Mnaotongoza msichana siku ya kwanza tu mnawezaje?

Mnaotongoza msichana siku ya kwanza tu mnawezaje?

Punguza ushauri, watu wana mipango yao.
Kwa akili yako unafikiri mtu mzima wa miaka 30+ hayajui haya?
Uzuri niliyemshauri ameelewa ushauri wangu,msome comment yake #8

Halafu ungekua makini ungeelewa nilichokiandika baada ya ushauri wangu,nimeandika "Nimetoa ushauri tu,the rest it's up to you''

Ushauri wangu ni kwa wenye akili ya uelewa sio kwa watu kama wewe.
 
Habarini wana jamvi,
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.

Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was easy.

Ila sasa tangu nimeoa hali nitofauti siende Bar, clubsna chakula nikila restaurants ni mchana nikiwa kazini. Sasa hapa najikuta nikiwa safarini ndo nafanya timing nazo ni through mitandao tu kama tinder.

Miezi kadhaa iliyopita nikakutana na msichana mrembo sana yaani ile kazi ya kwenda kabisa nikiwa nasubiri daladala maeneo ya Kigamboni, siku ya kwanza ikapita sikusema chochote 😀.

Kesho yake ile natoka getini around saa 12 alfajiri nikakutana naye face to face na yeye anaelekea kazini daah nikaishia kusalimia tu, bahati nzuri kwenye daladala tukakaa seat moja ila nikajifanya kidume nikakaza sikuongea kitu kumbe ndo udomo zege, tukafika ferry dada card ya kuvuka haina hela nikamlipia akashukuru akaenda zake.

Wiki illiyofata yote nikaamua kutoka na gari ili nimpe lift may be tukiwa wawili kwenye gari nitafanya kitu. Aisee ile wiki yote sikukutana naye nikabahatika siku ya moja tu ile nafika stand nimpe lift na yeye hajajua ni mimi akapanda daladala maana nilifika pale na hiace inafika.

Wiki mbili zilizopita ndo mwisho wa kuonana naye tena nlikutana naye ferry tumeshuka tu kwenye pantoni demu alikuwa mbele yangu ile nimuwahi akapanda gari za Tegeta akapata seat ya dirishani na yeye kama aliniona ile nafika pale akanipungia kwa tabasamu zuri na mimi nkachukua zangu bajaji niwahi job Upanga kumbe ndo imetoka hiyo.

UDOMO ZEGE TABU SANAAAAA 🤠🤠
Kweli mwanawane sie madomo zege tushukuru waliotengeneza mig33 badoo tinder na tiktok maana wameturahisishia mambo. Lah sivyo mbususu tungekuewa twazijulia kwa picha tuu
 
Aruke tu atakavyo sio shida zetu. Finali uzeeni mzeebaba, wababa wengi mnalia peke yenu na kuona wake na watoto wenu wakatili 😎
Taifa hujengwa kuanzia ngazi ya familia,
Sasa kama familia zitavurugika tutakua na taifa la watu wa aina gani?
Mkewe akijua inaweza kupelekea mpaka akadai talaka,huoni kua watoto ndio watakao pata tabu?

Taifa bora hujengwa na familia bora,so familia yake ikivurugika,sio hasara kwake tu bali ni kwa taifa,so kumshauri mtu kama huyu sio mbaya,

The purpose of human life is to serve and to show compassion and the will to help others,the greatness of humanity is not being human,but being humane.
 
Habarini wana jamvi,
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.

Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was easy.

Ila sasa tangu nimeoa hali nitofauti siende Bar, clubsna chakula nikila restaurants ni mchana nikiwa kazini. Sasa hapa najikuta nikiwa safarini ndo nafanya timing nazo ni through mitandao tu kama tinder.

Miezi kadhaa iliyopita nikakutana na msichana mrembo sana yaani ile kazi ya kwenda kabisa nikiwa nasubiri daladala maeneo ya Kigamboni, siku ya kwanza ikapita sikusema chochote 😀.

Kesho yake ile natoka getini around saa 12 alfajiri nikakutana naye face to face na yeye anaelekea kazini daah nikaishia kusalimia tu, bahati nzuri kwenye daladala tukakaa seat moja ila nikajifanya kidume nikakaza sikuongea kitu kumbe ndo udomo zege, tukafika ferry dada card ya kuvuka haina hela nikamlipia akashukuru akaenda zake.

Wiki illiyofata yote nikaamua kutoka na gari ili nimpe lift may be tukiwa wawili kwenye gari nitafanya kitu. Aisee ile wiki yote sikukutana naye nikabahatika siku ya moja tu ile nafika stand nimpe lift na yeye hajajua ni mimi akapanda daladala maana nilifika pale na hiace inafika.

Wiki mbili zilizopita ndo mwisho wa kuonana naye tena nlikutana naye ferry tumeshuka tu kwenye pantoni demu alikuwa mbele yangu ile nimuwahi akapanda gari za Tegeta akapata seat ya dirishani na yeye kama aliniona ile nafika pale akanipungia kwa tabasamu zuri na mimi nkachukua zangu bajaji niwahi job Upanga kumbe ndo imetoka hiyo.

UDOMO ZEGE TABU SANAAAAA 🤠🤠
hivi siku hizi aya mambo ya kutongozana bado yapo
 
Habarini wana jamvi,
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.

Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was easy.

