Mnaotumia TECNO smartphone, ni aina ipi unatumia unajisikia raha ya simu?

Mnaotumia TECNO smartphone, ni aina ipi unatumia unajisikia raha ya simu?

Inategemea unatumia tecno gani?

Kuna tecno ni bora kuliko Samsung
Ni swala la toleo na umri wa toleo
Tuzolinganishe kwa matoleo yake sio ulete tecno latest afu Samsung ukute s6 ya mwaka 2007
 
Habari.

Nina mwezi wa tatu sàsa natumia tecno yaani hadi nakoma.Yaani ni stress tupu nashindwa kuizoea mara inepeleke kule mara huko nikirudi huku inanitoa nje mara iminimize yenyewe nikibonyeza huku inarudi juu..mara casa ikwame inanitizama tu kama bundi sàsa sijui tatizo ni mimi au simu yaani ni shida.

Pamoja na ungugi wangu wote wa kutumia simu hapa kwa tecno naona nimekwama yaani naona maluweluwe tupu.

Sàsa hapo ni kwenye simu tu huko kwingine kwenye mitandao nikisema nitatandae kidogo ndo kabisa inanivurumisha naona giza tupu. Sijui nianzie wapi niishie wapi nimebaki kufungua J. forum tu. Jamani kama kuna simu tecno ambayo mtu ukitumia unajisikia raha hebu nijuzeni hapa angalau nilale kidogo .maana kichwa kinauma.

Kuna mtu anaongeaga humu kuhusu hizi simu sàsa naanza kumuelewa maana nilkuwa nadharau.
Nimeandika kwa fujo maana nachoka.
Acha kuokota simu vichochoroni, nunua simu mpya. Hata hiyo Tecno ungenunua mpya usingeleta ngonjera.
 
Niko Infinix inaniletea mauza mauza ila hii ndio yangu wa mwisho kati ya jamii za akija Tecno.

Baada ya hapa mimi nahamia kwenye kwenye simu used za DUBAI hasa pixels na Samsung
 
Habari.

Nina mwezi wa tatu sàsa natumia tecno yaani hadi nakoma.Yaani ni stress tupu nashindwa kuizoea mara inepeleke kule mara huko nikirudi huku inanitoa nje mara iminimize yenyewe nikibonyeza huku inarudi juu..mara casa ikwame inanitizama tu kama bundi sàsa sijui tatizo ni mimi au simu yaani ni shida.

Pamoja na ungugi wangu wote wa kutumia simu hapa kwa tecno naona nimekwama yaani naona maluweluwe tupu.

Sàsa hapo ni kwenye simu tu huko kwingine kwenye mitandao nikisema nitatandae kidogo ndo kabisa inanivurumisha naona giza tupu. Sijui nianzie wapi niishie wapi nimebaki kufungua J. forum tu. Jamani kama kuna simu tecno ambayo mtu ukitumia unajisikia raha hebu nijuzeni hapa angalau nilale kidogo .maana kichwa kinauma.

Kuna mtu anaongeaga humu kuhusu hizi simu sàsa naanza kumuelewa maana nilkuwa nadharau.
Nimeandika kwa fujo maana nachoka.
Hiyo pesa uliyonunulia simu ya tecno bora ungenunua mbunye
 
Miliki simu kutokana na uwezo wako sio kutafuta status unakuta mtu ana miliki iphone au Samsung Galaxy S10 halafu ela ya bundle hana unakuwa I make sense Tena unakuta unamuomba mwenye Tecno ,itel au infinix eti niwashie wifi
 
Boss wangu anatumia Tecno halafu mi niamshe na Google Pixel 4😄😄😄😄

kanjibai ataniua
 
Habari.

Nina mwezi wa tatu sàsa natumia tecno yaani hadi nakoma.Yaani ni stress tupu nashindwa kuizoea mara inepeleke kule mara huko nikirudi huku inanitoa nje mara iminimize yenyewe nikibonyeza huku inarudi juu..mara casa ikwame inanitizama tu kama bundi sàsa sijui tatizo ni mimi au simu yaani ni shida.

Pamoja na ungugi wangu wote wa kutumia simu hapa kwa tecno naona nimekwama yaani naona maluweluwe tupu.

Sàsa hapo ni kwenye simu tu huko kwingine kwenye mitandao nikisema nitatandae kidogo ndo kabisa inanivurumisha naona giza tupu. Sijui nianzie wapi niishie wapi nimebaki kufungua J. forum tu. Jamani kama kuna simu tecno ambayo mtu ukitumia unajisikia raha hebu nijuzeni hapa angalau nilale kidogo .maana kichwa kinauma.

Kuna mtu anaongeaga humu kuhusu hizi simu sàsa naanza kumuelewa maana nilkuwa nadharau.
Nimeandika kwa fujo maana nachoka.
Mimi natumia Tecno spark 8 c, IPO safi tu camera safi,mtandaoni safi, chaji safi nainafanya shughuli zingine mbalimbali vizuri kabisa
 
Natumia Tecno spark 8C ipo vzr hasa upande wa camera na charge ayo mauza uza cjawai ya ona.
 
Miliki simu kutokana na uwezo wako sio kutafuta status unakuta mtu ana miliki iphone au Samsung Galaxy S10 halafu ela ya bundle hana unakuwa I make sense Tena unakuta unamuomba mwenye Tecno ,itel au infinix eti niwashie wifi
Samsung galaxy S10 kwa mwaka huu 2023 ni simu ghali kweli??
 
Back
Top Bottom