Mnaotaka kushusha heshima ya Daktari hamtaweza

Si wagome waongezewe maslahi au waende huko Botswana na Canada, kuliko kupiga kelele kila siku.
 
daktari kwa njia anayopitia mtu hadi kuwa daktari sidhani kama ni busara kumjadili mtu anayebargain na Mungu kwa niaba ya mgonjwa.Anatomy peke yake inatosha kuwa ni degree kwa field zingine
Too overrated.
 
Waambie hao khaa si watumie hata jina nesi pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…