Ila sasa tangu nimeoa hali nitofauti siende Bar, clubsna chakula nikila restaurants ni mchana nikiwa kazini. Sasa hapa najikuta nikiwa safarini ndo nafanya timing nazo ni through mitandao tu kama tinder.

Miezi kadhaa iliyopita nikakutana na msichana mrembo sana yaani ile kazi ya kwenda kabisa nikiwa nasubiri daladala maeneo ya Kigamboni, siku ya kwanza ikapita sikusema chochote 😀.

Kesho yake ile natoka getini around saa 12 alfajiri nikakutana naye face to face na yeye anaelekea kazini daah nikaishia kusalimia tu, bahati nzuri kwenye daladala tukakaa seat moja ila nikajifanya kidume nikakaza sikuongea kitu kumbe ndo udomo zege, tukafika ferry dada card ya kuvuka haina hela nikamlipia akashukuru akaenda zake.

Wiki illiyofata yote nikaamua kutoka na gari ili nimpe lift may be tukiwa wawili kwenye gari nitafanya kitu. Aisee ile wiki yote sikukutana naye nikabahatika siku ya moja tu ile nafika stand nimpe lift na yeye hajajua ni mimi akapanda daladala maana nilifika pale na hiace inafika.

Wiki mbili zilizopita ndo mwisho wa kuonana naye tena nlikutana naye ferry tumeshuka tu kwenye pantoni demu alikuwa mbele yangu ile nimuwahi akapanda gari za Tegeta akapata seat ya dirishani na yeye kama aliniona ile nafika pale akanipungia kwa tabasamu zuri na mimi nkachukua zangu bajaji niwahi job Upanga kumbe ndo imetoka hiyo.

UDOMO ZEGE TABU SANAAAAA 🤠🤠
Siku hizi kila kitu kimerahisishwa na hizi Bongo flavour! Ukikutana nae 1. Salamu 2. Moja kwa moja kwenye mada 3. Mnakutana wapi. Imetoka hiyo!!
 
Mara ya kwanza ukiwa unasubiri dalala kutokumwambia chochote ni sawa✔️
Mara ya pili kukutana nae getini na kuishia kumsalimia ni sawa✔️
Mara ya tatu kukaa nae siti moja kwenye daladala na kuleta udomo zege si sawa✖️

Kukutana tu na demu siku ya kwanza na kuanza kumtongoza hilo ni wenge ni ishara ya tamaa usi behave kama vile muwindaji, unaweza kumtongoza demu siku ya kwanza kutokana appearance yake au namna yake ya uongeaji kuna demu akiongea tu unajua huyu ni mapepe hao ndo unaweza kutongoza siku hiyo hiyo ila wale watulivu ni mchakato kidogo
 
Habarini wana jamvi,
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.

Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was easy.

Ila sasa tangu nimeoa hali nitofauti siende Bar, clubsna chakula nikila restaurants ni mchana nikiwa kazini. Sasa hapa najikuta nikiwa safarini ndo nafanya timing nazo ni through mitandao tu kama tinder.

Miezi kadhaa iliyopita nikakutana na msichana mrembo sana yaani ile kazi ya kwenda kabisa nikiwa nasubiri daladala maeneo ya Kigamboni, siku ya kwanza ikapita sikusema chochote 😀.

Kesho yake ile natoka getini around saa 12 alfajiri nikakutana naye face to face na yeye anaelekea kazini daah nikaishia kusalimia tu, bahati nzuri kwenye daladala tukakaa seat moja ila nikajifanya kidume nikakaza sikuongea kitu kumbe ndo udomo zege, tukafika ferry dada card ya kuvuka haina hela nikamlipia akashukuru akaenda zake.

Wiki illiyofata yote nikaamua kutoka na gari ili nimpe lift may be tukiwa wawili kwenye gari nitafanya kitu. Aisee ile wiki yote sikukutana naye nikabahatika siku ya moja tu ile nafika stand nimpe lift na yeye hajajua ni mimi akapanda daladala maana nilifika pale na hiace inafika.

Wiki mbili zilizopita ndo mwisho wa kuonana naye tena nlikutana naye ferry tumeshuka tu kwenye pantoni demu alikuwa mbele yangu ile nimuwahi akapanda gari za Tegeta akapata seat ya dirishani na yeye kama aliniona ile nafika pale akanipungia kwa tabasamu zuri na mimi nkachukua zangu bajaji niwahi job Upanga kumbe ndo imetoka hiyo.

UDOMO ZEGE TABU SANAAAAA 🤠🤠
Lakini acha kutuzingua! Ulipataje mke, au uliletewa kama parcel ya zawadi na kuambiwa uishi nae!!
 
Mara ya kwanza ukiwa unasubiri dalala kutokumwambia chochote ni sawa✔️
Mara ya pili kukutana nae getini na kuishia kumsalimia ni sawa✔️
Mara ya tatu kukaa nae siti moja kwenye daladala na kuleta udomo zege si sawa✖️

Kukutana tu na demu siku ya kwanza na kuanza kumtongoza hilo ni wenge ni ishara ya tamaa usi behave kama vile muwindaji, unaweza kumtongoza demu siku ya kwanza kutokana appearance yake au namna yake ya uongeaji kuna demu akiongea tu unajua huyu ni mapepe hao ndo unaweza kutongoza siku hiyo hiyo ila wale watulivu ni mchakato kidogo
Okay hapa naona kulikuwa na kitu cha kujifunza japo kuna ushauri hapo juu uko konki mzee hadi nawaza sana kuhusu kuchepuka.
 
Back
Top Bottom