Mnaotuletea habari za Simba na Yanga humu kila uchao mnamatatizo

Mnaotuletea habari za Simba na Yanga humu kila uchao mnamatatizo

Mimi Kwa mara ya Kwanza naingia huku nlikuwa najua watakuwa wanajadiliana Ligi za maana,Timu za maana kumbe ni Simba na Yanga utazani watoto wa nursery

Sijui GENTAMYCINE ataniambia nini na Simba yake
Mimi pamoja na Simba SC yangu cha Kukuambia tu ni kwamba uache Upan'gang'a ( Upumbavu ) na kwamba jitahidi sana uwahi Hospitali za Wagonjwa wa Akili za Mirembe ( Dodoma ) na Lutindi Korogwe ( Tanga ) ukaanze Matibabu yako ya Ugonjwa wa Akili ulionao na Unafiki uliokukomaa hadi katika Kope zako za Macho.
 
Mimi pamoja na Simba SC yangu cha Kukuambia tu ni kwamba uache Upan'gang'a ( Upumbavu ) na kwamba jitahidi sana uwahi Hospitali za Wagonjwa wa Akili za Mirembe ( Dodoma ) na Lutindi Korogwe ( Tanga ) ukaanze Matibabu yako ya Ugonjwa wa Akili ulionao na Unafiki uliokukomaa hadi katika Kope zako za Macho.
Wewe Lima na kuvuta bangi lenu la Jamaica Huna Msaada nchini Tanzania
 
Nipo kwenye Banda umiza nashangaa Sana vijana kujazana hivi, yaani akili zipo kwenye mipira tuu
 
Back
Top Bottom