The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Uzuri niliyemshauri ameelewa ushauri wangu,msome comment yake #8Punguza ushauri, watu wana mipango yao.
Kwa akili yako unafikiri mtu mzima wa miaka 30+ hayajui haya?
Kweli mwanawane sie madomo zege tushukuru waliotengeneza mig33 badoo tinder na tiktok maana wameturahisishia mambo. Lah sivyo mbususu tungekuewa twazijulia kwa picha tuuHabarini wana jamvi,
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.
Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was easy.
Ila sasa tangu nimeoa hali nitofauti siende Bar, clubsna chakula nikila restaurants ni mchana nikiwa kazini. Sasa hapa najikuta nikiwa safarini ndo nafanya timing nazo ni through mitandao tu kama tinder.
Miezi kadhaa iliyopita nikakutana na msichana mrembo sana yaani ile kazi ya kwenda kabisa nikiwa nasubiri daladala maeneo ya Kigamboni, siku ya kwanza ikapita sikusema chochote 😀.
Kesho yake ile natoka getini around saa 12 alfajiri nikakutana naye face to face na yeye anaelekea kazini daah nikaishia kusalimia tu, bahati nzuri kwenye daladala tukakaa seat moja ila nikajifanya kidume nikakaza sikuongea kitu kumbe ndo udomo zege, tukafika ferry dada card ya kuvuka haina hela nikamlipia akashukuru akaenda zake.
Wiki illiyofata yote nikaamua kutoka na gari ili nimpe lift may be tukiwa wawili kwenye gari nitafanya kitu. Aisee ile wiki yote sikukutana naye nikabahatika siku ya moja tu ile nafika stand nimpe lift na yeye hajajua ni mimi akapanda daladala maana nilifika pale na hiace inafika.
Wiki mbili zilizopita ndo mwisho wa kuonana naye tena nlikutana naye ferry tumeshuka tu kwenye pantoni demu alikuwa mbele yangu ile nimuwahi akapanda gari za Tegeta akapata seat ya dirishani na yeye kama aliniona ile nafika pale akanipungia kwa tabasamu zuri na mimi nkachukua zangu bajaji niwahi job Upanga kumbe ndo imetoka hiyo.
UDOMO ZEGE TABU SANAAAAA 🤠🤠
Taifa hujengwa kuanzia ngazi ya familia,Aruke tu atakavyo sio shida zetu. Finali uzeeni mzeebaba, wababa wengi mnalia peke yenu na kuona wake na watoto wenu wakatili 😎
😂😂😂mfundisheni mwenzenu
hivi siku hizi aya mambo ya kutongozana bado yapoHabarini wana jamvi,
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.
Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was easy.
Ila sasa tangu nimeoa hali nitofauti siende Bar, clubsna chakula nikila restaurants ni mchana nikiwa kazini. Sasa hapa najikuta nikiwa safarini ndo nafanya timing nazo ni through mitandao tu kama tinder.
Miezi kadhaa iliyopita nikakutana na msichana mrembo sana yaani ile kazi ya kwenda kabisa nikiwa nasubiri daladala maeneo ya Kigamboni, siku ya kwanza ikapita sikusema chochote 😀.
Kesho yake ile natoka getini around saa 12 alfajiri nikakutana naye face to face na yeye anaelekea kazini daah nikaishia kusalimia tu, bahati nzuri kwenye daladala tukakaa seat moja ila nikajifanya kidume nikakaza sikuongea kitu kumbe ndo udomo zege, tukafika ferry dada card ya kuvuka haina hela nikamlipia akashukuru akaenda zake.
Wiki illiyofata yote nikaamua kutoka na gari ili nimpe lift may be tukiwa wawili kwenye gari nitafanya kitu. Aisee ile wiki yote sikukutana naye nikabahatika siku ya moja tu ile nafika stand nimpe lift na yeye hajajua ni mimi akapanda daladala maana nilifika pale na hiace inafika.
Wiki mbili zilizopita ndo mwisho wa kuonana naye tena nlikutana naye ferry tumeshuka tu kwenye pantoni demu alikuwa mbele yangu ile nimuwahi akapanda gari za Tegeta akapata seat ya dirishani na yeye kama aliniona ile nafika pale akanipungia kwa tabasamu zuri na mimi nkachukua zangu bajaji niwahi job Upanga kumbe ndo imetoka hiyo.
UDOMO ZEGE TABU SANAAAAA 🤠🤠
hajui siku hizi mpira unakimbiza mchezajihivi siku hizi aya mambo ya kutongozana bado yapo
Siku hizi kila kitu kimerahisishwa na hizi Bongo flavour! Ukikutana nae 1. Salamu 2. Moja kwa moja kwenye mada 3. Mnakutana wapi. Imetoka hiyo!!Habarini wana jamvi,
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.
Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was easy.
Ila sasa tangu nimeoa hali nitofauti siende Bar, clubsna chakula nikila restaurants ni mchana nikiwa kazini. Sasa hapa najikuta nikiwa safarini ndo nafanya timing nazo ni through mitandao tu kama tinder.
Miezi kadhaa iliyopita nikakutana na msichana mrembo sana yaani ile kazi ya kwenda kabisa nikiwa nasubiri daladala maeneo ya Kigamboni, siku ya kwanza ikapita sikusema chochote 😀.
