second9
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 216
- 451
Habarini wana jamvi,
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.
Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was easy.
Ila sasa tangu nimeoa hali nitofauti siende Bar, clubsna chakula nikila restaurants ni mchana nikiwa kazini. Sasa hapa najikuta nikiwa safarini ndo nafanya timing nazo ni through mitandao tu kama tinder.
Miezi kadhaa iliyopita nikakutana na msichana mrembo sana yaani ile kazi ya kwenda kabisa nikiwa nasubiri daladala maeneo ya Kigamboni, siku ya kwanza ikapita sikusema chochote 😀.
Kesho yake ile natoka getini around saa 12 alfajiri nikakutana naye face to face na yeye anaelekea kazini daah nikaishia kusalimia tu, bahati nzuri kwenye daladala tukakaa seat moja ila nikajifanya kidume nikakaza sikuongea kitu kumbe ndo udomo zege, tukafika ferry dada card ya kuvuka haina hela nikamlipia akashukuru akaenda zake.
Wiki illiyofata yote nikaamua kutoka na gari ili nimpe lift may be tukiwa wawili kwenye gari nitafanya kitu. Aisee ile wiki yote sikukutana naye nikabahatika siku ya moja tu ile nafika stand nimpe lift na yeye hajajua ni mimi akapanda daladala maana nilifika pale na hiace inafika.
Wiki mbili zilizopita ndo mwisho wa kuonana naye tena nlikutana naye ferry tumeshuka tu kwenye pantoni demu alikuwa mbele yangu ile nimuwahi akapanda gari za Tegeta akapata seat ya dirishani na yeye kama aliniona ile nafika pale akanipungia kwa tabasamu zuri na mimi nkachukua zangu bajaji niwahi job Upanga kumbe ndo imetoka hiyo.
UDOMO ZEGE TABU SANAAAAA 🤠🤠
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.
Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was easy.
Ila sasa tangu nimeoa hali nitofauti siende Bar, clubsna chakula nikila restaurants ni mchana nikiwa kazini. Sasa hapa najikuta nikiwa safarini ndo nafanya timing nazo ni through mitandao tu kama tinder.
Miezi kadhaa iliyopita nikakutana na msichana mrembo sana yaani ile kazi ya kwenda kabisa nikiwa nasubiri daladala maeneo ya Kigamboni, siku ya kwanza ikapita sikusema chochote 😀.
Kesho yake ile natoka getini around saa 12 alfajiri nikakutana naye face to face na yeye anaelekea kazini daah nikaishia kusalimia tu, bahati nzuri kwenye daladala tukakaa seat moja ila nikajifanya kidume nikakaza sikuongea kitu kumbe ndo udomo zege, tukafika ferry dada card ya kuvuka haina hela nikamlipia akashukuru akaenda zake.
Wiki illiyofata yote nikaamua kutoka na gari ili nimpe lift may be tukiwa wawili kwenye gari nitafanya kitu. Aisee ile wiki yote sikukutana naye nikabahatika siku ya moja tu ile nafika stand nimpe lift na yeye hajajua ni mimi akapanda daladala maana nilifika pale na hiace inafika.
Wiki mbili zilizopita ndo mwisho wa kuonana naye tena nlikutana naye ferry tumeshuka tu kwenye pantoni demu alikuwa mbele yangu ile nimuwahi akapanda gari za Tegeta akapata seat ya dirishani na yeye kama aliniona ile nafika pale akanipungia kwa tabasamu zuri na mimi nkachukua zangu bajaji niwahi job Upanga kumbe ndo imetoka hiyo.
UDOMO ZEGE TABU SANAAAAA 🤠🤠