai wakurudishie hiyo vat yako[emoji23]

UNAZUNGUMZIA NCHI HII AU BURUNDI[emoji1787]
 
Umeongea mengi ila hujatusaidia! Jaribu kuwa problem solver siyo problem creator
Ameongea kinadharia zaidi,

Yaan serikali ichukue Kodi Yao,
Afu eti sheria inakuruhusu urudi kuwadai TRA Kodi yako.

Ha ha ha...utakua ujipendi Wewe[emoji23]
 
inamaana mzigo ukifika bandarini unapigwa VAT, Ukiingia kkoo whole saler anapigwa VAT kwenye faida yake tu nyingine anaweza kuiclaim, na mzigo Ukiingia mtaani retailer naye anapigwa VAT kwenye faida yake tu... nyingine anaweza pia kuiclaim
mwisho anayetakiwa kulipa VAT zote ni Mtumiaji wa Mwisho
Kwaiyo ukiclaim T.R.A wachukue pesa wakurudishie. Ha ha ha....unachekesha[emoji1787]
 
sheria ya vat tuliambiwa anyelipa kodi hii ni mlaji wa mwisho yaani mtumiaji hao wengine wote ni wakusanyaji
Nowdays haiko hivyo,
Mi nauza JUMLA na rejareja bado v.a.t nalipa kote kote, sahv wamesema Hadi waagizaji nao uko uko bandarini v.a.t inachukuliwa
 
Serikali ijitahidi ifufue viwanda baadhi ya bidhaa zianze kupatikana tu hapa nchini aisee
Sasa kama nguo tu kodi namna hio si balaa yaani hata kuvaa nguo iwe anasa 😃
 
Back
Top Bottom