TECNO spark 3 ujue sitakaa nikakusahau kabisa maishani mwangu,ulinifanya nikailaani kabisa brand ya TECNO na wakati huo ndo ww ulikua wamoto kabisa sokoni,narudia Spark 3 umesababisha hata mtu akisifia sijui Camon 20 kuwa ni nzuri naona kama ananidanganya 😥,na kwa kipindi kile unaingia sokoni ulikua na sura na umbo na muonekano matata sana,mtu akikukamata mkononi bila cover anaonekana kashika simu kali sana,kenyewe kadogo dogo,kembamba,ki portable cha ukweli ila wiki ya kwanza kabisa kukutumia ukaanza mawenge ukiwa bado piru kabisa,dah spark 3 kuba ba'ako kabisa ww