sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,208
- 2,525
Tuzolinganishe kwa matoleo yake sio ulete tecno latest afu Samsung ukute s6 ya mwaka 2007Inategemea unatumia tecno gani?
Kuna tecno ni bora kuliko Samsung
Ni swala la toleo na umri wa toleo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuzolinganishe kwa matoleo yake sio ulete tecno latest afu Samsung ukute s6 ya mwaka 2007Inategemea unatumia tecno gani?
Kuna tecno ni bora kuliko Samsung
Ni swala la toleo na umri wa toleo
Acha kuokota simu vichochoroni, nunua simu mpya. Hata hiyo Tecno ungenunua mpya usingeleta ngonjera.Habari.
Nina mwezi wa tatu sàsa natumia tecno yaani hadi nakoma.Yaani ni stress tupu nashindwa kuizoea mara inepeleke kule mara huko nikirudi huku inanitoa nje mara iminimize yenyewe nikibonyeza huku inarudi juu..mara casa ikwame inanitizama tu kama bundi sàsa sijui tatizo ni mimi au simu yaani ni shida.
Pamoja na ungugi wangu wote wa kutumia simu hapa kwa tecno naona nimekwama yaani naona maluweluwe tupu.
Sàsa hapo ni kwenye simu tu huko kwingine kwenye mitandao nikisema nitatandae kidogo ndo kabisa inanivurumisha naona giza tupu. Sijui nianzie wapi niishie wapi nimebaki kufungua J. forum tu. Jamani kama kuna simu tecno ambayo mtu ukitumia unajisikia raha hebu nijuzeni hapa angalau nilale kidogo .maana kichwa kinauma.
Kuna mtu anaongeaga humu kuhusu hizi simu sàsa naanza kumuelewa maana nilkuwa nadharau.
Nimeandika kwa fujo maana nachoka.
Hiyo pesa uliyonunulia simu ya tecno bora ungenunua mbunyeHabari.
Nina mwezi wa tatu sàsa natumia tecno yaani hadi nakoma.Yaani ni stress tupu nashindwa kuizoea mara inepeleke kule mara huko nikirudi huku inanitoa nje mara iminimize yenyewe nikibonyeza huku inarudi juu..mara casa ikwame inanitizama tu kama bundi sàsa sijui tatizo ni mimi au simu yaani ni shida.
Pamoja na ungugi wangu wote wa kutumia simu hapa kwa tecno naona nimekwama yaani naona maluweluwe tupu.
Sàsa hapo ni kwenye simu tu huko kwingine kwenye mitandao nikisema nitatandae kidogo ndo kabisa inanivurumisha naona giza tupu. Sijui nianzie wapi niishie wapi nimebaki kufungua J. forum tu. Jamani kama kuna simu tecno ambayo mtu ukitumia unajisikia raha hebu nijuzeni hapa angalau nilale kidogo .maana kichwa kinauma.
Kuna mtu anaongeaga humu kuhusu hizi simu sàsa naanza kumuelewa maana nilkuwa nadharau.
Nimeandika kwa fujo maana nachoka.
Una kichaaa! Lete hiyo Tecno yako latest naiweka na Samsung ya mwaka mmoja nyuma let's say s22 na camon 20 yako[emoji23]Inategemea unatumia tecno gani?
Kuna tecno ni bora kuliko Samsung
Ni swala la toleo na umri wa toleo
Mimi natumia Tecno spark 8 c, IPO safi tu camera safi,mtandaoni safi, chaji safi nainafanya shughuli zingine mbalimbali vizuri kabisaHabari.
Nina mwezi wa tatu sàsa natumia tecno yaani hadi nakoma.Yaani ni stress tupu nashindwa kuizoea mara inepeleke kule mara huko nikirudi huku inanitoa nje mara iminimize yenyewe nikibonyeza huku inarudi juu..mara casa ikwame inanitizama tu kama bundi sàsa sijui tatizo ni mimi au simu yaani ni shida.
Pamoja na ungugi wangu wote wa kutumia simu hapa kwa tecno naona nimekwama yaani naona maluweluwe tupu.
Sàsa hapo ni kwenye simu tu huko kwingine kwenye mitandao nikisema nitatandae kidogo ndo kabisa inanivurumisha naona giza tupu. Sijui nianzie wapi niishie wapi nimebaki kufungua J. forum tu. Jamani kama kuna simu tecno ambayo mtu ukitumia unajisikia raha hebu nijuzeni hapa angalau nilale kidogo .maana kichwa kinauma.
Kuna mtu anaongeaga humu kuhusu hizi simu sàsa naanza kumuelewa maana nilkuwa nadharau.
Nimeandika kwa fujo maana nachoka.
NotedMimi natumia Tecno spark 8 c, IPO safi tu camera safi,mtandaoni safi, chaji safi nainafanya shughuli zingine mbalimbali vizuri kabisa
Samsung galaxy S10 kwa mwaka huu 2023 ni simu ghali kweli??Miliki simu kutokana na uwezo wako sio kutafuta status unakuta mtu ana miliki iphone au Samsung Galaxy S10 halafu ela ya bundle hana unakuwa I make sense Tena unakuta unamuomba mwenye Tecno ,itel au infinix eti niwashie wifi
We ni fala, natumia Samsung na Iphone , Tecno anayo Binti wa kazi na mlinzi nyumbani kwanguTatizo lenu mnanunua hizo tecno kwa mafundi simu... Tofauti na hapo kubali tu una ujuaji wa kijinga
Sawa Mmarekani, ila inajulikana iPhone ni kwaajili ya mashogaWe ni fala, natumia Samsung na Iphone , Tecno anayo Binti wa kazi na mlinzi nyumbani kwangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahindi mabahili.Boss wangu anatumia Tecno halafu mi niamshe na Google Pixel 4😄😄😄😄
kanjibai ataniua
Tetea hoja yako kwa point tuone iPhone ina uhusiani gani na mashogaSawa Mmarekani, ila inajulikana iPhone ni kwaajili ya mashoga
Ofcoz ni Bei ghali kwa mtu mwenye uchumi mdogoSamsung galaxy S10 kwa mwaka huu 2023 ni simu ghali kweli??
we jamaaa tecno gani ina technolojia kuizid samsung asee [emoji1787]Inategemea unatumia tecno gani?
Kuna tecno ni bora kuliko Samsung
Ni swala la toleo na umri wa toleo
asee jamaa kanichekesha et kuna tecno bora kuliko samsung [emoji1787]Embu acha uzwazwa mkuu