Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Tecno spark 10c iko njema.
JESUS IS LORD
JESUS IS LORD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha jamani yeye ananiambia ni nzuri sana. Ni mpya januari juzi ye ananiuzia180000 eti.Sio kweli [emoji28][emoji28]
Hiyo simu bei inayofaa ni elfu 80 tu. Ni ovyo sana
Yeye Kanumeba juzi tuHahahaha jamani yeye ananiambia ni nzuri sana. Ni mpya januari juzi ye ananiuzia180000 eti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TECNO ni simu ambayo unaweza amka asbh na mapema ukakuta imemtumia sms mama mkwe wako inasema I love you baby, usicheze na hiyo simu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi watu wanavyo paparikiaaa, kuna mtu juzi kaacha kununua Samsung, kanunua Tecno ya macho 3, namtazama nasema hiiNimeiona dukani spark 10 macho 3 utadhani iPhone 14
Yeye kainunua juzi tu hiyo Nokia C-10Yeye Kanumeba juzi tu
Wasingekuwa wanatoa matoleo mapya daily,wangeshafunga biashara kitambokaka tecno,itel na infinix hamna simu hapo usije tena ukaingia mkenge kununua..🥲
hamna simu hapoHaaaaa kumbe basi kuna mtu anataka kuniuzia anasema eti NOKIA ndio zinaongoza kwa ubora na kukaa nacharge duniani
Hadi milion 3Niliiona sehemu inauzwa 2,020,000 nikashangaa Tecno wametoa Simu ya bei ghali hivyo.
Na Samsung ya hivyo ikawa 1,850,000
Kwa hiyo bei ni heri ununue refurbished phonesHahahaha jamani yeye ananiambia ni nzuri sana. Ni mpya januari juzi ye ananiuzia180000 eti.
Naona spark 10 inaingumziwa sàna ngoja niifuatilie nione[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi watu wanavyo paparikiaaa, kuna mtu juzi kaacha kununua Samsung, kanunua Tecno ya macho 3, namtazama nasema hii
Achana nazo.Situmii Tecno ila kuna Ile nimeiona ya kuflip naona hatari
TECNO ni simu ambayo unaweza amka asbh na mapema ukakuta imemtumia sms mama mkwe wako inasema I love you baby, usicheze na hiyo simu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo itakuwa ni tablet🤣🤣🤣🤣🤣Kitu kwingine lisimu lisiwe kuuubwa kama frem ya picha ..sàsa hivi kuna simu mfukoni hazikai ni balaa.