Umkonto umsizwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2023
- 454
- 949
Karibu cammon series hutojuta
Mimi natumia common 15 toka 2019 alafu bado sana
Mimi natumia common 15 toka 2019 alafu bado sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetumia sana tecno ila si kwa ubaya huo alio toa mtoa mada,ni simu nzuri kulingana na kipato chako na uhitaji pia.Camon 19 sasa imetoka camon 20 Tusio na makuu simu zetu tecno
kama umaskini ni kutumia tecno basi mimi ni kapuku namba 1 JF hii
Hata Tecno nzuri zipo piaNimetumia sana tecno ila si kwa ubaya huo alio toa mtoa mada,ni simu nzuri kulingana na kipato chako na uhitaji pia.
Reuben Challe Tecno nzuri ni kama zipi?Hata Tecno nzuri zipo pia
spark 10c. macho matatu. Iko vzr kwa kweliReuben Challe Tecno nzuri ni kama zipi?
Naikubali sana Ina storage ya kutosha na ni jiwe la uhakika kwenye chaji..aise Mimi natumia zaidi ya siku mbili-tatu bila kuchaj kabisa...bila kuzima dataspark 10c. macho matatu. Iko vzr kwa kweli
Tatizo ni yy mwenyewe na ubahiri wake we unanunua tecno ya laki na nusu dukani au kwamtu elf60 unategemea nini?? Siku nunua tecno angalau ya kuanzia laki3 kuendelea we Simu ina ram mb 500 hata gb1 au 2 hata 3 haijafika unategemea nini??? ina rom au internal gb8 hata 16 au 32 au 64haijafika nunua simu yenye ram kuanzia 4 na internal 64 uone mi hapa niko na camon 20 pro ina ram16 na rom256 chip ya Helio G99 fast changing ya watt33 camera mp64 kioo ni amoled ni moto wa kuotea mbali.Camon 19 sasa imetoka camon 20 Tusio na makuu simu zetu tecno
kama umaskini ni kutumia tecno basi mimi ni kapuku namba 1 JF hii