To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🥴lakini umesema umeoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🥴lakini umesema umeoa?
Itakua kaoa ila sio kivilee.lakini umesema umeoa?
Nafikiri mleta mada alitaka kuzoea maisha tofauti kabisa besides alionayo yeyeHabarini wana jamvi,
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.
Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was easy.
Ila sasa tangu nimeoa hali nitofauti siende Bar, clubsna chakula nikila restaurants ni mchana nikiwa kazini. Sasa hapa najikuta nikiwa safarini ndo nafanya timing nazo ni through mitandao tu kama tinder.
Miezi kadhaa iliyopita nikakutana na msichana mrembo sana yaani ile kazi ya kwenda kabisa nikiwa nasubiri daladala maeneo ya Kigamboni, siku ya kwanza ikapita sikusema chochote 😀.
Kesho yake ile natoka getini around saa 12 alfajiri nikakutana naye face to face na yeye anaelekea kazini daah nikaishia kusalimia tu, bahati nzuri kwenye daladala tukakaa seat moja ila nikajifanya kidume nikakaza sikuongea kitu kumbe ndo udomo zege, tukafika ferry dada card ya kuvuka haina hela nikamlipia akashukuru akaenda zake.
Wiki illiyofata yote nikaamua kutoka na gari ili nimpe lift may be tukiwa wawili kwenye gari nitafanya kitu. Aisee ile wiki yote sikukutana naye nikabahatika siku ya moja tu ile nafika stand nimpe lift na yeye hajajua ni mimi akapanda daladala maana nilifika pale na hiace inafika.
Wiki mbili zilizopita ndo mwisho wa kuonana naye tena nlikutana naye ferry tumeshuka tu kwenye pantoni demu alikuwa mbele yangu ile nimuwahi akapanda gari za Tegeta akapata seat ya dirishani na yeye kama aliniona ile nafika pale akanipungia kwa tabasamu zuri na mimi nkachukua zangu bajaji niwahi job Upanga kumbe ndo imetoka hiyo.
UDOMO ZEGE TABU SANAAAAA 🤠🤠
Kuna ukweli kwa baadhi ya watu ila sio woteukimpenda mtu ni ngumu kumtongoza.
Umenigusa Sana nilikua nipo kwenye harakat za ku search side chick maana wife yupo kwenye ulezi siunajua wanaume Tena all in all sijawai saliti ndoa yangu Mimi ni mtulivu SANAA.By default tu hata wewe mkuu hapa ushauri wake utakuwa umekugusa kimoyo moyo 😂😂😂😂
Nakubaliana na wewe asilimia mia moja. Familia bora ndio msingi wa jamii, kuvunjika kwake inayumbisha zaidi watoto kuliko wazazi wenyewe na miaka kadhaa mbele tunapata kizazi ambacho hawaoni umuhimu wa msingi huo.Taifa hujengwa kuanzia ngazi ya familia,
Sasa kama familia zitavurugika tutakua na taifa la watu wa aina gani?
Mkewe akijua inaweza kupelekea mpaka akadai talaka,huoni kua watoto ndio watakao pata tabu?
Taifa bora hujengwa na familia bora,so familia yake ikivurugika,sio hasara kwake tu bali ni kwa taifa,so kumshauri mtu kama huyu sio mbaya,
The purpose of human life is to serve and to show compassion and the will to help others,the greatness of humanity is not being human,but being humane.
Hivi hii kauli ikigeuzwa ikaja kwako utaipokea kweli 😀, kwamba wife acheat aseme anakupenda na kuku heshimu, ni tamaa tu za mwili ?Yes, ila kuna wakati tamaa za mwili zinazidi. Japo nampenda na kumuheshimu sana wife
igweeee,aisee ni kuwasha location tu kazi imeisha.Kweli mwanawane sie madomo zege tushukuru waliotengeneza mig33 badoo tinder na tiktok maana wameturahisishia mambo. Lah sivyo mbususu tungekuewa twazijulia kwa picha tuu
Hapa pazito kwakweli ila tatizo ni ngumu mno kuishi bila kutoka hata mara moja tangu unaoa hadi unazeeka hii sidhani kama kuna mtu anaiweza ila nitajaribu.Hivi hii kauli ikigeuzwa ikaja kwako utaipokea kweli 😀, kwamba wife acheat aseme anakupenda na kuku heshimu, ni tamaa tu za mwili ?
Something iko wrong kwa hizi marriage
Point zote kwa KATAA NDOA.lakini umesema umeoa?