- Thread starter
- #121
Kuna mtu mmoja ametumia muda mrefu ngoja tamuuliza ni muda gani..na ni aina gani..Tatizo Tecno hazidumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu mmoja ametumia muda mrefu ngoja tamuuliza ni muda gani..na ni aina gani..Tatizo Tecno hazidumu
Ni simu au..Pop 2f
YapNi simu au..
Ram 1, chukua ikuueHahahaha jamani yeye ananiambia ni nzuri sana. Ni mpya januari juzi ye ananiuzia180000 eti.
Mkuu embu acha makasiriko.Jf watu wanajifanya wana maisha mazuri..... Ukitembea barabarani unaona watu wanachoma mahindi, wengine wanatembeza karanga but wakija huku jf wanavimba kinoma. Yaani muuza karanga nae AMESHUPAZA SHINGO "Tecno ni simu ya kithenge"
Hivi mtu inakuaje unaingia mfukoni unanunua tecno, itel, infinix, n.k unless uwe mwanafunzi au ndo smart yako ya kwanza.ni kwa sababu samsung ya miak 10 nyuma unamkuta nayo mtu bado anaitumia leo
vip tuzungumzie tecno ya miaka 10 nyum kuna unae mkuta nayo
binafsi niliwahi tumia tecno kadhaa mwaka 2013 mapa 2015
tecno P3, tecno N3 na tecno boom J8
tecno booom J8 nipo nayo apa na niliinunua 2016 lakin hapa haiwaki ikiwaka inaandika tecno bas haiendelei tena
lakin mwaka huo huo 2016 kuna mtu alinunua samsung J1 na yupo nayo mpaka leo na ina function vizuri tu
Sasa hapo utalinganisha durability ya samsung na tecno?
Infact ukiwa mtumiaj wa tecno inakubidi uwe Mtumwa wao wa kununua sim kila baad ya miaka miwili maan itakua haina ubora tena
Kwani unaumia ukiwa wapi?Hivi mtu inakuaje unaingia mfukoni unanunua tecno, itel, infinix, vivo n.k unless uwe mwanafunzi au ndo smart yako ya kwanza.
Heri Samsung ya laki mbili kuliko tecno ya laki 3 au 4.
Hadi vivo unaidiss mkuu??Hivi mtu inakuaje unaingia mfukoni unanunua tecno, itel, infinix, vivo n.k unless uwe mwanafunzi au ndo smart yako ya kwanza.
Heri Samsung ya laki mbili kuliko tecno ya laki 3 au 4.
Ata zingedumu, tecno ni uchafu. Unaanzaje kutoa simu mfukoni imeandikwa tecno bhana.Tatizo Tecno hazidumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jf watu wanajifanya wana maisha mazuri..... Ukitembea barabarani unaona watu wanachoma mahindi, wengine wanatembeza karanga but wakija huku jf wanavimba kinoma. Yaani muuza karanga nae AMESHUPAZA SHINGO "Tecno ni simu ya kithenge"
Ujinga wa waswahili utakuchosha.Tatizo lenu mnaujua ukweli ila mmekariri au hamjaelewa mada kwasababu tu mmeona mstari unaosema “kuna tecno bora kuliko Samsung”
Unaweza kukuta mtu anatumia iphone 6 lakini anaponda balaa Tecno spark go 2022......... yaani kwake brand ya Tecno ni kichefuchefu
Hapa hatulinganishi simu kwa miaka iliotoka(Samsung atashinda) hapa watu wanaongelea kwamba hakuna Tecno inayofaa kutumika wakati wanatumia Samsung za miaka ya nyuma na wanajiona bora kuliko Tecno za kisasa zilizo boreshwa
Mleta mada kaleta sifa za Tecno phantom wakati tupo mwaka 2023, ndio tukamwambia atafute hata spark za sasa ni bora kuliko midrange za zamani za sumsang....... hamtaki kabisa kusikia huu ushauri
Kwenu samsung hata miaka 10 nyuma itabaki kuwa bora kuliko Tecno yoyote ile
Kwani we inakuhusu nini? [emoji23]Ata zingedumu, tecno ni uchafu. Unaanzaje kutoa simu mfukoni imeandikwa tecno bhana.
Naona infinix umeiweka pending hii inaonyesha ndio simu unayoitumiatecno,itely hapo hakuna simu bro
Tecno gani hy mkuu inayoshinda samsungInategemea unatumia tecno gani?
Kuna tecno ni bora kuliko Samsung
Ni swala la toleo na umri wa toleo
Tafuta pesa mkuu wewe sio mtu wa kukaa na simu moja miaka 3Natumia Camon 19 haina tatizo lolote, napeta nayo na ninaipenda kuliko simu nyinginezo.
Hayo maruwe ruwe mnayoyasemankila siku huwa siyaoni.
Tafuta pesa mkuu acha ubaguziKwa wadada wapenda picha