Mnaotongoza msichana siku ya kwanza tu mnawezaje?

Mnaotongoza msichana siku ya kwanza tu mnawezaje?

second9

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
216
Reaction score
451
Habarini wana jamvi,
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.

Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was easy.

Ila sasa tangu nimeoa hali nitofauti siende Bar, clubsna chakula nikila restaurants ni mchana nikiwa kazini. Sasa hapa najikuta nikiwa safarini ndo nafanya timing nazo ni through mitandao tu kama tinder.

Miezi kadhaa iliyopita nikakutana na msichana mrembo sana yaani ile kazi ya kwenda kabisa nikiwa nasubiri daladala maeneo ya Kigamboni, siku ya kwanza ikapita sikusema chochote 😀.

Kesho yake ile natoka getini around saa 12 alfajiri nikakutana naye face to face na yeye anaelekea kazini daah nikaishia kusalimia tu, bahati nzuri kwenye daladala tukakaa seat moja ila nikajifanya kidume nikakaza sikuongea kitu kumbe ndo udomo zege, tukafika ferry dada card ya kuvuka haina hela nikamlipia akashukuru akaenda zake.

Wiki illiyofata yote nikaamua kutoka na gari ili nimpe lift may be tukiwa wawili kwenye gari nitafanya kitu. Aisee ile wiki yote sikukutana naye nikabahatika siku ya moja tu ile nafika stand nimpe lift na yeye hajajua ni mimi akapanda daladala maana nilifika pale na hiace inafika.

Wiki mbili zilizopita ndo mwisho wa kuonana naye tena nlikutana naye ferry tumeshuka tu kwenye pantoni demu alikuwa mbele yangu ile nimuwahi akapanda gari za Tegeta akapata seat ya dirishani na yeye kama aliniona ile nafika pale akanipungia kwa tabasamu zuri na mimi nkachukua zangu bajaji niwahi job Upanga kumbe ndo imetoka hiyo.

UDOMO ZEGE TABU SANAAAAA 🤠🤠
 
Tulia na mkeo usije ukamletea maradhi,
Kama humpendi Mkeo,mpe talaka ili umuowe huyo unaekutana nae barabarani coz inaonekana mkeo hakufai,
Kua makini sana usije ukaharibu life lako kwa starehe ya madakika tu,

Umri huo ni wa kujenga future ya familia yako sio wa kukimbizana na wanawake wa barabarani,


Nimetoa ushauri tu,

The rest it's up to you.
 
Tulia na mkeo usije ukamletea maradhi,
Kama humpendi Mkeo,mpe talaka ili umuowe huyo unaekutana nae barabarani coz inaonekana mkeo hakufai,
Kua makini sana usije ukaharibu life lako kwa starehe ya madakika tu,

Umri huo ni wa kujenga future ya familia yako sio wa kukimbizana na wanawake wa barabarani,


Nimetoa ushauri tu,

The rest it's up to you.
Daah huu ushauri hapa hadi miguu imetetemeka, kweli JF inawakuu. Asante ndugu yangu yaani mtu yeyote akitaka kuchepuka akasoma hapa anaacha mara moja.
 
Tulia na mkeo usije ukamletea maradhi,
Kama humpendi Mkeo,mpe talaka ili umuowe huyo unaekutana nae barabarani coz inaonekana mkeo hakufai,
Kua makini sana usije ukaharibu life lako kwa starehe ya madakika tu,

Umri huo ni wa kujenga future ya familia yako sio wa kukimbizana na wanawake wa barabarani,


Nimetoa ushauri tu,

The rest it's up to you.
Mkuu,
Naunga mkono hoja.
Ila umekua straight to the point 👉 Tena hujaremba muandiko.
Inaonyesha wewe ni mtu wa maadili Sanaa.
 
Tulia na mkeo usije ukamletea maradhi,
Kama humpendi Mkeo,mpe talaka ili umuowe huyo unaekutana nae barabarani coz inaonekana mkeo hakufai,
Kua makini sana usije ukaharibu life lako kwa starehe ya madakika tu,

Umri huo ni wa kujenga future ya familia yako sio wa kukimbizana na wanawake wa barabarani,


Nimetoa ushauri tu,

The rest it's up to you.
Punguza ushauri, watu wana mipango yao.
Kwa akili yako unafikiri mtu mzima wa miaka 30+ hayajui haya?
 
Habarini wana jamvi,
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.

Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was easy.

Ila sasa tangu nimeoa hali nitofauti siende Bar, clubsna chakula nikila restaurants ni mchana nikiwa kazini. Sasa hapa najikuta nikiwa safarini ndo nafanya timing nazo ni through mitandao tu kama tinder.

Miezi kadhaa iliyopita nikakutana na msichana mrembo sana yaani ile kazi ya kwenda kabisa nikiwa nasubiri daladala maeneo ya Kigamboni, siku ya kwanza ikapita sikusema chochote 😀.

Kesho yake ile natoka getini around saa 12 alfajiri nikakutana naye face to face na yeye anaelekea kazini daah nikaishia kusalimia tu, bahati nzuri kwenye daladala tukakaa seat moja ila nikajifanya kidume nikakaza sikuongea kitu kumbe ndo udomo zege, tukafika ferry dada card ya kuvuka haina hela nikamlipia akashukuru akaenda zake.

Wiki illiyofata yote nikaamua kutoka na gari ili nimpe lift may be tukiwa wawili kwenye gari nitafanya kitu. Aisee ile wiki yote sikukutana naye nikabahatika siku ya moja tu ile nafika stand nimpe lift na yeye hajajua ni mimi akapanda daladala maana nilifika pale na hiace inafika.

Wiki mbili zilizopita ndo mwisho wa kuonana naye tena nlikutana naye ferry tumeshuka tu kwenye pantoni demu alikuwa mbele yangu ile nimuwahi akapanda gari za Tegeta akapata seat ya dirishani na yeye kama aliniona ile nafika pale akanipungia kwa tabasamu zuri na mimi nkachukua zangu bajaji niwahi job Upanga kumbe ndo imetoka hiyo.

UDOMO ZEGE TABU SANAAAAA 🤠🤠
Kifupi we ni zuzu sio domo zege. Tulia na mke wako.
 
Back
Top Bottom