Kesho yake ile natoka getini around saa 12 alfajiri nikakutana naye face to face na yeye anaelekea kazini daah nikaishia kusalimia tu, bahati nzuri kwenye daladala tukakaa seat moja ila nikajifanya kidume nikakaza sikuongea kitu kumbe ndo udomo zege, tukafika ferry dada card ya kuvuka haina hela nikamlipia akashukuru akaenda zake.
Wiki illiyofata yote nikaamua kutoka na gari ili nimpe lift may be tukiwa wawili kwenye gari nitafanya kitu. Aisee ile wiki yote sikukutana naye nikabahatika siku ya moja tu ile nafika stand nimpe lift na yeye hajajua ni mimi akapanda daladala maana nilifika pale na hiace inafika.
Wiki mbili zilizopita ndo mwisho wa kuonana naye tena nlikutana naye ferry tumeshuka tu kwenye pantoni demu alikuwa mbele yangu ile nimuwahi akapanda gari za Tegeta akapata seat ya dirishani na yeye kama aliniona ile nafika pale akanipungia kwa tabasamu zuri na mimi nkachukua zangu bajaji niwahi job Upanga kumbe ndo imetoka hiyo.
UDOMO ZEGE TABU SANAAAAA 🤠🤠
Umeona wapi mtu akienda dukani kununua nguo bila kuvaa nguo?!!lakini umesema umeoa?
Hata asiporuka haibadilishi chochote.Aruke tu atakavyo sio shida zetu. Finali uzeeni mzeebaba, wababa wengi mnalia peke yenu na kuona wake na watoto wenu wakatili 😎
Sawa baba ushauri.Uzuri niliyemshauri ameelewa ushauri wangu,msome comment yake #8
Halafu ungekua makini ungeelewa nilichokiandika baada ya ushauri wangu,nimeandika "Nimetoa ushauri tu,the rest it's up to you''
Ushauri wangu ni kwa wenye akili ya uelewa sio kwa watu kama wewe.
hajui aseeeehajui siku hizi mpira unakimbiza mchezaji
JamiiForums ni Shule,ni sehemu ya watu kutoa ushauri,ni sehemu ya watu kuleta matatizo yao ili washauriwe,JamiiForums where we dare To Talk Openly,Sawa baba ushauri.
Lakini acha kutuzingua! Ulipataje mke, au uliletewa kama parcel ya zawadi na kuambiwa uishi nae!!Habarini wana jamvi,
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.
Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was easy.
Ila sasa tangu nimeoa hali nitofauti siende Bar, clubsna chakula nikila restaurants ni mchana nikiwa kazini. Sasa hapa najikuta nikiwa safarini ndo nafanya timing nazo ni through mitandao tu kama tinder.
Miezi kadhaa iliyopita nikakutana na msichana mrembo sana yaani ile kazi ya kwenda kabisa nikiwa nasubiri daladala maeneo ya Kigamboni, siku ya kwanza ikapita sikusema chochote 😀.
Kesho yake ile natoka getini around saa 12 alfajiri nikakutana naye face to face na yeye anaelekea kazini daah nikaishia kusalimia tu, bahati nzuri kwenye daladala tukakaa seat moja ila nikajifanya kidume nikakaza sikuongea kitu kumbe ndo udomo zege, tukafika ferry dada card ya kuvuka haina hela nikamlipia akashukuru akaenda zake.
Wiki illiyofata yote nikaamua kutoka na gari ili nimpe lift may be tukiwa wawili kwenye gari nitafanya kitu. Aisee ile wiki yote sikukutana naye nikabahatika siku ya moja tu ile nafika stand nimpe lift na yeye hajajua ni mimi akapanda daladala maana nilifika pale na hiace inafika.
Wiki mbili zilizopita ndo mwisho wa kuonana naye tena nlikutana naye ferry tumeshuka tu kwenye pantoni demu alikuwa mbele yangu ile nimuwahi akapanda gari za Tegeta akapata seat ya dirishani na yeye kama aliniona ile nafika pale akanipungia kwa tabasamu zuri na mimi nkachukua zangu bajaji niwahi job Upanga kumbe ndo imetoka hiyo.
UDOMO ZEGE TABU SANAAAAA 🤠🤠
kutongoza hata sio gharama, atafute tu wa size yakeataishia kufilisika tu...😊
Hahahaha 😀😀 wife nilipata enzi hizo nikiwa Tutor kwenye chuo fulani, na yeye alikuwa best friend tu sijui hata ikawaje tukazama kwenye mahaba by default back in 2014.Lakini acha kutuzingua! Ulipataje mke, au uliletewa kama parcel ya zawadi na kuambiwa uishi nae!!
Okay hapa naona kulikuwa na kitu cha kujifunza japo kuna ushauri hapo juu uko konki mzee hadi nawaza sana kuhusu kuchepuka.Mara ya kwanza ukiwa unasubiri dalala kutokumwambia chochote ni sawa✔️
Mara ya pili kukutana nae getini na kuishia kumsalimia ni sawa✔️
Mara ya tatu kukaa nae siti moja kwenye daladala na kuleta udomo zege si sawa✖️
Kukutana tu na demu siku ya kwanza na kuanza kumtongoza hilo ni wenge ni ishara ya tamaa usi behave kama vile muwindaji, unaweza kumtongoza demu siku ya kwanza kutokana appearance yake au namna yake ya uongeaji kuna demu akiongea tu unajua huyu ni mapepe hao ndo unaweza kutongoza siku hiyo hiyo ila wale watulivu ni mchakato kidogo